17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mwinyi anaijazi Majaalis ulaa El Qa diriya:<br />

BISMILAHI RAHMANI RAHIM:<br />

<strong>Al</strong>hamdulilahil ladhi iyatabi ilayhi man yashau. Kila sifa njema<br />

inamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye huchagua kumsogeza kwake<br />

anayemtaka. Imechukuliwa kwenye aya inayosema: <strong>Al</strong>lahu Yajitabi<br />

ilayhi man yashau.<br />

Na tunatarajia Insha <strong>Al</strong>lah tutakuwa katika hao aliowachagua,<br />

maana anatuakifisha tunakusanyika tunamtaja tunamsalia Mtume wake<br />

tunawataja vipenzi vyake Mawalii wake na Mtume SAW anasema: Wa<br />

inda dhikris swa-li-hin tanzilur Rahma.<br />

Wakati wa kuwataja watu wema rehma inateremka Wayazidu<br />

fil khalaq maa ya shaa. Na anazidisha katika khalq anachokitaka.<br />

Was Swalatu was salamu ala-man law la-hu lahda-ma.<br />

Ingekua si yeye Ladamat fi ghay-bihil ash-ya-u. vitu vingedumu<br />

katika kutokuonekana - kutokuwepo. Lakini kwa sababu yake yeye-<br />

Mwenyezi Mungu kaviumba. Wa ala-a -lihi wa swahbihi wat-ta -<br />

biina biihsa-nin ilaa yawmidi nin.<br />

Amma baad, Ameniomba kijana Said Umar Barut An akuna<br />

Wasila niwe wasila, yaani kati, Baynahu baina yake na Baynal<br />

Mutaqaddimina baina ya walio tangulia Minas Swalihina katika<br />

watendaji wema. Faraghbtu fi an aamala dhalika nikapendezewa<br />

kufanya hayo – Rajaan an yuthbit niya <strong>Al</strong>lah kwa taraji kua<br />

Mwenyezi Mungu atanithibitisha Fi-di-wa-nil-a-rifina katika diwani<br />

ya wenye kumjua Mwenyezi Mungu Wa-an antadhima niwe<br />

nimetungika Fi-Silsilat katika mkufu <strong>Al</strong> ula-maail a-mili ina<br />

wanazuoni wenye kutumia Ilmu zao- Fa aqulu, ninasema Qad-ajaztu<br />

ha-dha sha-ab nimempa Ijaza kijana huyu Aw-wal an mwanzo Fi<br />

Twariqatil Qadiriyya kama aja-zani kama walonipa Ijaza Ghayruwa-hidin<br />

Isokuwa mmoja Minal kibari katika wakubwa Khulafai<br />

Makhalifa Hadhi hit-Twariqati wa Twariqa hii Bi furuiha kwa<br />

matawi yake Twariqal Qadiriyya ina matawi mengi sana.<br />

30.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!