Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Wakamwambia “Akhun-kari-m”. Wakamjibu wewe ni ndugu mtukufu<br />
wa Ibn Akhun kari m na Mtoto wa ndugu Mtukufu, hatutaraji ila<br />
utukufu tu kutokana na wewe. Na wanaandika hata wasiokuwa Waislam<br />
kuwa wengi katika wao wangeliuliwa, (tareikh) historia isingelimlaumu<br />
Mtume SAW kwa jinsi uovu wao ulivyokuwa mkubwa na yeye aliwaambia<br />
nini? Idh-habu fa-antumut tulaka-u Nendeni zenuni na nyie nyote<br />
mmeachwa huru, hakuwaambia hata silimuni, huwezi kuwasalimisha watu<br />
kwa nguvu – Afanta takrihun nasa hatta yaku-nu muunini–n?<br />
Utawalazimisha watu mpaka waamini? Lakini akitaka fursa awaeleze<br />
Uislamu nini.<br />
Wajue Uislam nini wenyewe wautamani Uislamu, wenyewe<br />
waingine katika Uislam La ikra ha fid din. hapana kutenzwa nguvu<br />
katika dini iko kuelezwa watu, iko kuvutwa watu, iko kutamanisha watu<br />
kwa Uislamu – wakaongoka. Akawaambia La tathriba alykum-lyawm<br />
hapana Tathriba alykum – ul yaum, irhamul Llah, leo hapana<br />
lawama juu yenu – yaghfir-Llah lakum Mungu atakughufuri lieni,<br />
<strong>Al</strong>lah akbar mlioyafanya yote hayo Mungu ataghufirilieni Wahuwa<br />
arhamu rahimina na yeye ndiye mwenye kurehemu La tathriba<br />
alykum-l-yaum, yaghafiru-l-lah lakum wahuwa arhamurahimina.<br />
Hata wanafasiri kwa kiingereza wanasema: “There is no<br />
blem upon you today. may God forgive you all, and he is the<br />
most merciful of all merciful the merciful”.<br />
Wanasema hapana mtu aliopata maadui zake katika tareikh akaweza<br />
kuwayafanya anayoyataka. Maadui waliomfanyia ubaya mwisho wa ubaya<br />
akaweza kuwafanya anavyotaka yeye, kama yeye Mtume Muhammad<br />
SAW, alivyowapata maadui zake, na yeye hakuwafanza lolote bali<br />
akawaghufirilia na akawaachia wamekwenda zao. Mwisho wenyewe<br />
wamerejea wamekuwa Waislamu na wale wale ndio waliokuja<br />
wakausimamia Uislamu na watoto wao wakaupeleka mbele mpaka<br />
ukatufika sisi. Waman rahu badihatan har-aba waidha daa hul<br />
miskin-aja-ba yaqul haqqa walaukana murra-walayadhlumun<br />
Muslim, ihsan wala dhura. Hamuekei Muislamu Ghush, hamfanyii<br />
Ghush wala madhara – yaani hamfanyii madanganyo - Ghush ni<br />
kumdhihirishia mtu jambo moja kumbe mambo ni vengine sivyo vile<br />
ulivyomdhihirisha. Unasema unamuuzia machungwa kumbe unamuuzia<br />
majani, unamuuzia Samaki kavuliwa leo kumbe alikuwa katika barafu,<br />
hiyo ndiyo Ghush. Kumdhihirishia sivyo vile mambo kama yalivyo,<br />
Mtume alikuwa hana. Vile vile (straight forward) ilivyo ndivyo<br />
3.