You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mwinyi anaijazi Majaalis ulaa El Qa diriya:<br />
BISMILAHI RAHMANI RAHIM:<br />
<strong>Al</strong>hamdulilahil ladhi iyatabi ilayhi man yashau. Kila sifa njema<br />
inamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye huchagua kumsogeza kwake<br />
anayemtaka. Imechukuliwa kwenye aya inayosema: <strong>Al</strong>lahu Yajitabi<br />
ilayhi man yashau.<br />
Na tunatarajia Insha <strong>Al</strong>lah tutakuwa katika hao aliowachagua,<br />
maana anatuakifisha tunakusanyika tunamtaja tunamsalia Mtume wake<br />
tunawataja vipenzi vyake Mawalii wake na Mtume SAW anasema: Wa<br />
inda dhikris swa-li-hin tanzilur Rahma.<br />
Wakati wa kuwataja watu wema rehma inateremka Wayazidu<br />
fil khalaq maa ya shaa. Na anazidisha katika khalq anachokitaka.<br />
Was Swalatu was salamu ala-man law la-hu lahda-ma.<br />
Ingekua si yeye Ladamat fi ghay-bihil ash-ya-u. vitu vingedumu<br />
katika kutokuonekana - kutokuwepo. Lakini kwa sababu yake yeye-<br />
Mwenyezi Mungu kaviumba. Wa ala-a -lihi wa swahbihi wat-ta -<br />
biina biihsa-nin ilaa yawmidi nin.<br />
Amma baad, Ameniomba kijana Said Umar Barut An akuna<br />
Wasila niwe wasila, yaani kati, Baynahu baina yake na Baynal<br />
Mutaqaddimina baina ya walio tangulia Minas Swalihina katika<br />
watendaji wema. Faraghbtu fi an aamala dhalika nikapendezewa<br />
kufanya hayo – Rajaan an yuthbit niya <strong>Al</strong>lah kwa taraji kua<br />
Mwenyezi Mungu atanithibitisha Fi-di-wa-nil-a-rifina katika diwani<br />
ya wenye kumjua Mwenyezi Mungu Wa-an antadhima niwe<br />
nimetungika Fi-Silsilat katika mkufu <strong>Al</strong> ula-maail a-mili ina<br />
wanazuoni wenye kutumia Ilmu zao- Fa aqulu, ninasema Qad-ajaztu<br />
ha-dha sha-ab nimempa Ijaza kijana huyu Aw-wal an mwanzo Fi<br />
Twariqatil Qadiriyya kama aja-zani kama walonipa Ijaza Ghayruwa-hidin<br />
Isokuwa mmoja Minal kibari katika wakubwa Khulafai<br />
Makhalifa Hadhi hit-Twariqati wa Twariqa hii Bi furuiha kwa<br />
matawi yake Twariqal Qadiriyya ina matawi mengi sana.<br />
30.