17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Shukurani (Ahly Majaalis):<br />

<strong>Al</strong>-Hamdu lillahi, wa Swalatu Wasa- Salaam a`laa khayru khalqi<br />

Llah Seyyidna Muhammad wa a-lihi wa Swahbihi wa man waalaha, Wa<br />

Baad.<br />

Hichi ni kitabu ambacho ni baadhi ya khutba zake al- habbibi,<br />

Seyyid Umar bin Syd Abdullah bin Syd Ahmad <strong>Al</strong>-Sheikh Abibakar bin<br />

Salim Sahbi e naat, Hadharamut, ambazo zimerekodiwa na kukusanywa<br />

na Ahl – muridi wake wa Dar es salaam kwa njia ya Video na Audio<br />

Cassette kwa lugha ya Kiswahili, Kiarabu na Kiingereza.<br />

Tumeamua kuziweka katika njia ya vitabu ili Waislamu na<br />

wasiokuwa Waislamu wanufaike na mawaidha ya mwana chuoni mkubwa<br />

kabisa wa wakati huu katika ulimwengu nae ni: “Assaffi sarri rra,<br />

Munawar Bassira “<strong>Al</strong>-habbib Sayyeid Umar bin Syd Abdallah ( Mwinyi<br />

Baraka).<br />

Watu wengi wanauliza na kuendelea kuuliza kwa nini <strong>Al</strong>-Habib<br />

hakuandika kitabu nae katika elimu ya dunia amefikia cheo cha Uprofesa?<br />

Kwa bahati nzuri sisi Ahli Majaalis tulijaaliwa na <strong>Al</strong>lah kumuuliza. Nae<br />

akajibu: “Niandikenini? Siwezi kuchanganya Bafta na Hariri”.<br />

Tulipomuomba atufananulie akaendelea: “<strong>Al</strong>-Imam <strong>Al</strong>-Habbib Syd<br />

Umar bin Syd Ahmad bin Syd Abubakar bin Summeit, ameandika Rihla<br />

kutoka zanzinzibar kwenda hadharamut na kurudi zanzibar, mimi niandike<br />

nini?. Yeye ni hariri bila shaka”.<br />

Kwa jawabu hii ametupa elimu ya juu kabisa sisi Muridi wake, na<br />

tulipomshauri kwa kumuomba: “Je unaonaje hizi baadhi ya khutba zako<br />

tulizojaaliwa kuzirikodi tukaziweka katika njia ya vitabu, kama wanafunzi<br />

wa Maulana Abdul Wadud wa Pakistan?” akajibu “Kheri shauri”.<br />

<strong>Al</strong>lah amzidishie Nuru dhariha lake, Sheikh <strong>Al</strong> <strong>Faqeer</strong> Ahamad bin<br />

Sheikh Muhamad Msiha, Kwa kuchukua jukumu hili kubwa la kunakili<br />

cassette za Sheikh wake na kuziweka katika njia ya vitabu, sio kazi ndogo<br />

ukitizama Mhadhiri<br />

viii.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!