Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Shukurani (Ahly Majaalis):<br />
<strong>Al</strong>-Hamdu lillahi, wa Swalatu Wasa- Salaam a`laa khayru khalqi<br />
Llah Seyyidna Muhammad wa a-lihi wa Swahbihi wa man waalaha, Wa<br />
Baad.<br />
Hichi ni kitabu ambacho ni baadhi ya khutba zake al- habbibi,<br />
Seyyid Umar bin Syd Abdullah bin Syd Ahmad <strong>Al</strong>-Sheikh Abibakar bin<br />
Salim Sahbi e naat, Hadharamut, ambazo zimerekodiwa na kukusanywa<br />
na Ahl – muridi wake wa Dar es salaam kwa njia ya Video na Audio<br />
Cassette kwa lugha ya Kiswahili, Kiarabu na Kiingereza.<br />
Tumeamua kuziweka katika njia ya vitabu ili Waislamu na<br />
wasiokuwa Waislamu wanufaike na mawaidha ya mwana chuoni mkubwa<br />
kabisa wa wakati huu katika ulimwengu nae ni: “Assaffi sarri rra,<br />
Munawar Bassira “<strong>Al</strong>-habbib Sayyeid Umar bin Syd Abdallah ( Mwinyi<br />
Baraka).<br />
Watu wengi wanauliza na kuendelea kuuliza kwa nini <strong>Al</strong>-Habib<br />
hakuandika kitabu nae katika elimu ya dunia amefikia cheo cha Uprofesa?<br />
Kwa bahati nzuri sisi Ahli Majaalis tulijaaliwa na <strong>Al</strong>lah kumuuliza. Nae<br />
akajibu: “Niandikenini? Siwezi kuchanganya Bafta na Hariri”.<br />
Tulipomuomba atufananulie akaendelea: “<strong>Al</strong>-Imam <strong>Al</strong>-Habbib Syd<br />
Umar bin Syd Ahmad bin Syd Abubakar bin Summeit, ameandika Rihla<br />
kutoka zanzinzibar kwenda hadharamut na kurudi zanzibar, mimi niandike<br />
nini?. Yeye ni hariri bila shaka”.<br />
Kwa jawabu hii ametupa elimu ya juu kabisa sisi Muridi wake, na<br />
tulipomshauri kwa kumuomba: “Je unaonaje hizi baadhi ya khutba zako<br />
tulizojaaliwa kuzirikodi tukaziweka katika njia ya vitabu, kama wanafunzi<br />
wa Maulana Abdul Wadud wa Pakistan?” akajibu “Kheri shauri”.<br />
<strong>Al</strong>lah amzidishie Nuru dhariha lake, Sheikh <strong>Al</strong> <strong>Faqeer</strong> Ahamad bin<br />
Sheikh Muhamad Msiha, Kwa kuchukua jukumu hili kubwa la kunakili<br />
cassette za Sheikh wake na kuziweka katika njia ya vitabu, sio kazi ndogo<br />
ukitizama Mhadhiri<br />
viii.