Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Al</strong>-hajj <strong>Al</strong>y Hassan Mwinyi – Mzee Rukhsa - Ikulu na alitutaka rukhsa<br />
aende au asiende.<br />
Ahlil Majaalis El Ula El Qa-diriyya hawataacha kulia kwa<br />
huzuni kila wakifikiria uamuzi aloutoa baada ya makubaliano kua<br />
angeandika tafsiri ya kite kwa lugha ya Kiswahili ya kitabu kitukufu<br />
Qu-ran baada ya kushindikana kuitoa tafsiri hiyo kwa njia ya TVZ, lakini<br />
pia Majaalis nao hawakuwahi kwa sababu aliomba aende Comoro<br />
akamshauri mkewe aje nae D’Salaam nyumbani kwa <strong>Al</strong> -marhumu Bw.<br />
Moh’d Mhdy (A.y). Kinyume ya mambo ni kwamba kwenda kwake<br />
Comoro alikua ameshaitwa kwenda kukutana na ajali yake badala ya kuja<br />
tena D’Salaam kwa ajili ya kazi ya tafsiri ambayo ilitarajiwa kuchukua<br />
miaka mitatu mizima.<br />
Na ilifikiriwa kutoa juzuu moja moja kama alivoanza hivo <strong>Al</strong><br />
marhumu Sheikh Abdallah Swaleh El - farsy (Ay).<br />
Bumbuwazi tulolipata bila ya kumuomba aanze na utangulizi na<br />
Surat El Fa-tiha tu tulifanikiwa nalo baadae kabisa kua lau mtu angejua<br />
ghaibu basi kuzidisha kheri kwetu ingetumilikisha angalau na tafsiri ya<br />
Surat El - Fatiha ya <strong>Al</strong>-habib Sayyid Omary Abdallah Mwinyi Baraka<br />
(Rahmatullah a`layhi). Kwa sababu <strong>Al</strong> - habib alitudarisha vizuri sana<br />
kuhusu somo la Nafsi (Tizama kitabu chetu “Maana halisi ya Imaani II”)<br />
hatuoni haja yeyote ya kulaumu walokua na uwezo mkubwa na kueka<br />
kumbukumbu ya mwanachuoni huyo kabla na labda baada ya kufa kwake.<br />
Akielezea mwenyewe <strong>Al</strong> - habib kua kila alipokua Makka <strong>Al</strong> -<br />
marhumu Bin Bazz alikuwa akimtanguliza…… “Omar Swalisha”.<br />
Akimwambia:- “Bwana Mtume SAW akisema:- “Ahlishsharafaalaa<br />
Ahlisharaf watu wa Sharaf hupitana kwa Sharaf. Walaa Yaaarifa Ahlish<br />
– sharaf wala hawawajui watu wa Sharaf Illa Dhawish Sharaf Illa ambao<br />
ni watu wa Sharaf”.<br />
Kwa niaba ya Majaalis natwaa fursa hii kuwashukuru mno vijana<br />
wa Darasa la kila Jumatano Baadal - Maghrib Mtaa wa Sadani Ilala baina<br />
kina Sharif Karama kwa juhudi yake kubwa katika kuziandaa kwa makini<br />
na uangalifu sana jumla ya makala hizo na kuzitoa katika Computer - kina<br />
Sharif El -Beyt Hussen, Fuad, Mohamed, Mkhashshe, Swahibul - Ishara<br />
Swaleh Hariz, Okashi, Mustafa, kina Ababil Abdallah Twalib Arusha na<br />
wote wa Jalsa hiyo Mnyezi Mungu atawajazi Fid Dunia Wal A-khirah.<br />
AL – FAQEER.<br />
AHMAD SHEIKH