17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

anavyokuonyesha alivyo. Wala madhara hakuwekei katika moyo wake<br />

kwa kupata kufanya jambo baya, naye atamlipa hana. Man nadhara<br />

Biwajihi alima anahu laysa biwajih kadh-dhabi. Mwenye<br />

kutazama uso wake anajua kuwa uso huo sio wa mtu muongo ukimuona tu<br />

na hata maadui zake wasiomkubali wakijua hayo na wengine wameyasema<br />

khassa uso safi sawa sawa. Na wafuasi wake wako ambao ukiwaona<br />

unasema uso huu si wa mtu muongo ni uso wa mkweli, sikwambii yeye<br />

mwenyewe Sayyid sadiqina, wal ladh sadaqa wasadaqa bihiulayka<br />

humul muttaqun, waqad jaa-bis-sidiq-wasadaq bih, u-<br />

layka-humul muttaqun - <strong>Al</strong>okuja na ukweli na yule alomsadikisha hao<br />

ndo wacha Mungu. Nani alokuja na ukweli? Ni yeye Sayyidna Muhammad<br />

SAW na mkubwa wa waliosadikisha, Hapana kama Sayyidna Abuu<br />

Bakkar Sidiq - kwa hivyo, mwisho Qur an inasema Lahun-ma-yashauna<br />

inda rab-bihim, Wana kila wanalolitaka kwa Bwana wao,<br />

wadhalika jazaaul muhsinin, hayo ndiyo malipo ya wafanyaji wema,<br />

wana kila wanalolitaka kwa Mwenyezi Mungu kwa hivyo ndo maana watu<br />

huweta wawasemee kwa Mungu. Katika kukubwa kabisa ni huyu Bwana<br />

tuliochagamana nae - <strong>Al</strong> haykal samadan, wal kindi–lun nurani<br />

Sayyidna Abdul Qa-Dir Jailan. ana kila analolitaka kwa Mwenyezi<br />

Mungu kwa sababu alikuwa katika hawa, Mungu aliowasemea: Lahuma-yashauna<br />

- bali wa mbele kabisa na juu kabisa Sayyidna Abdul<br />

Qadir, hata aliwahi kupita pahala na Mungu watu kama hawa<br />

anawafungulia wanaona kila pahala, huku Bazrakh, wapi kapita kakuta<br />

mtu anaadhibiwa katika kaburi akasema mtu huyu hajapata kuniona?,<br />

hajahudhuria majlis yangu? Akaambiwa hajahudhuria hajapata kuniona?<br />

Hajapata kukuona. Mradi kila namna anatafuta akapate kumuombea kwa<br />

Mwenzi Mungu, ipatikane sababu ndogo akamuombee kwa Mwenyezi<br />

Mungu asamehewe hii ndio hali ya Mawalii wa Mungu kwa watu hivi hivi,<br />

sikwambii kwa wanaopenda wanatamani na wao wangefuata nyayo zao<br />

kwa kumtii Mwenyezi Mungu na kuepukana na Mwenyezi Mungu<br />

aliyokataza, na kuutumikia Uislamu kwa kusafisha kifua na Moyo ikiwa<br />

hawana azma nyengine zozote. Hawadhihirishi kusema wanatengeneza<br />

dini kumbe wanatengeneza dunia yao. Jitihada yao ni kumtumikia<br />

Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu anawatumikia, Mwenyezi Mungu<br />

anawapa kama yeye huyo Bwana mmoja niliyekutajieni na baadaye<br />

wamekuja wangapi, Wana wema Muridi wake Makhalifa wake mpaka leo<br />

kwa Maelfu wamejaa duniani mambo yao yanawanyookea, na<br />

wananyanyuka mbele ya Mwenyezi Mungu kwa sababu ya Ikhlasi yao<br />

hawataki chochote wanataka Mwenyezi Mungu. Famatlabul quwm<br />

4.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!