17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Al</strong>-hajj <strong>Al</strong>y Hassan Mwinyi – Mzee Rukhsa - Ikulu na alitutaka rukhsa<br />

aende au asiende.<br />

Ahlil Majaalis El Ula El Qa-diriyya hawataacha kulia kwa<br />

huzuni kila wakifikiria uamuzi aloutoa baada ya makubaliano kua<br />

angeandika tafsiri ya kite kwa lugha ya Kiswahili ya kitabu kitukufu<br />

Qu-ran baada ya kushindikana kuitoa tafsiri hiyo kwa njia ya TVZ, lakini<br />

pia Majaalis nao hawakuwahi kwa sababu aliomba aende Comoro<br />

akamshauri mkewe aje nae D’Salaam nyumbani kwa <strong>Al</strong> -marhumu Bw.<br />

Moh’d Mhdy (A.y). Kinyume ya mambo ni kwamba kwenda kwake<br />

Comoro alikua ameshaitwa kwenda kukutana na ajali yake badala ya kuja<br />

tena D’Salaam kwa ajili ya kazi ya tafsiri ambayo ilitarajiwa kuchukua<br />

miaka mitatu mizima.<br />

Na ilifikiriwa kutoa juzuu moja moja kama alivoanza hivo <strong>Al</strong><br />

marhumu Sheikh Abdallah Swaleh El - farsy (Ay).<br />

Bumbuwazi tulolipata bila ya kumuomba aanze na utangulizi na<br />

Surat El Fa-tiha tu tulifanikiwa nalo baadae kabisa kua lau mtu angejua<br />

ghaibu basi kuzidisha kheri kwetu ingetumilikisha angalau na tafsiri ya<br />

Surat El - Fatiha ya <strong>Al</strong>-habib Sayyid Omary Abdallah Mwinyi Baraka<br />

(Rahmatullah a`layhi). Kwa sababu <strong>Al</strong> - habib alitudarisha vizuri sana<br />

kuhusu somo la Nafsi (Tizama kitabu chetu “Maana halisi ya Imaani II”)<br />

hatuoni haja yeyote ya kulaumu walokua na uwezo mkubwa na kueka<br />

kumbukumbu ya mwanachuoni huyo kabla na labda baada ya kufa kwake.<br />

Akielezea mwenyewe <strong>Al</strong> - habib kua kila alipokua Makka <strong>Al</strong> -<br />

marhumu Bin Bazz alikuwa akimtanguliza…… “Omar Swalisha”.<br />

Akimwambia:- “Bwana Mtume SAW akisema:- “Ahlishsharafaalaa<br />

Ahlisharaf watu wa Sharaf hupitana kwa Sharaf. Walaa Yaaarifa Ahlish<br />

– sharaf wala hawawajui watu wa Sharaf Illa Dhawish Sharaf Illa ambao<br />

ni watu wa Sharaf”.<br />

Kwa niaba ya Majaalis natwaa fursa hii kuwashukuru mno vijana<br />

wa Darasa la kila Jumatano Baadal - Maghrib Mtaa wa Sadani Ilala baina<br />

kina Sharif Karama kwa juhudi yake kubwa katika kuziandaa kwa makini<br />

na uangalifu sana jumla ya makala hizo na kuzitoa katika Computer - kina<br />

Sharif El -Beyt Hussen, Fuad, Mohamed, Mkhashshe, Swahibul - Ishara<br />

Swaleh Hariz, Okashi, Mustafa, kina Ababil Abdallah Twalib Arusha na<br />

wote wa Jalsa hiyo Mnyezi Mungu atawajazi Fid Dunia Wal A-khirah.<br />

AL – FAQEER.<br />

AHMAD SHEIKH

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!