17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Na “Naam”, wakamtupia mawe mpaka akafa alipokufa pale pale akatiwa<br />

peponi: Jannatul barzakh. Akasema: Qi-lad khulil jannat<br />

wakasema ingia peponi: Qaa-la yaa layta qaumi yaalamu-na,<br />

“Layti ingelikuwa watu wangu wamejua Bima-ghafarali Rabbi, hayo<br />

aliyonighufirilia kwayo Rabbu wangu: Wa jaalani minal mukramina,<br />

Barzakh, kabla hata kwenda kiyama. Na wengine barzakh wanataabika<br />

kama Firauni na watu wake. Anna r yu-radhuni alyha, moto<br />

unakabilishwa juu yao, asubuhi na jioni, Udhuwani wa-shiya-wa<br />

yauma takum-sa-ati, na siku kiama kitaposimama, Adhkhilu, na tieni<br />

A-la firauna watu wa firauni Ashadu al adha-b, adhabu kali<br />

kabisa.<br />

Hii wapi: Saba-khan wa masa-an dhuduwan-washiyan,<br />

barzakh ukipita kwenye makaburi unawaona basi salama kuna<br />

watu wako kwenye taabu kubwa kuna wengine wapo kwenye raha kubwa<br />

inategemea mtu ametengeneza nini huko lakini nyie mmeazimia<br />

mtangulize kheri, mmsema kuwa ni watu wa Twariqa tena Twariqa-til<br />

qa- diria, Sayyidna Abdul qadir Jailan qad-dasa Llahu sirahul<br />

aziz. Haimkiniki mtokewa na lisilokuwa ndilo azma mtahisi kuwa hili<br />

mnalofanya silo. Yaa Rabbi niokoe uniongoe narejea kwako mimi<br />

mwenyewe nimeshindwa. Yaa Sayyid wa ustadh Abdul Qadir<br />

Jailan, niombee kwa hiyo tumo katika kheri maadam tunakamatana na<br />

watu hawa na tunataka nyendo zao muhimu ni Suluh kujaribu<br />

kujitengeneza uwe na tabia nzuri hata ukionekana unajulikana. Fi buyutin<br />

katika majumba adhinal lahu katoa rukhusa Mwenyezi Mungu An<br />

tur-fa atukuzwe misikitini pahali pa kutukuzwa si pa watu kujisemea tu<br />

maneno hivi hivi ya kidunia <strong>Al</strong> hadith fil masjidi yakulul hasanati<br />

kama taakulun nara-l-hatwab. Ina kula mema kama moto<br />

unavyokula kuni msikiti inakutukuzwa kwa Yuth kara fi-hasmuhu, na<br />

jina lake litwaje msikitini kudhikiri watu, kudhikiri Qur an inasema<br />

Wayuth kara fi-hasmuhu yusabihu lahu fiha wamsabih<br />

Mwenyezi Mungu ndani ya majumba hayo, fil-ghuduwwl-wal-a-swalu,<br />

asubuhi na jioni Rija–lun wanaume wa kweli wanaofaa kuitwa<br />

Rija-l si -nini, si ghasia tu Urijali ni kuweza kupigana na nafsi yako<br />

ukawa umo ndani ya kupigana ili mwishoni uwe mtu unaekwenda<br />

mwendo mwema.<br />

Hata mtu mmoja anawataja watu wakubwa anasema: Humurrija-lu,<br />

wao hao ndio Rija-l, aibu kusema kwa mtu asiyesifika na sifa zao yeye ni<br />

14.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!