17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wakamwambia “Akhun-kari-m”. Wakamjibu wewe ni ndugu mtukufu<br />

wa Ibn Akhun kari m na Mtoto wa ndugu Mtukufu, hatutaraji ila<br />

utukufu tu kutokana na wewe. Na wanaandika hata wasiokuwa Waislam<br />

kuwa wengi katika wao wangeliuliwa, (tareikh) historia isingelimlaumu<br />

Mtume SAW kwa jinsi uovu wao ulivyokuwa mkubwa na yeye aliwaambia<br />

nini? Idh-habu fa-antumut tulaka-u Nendeni zenuni na nyie nyote<br />

mmeachwa huru, hakuwaambia hata silimuni, huwezi kuwasalimisha watu<br />

kwa nguvu – Afanta takrihun nasa hatta yaku-nu muunini–n?<br />

Utawalazimisha watu mpaka waamini? Lakini akitaka fursa awaeleze<br />

Uislamu nini.<br />

Wajue Uislam nini wenyewe wautamani Uislamu, wenyewe<br />

waingine katika Uislam La ikra ha fid din. hapana kutenzwa nguvu<br />

katika dini iko kuelezwa watu, iko kuvutwa watu, iko kutamanisha watu<br />

kwa Uislamu – wakaongoka. Akawaambia La tathriba alykum-lyawm<br />

hapana Tathriba alykum – ul yaum, irhamul Llah, leo hapana<br />

lawama juu yenu – yaghfir-Llah lakum Mungu atakughufuri lieni,<br />

<strong>Al</strong>lah akbar mlioyafanya yote hayo Mungu ataghufirilieni Wahuwa<br />

arhamu rahimina na yeye ndiye mwenye kurehemu La tathriba<br />

alykum-l-yaum, yaghafiru-l-lah lakum wahuwa arhamurahimina.<br />

Hata wanafasiri kwa kiingereza wanasema: “There is no<br />

blem upon you today. may God forgive you all, and he is the<br />

most merciful of all merciful the merciful”.<br />

Wanasema hapana mtu aliopata maadui zake katika tareikh akaweza<br />

kuwayafanya anayoyataka. Maadui waliomfanyia ubaya mwisho wa ubaya<br />

akaweza kuwafanya anavyotaka yeye, kama yeye Mtume Muhammad<br />

SAW, alivyowapata maadui zake, na yeye hakuwafanza lolote bali<br />

akawaghufirilia na akawaachia wamekwenda zao. Mwisho wenyewe<br />

wamerejea wamekuwa Waislamu na wale wale ndio waliokuja<br />

wakausimamia Uislamu na watoto wao wakaupeleka mbele mpaka<br />

ukatufika sisi. Waman rahu badihatan har-aba waidha daa hul<br />

miskin-aja-ba yaqul haqqa walaukana murra-walayadhlumun<br />

Muslim, ihsan wala dhura. Hamuekei Muislamu Ghush, hamfanyii<br />

Ghush wala madhara – yaani hamfanyii madanganyo - Ghush ni<br />

kumdhihirishia mtu jambo moja kumbe mambo ni vengine sivyo vile<br />

ulivyomdhihirisha. Unasema unamuuzia machungwa kumbe unamuuzia<br />

majani, unamuuzia Samaki kavuliwa leo kumbe alikuwa katika barafu,<br />

hiyo ndiyo Ghush. Kumdhihirishia sivyo vile mambo kama yalivyo,<br />

Mtume alikuwa hana. Vile vile (straight forward) ilivyo ndivyo<br />

3.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!