Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
UTAMJUAJE MTU KAMA YEYE NI WALII?<br />
Wakam taj-ali-ma-l taj-de ni De-nak-kafa-mini Isya-ni-kha-fi-futu-nak.<br />
Hii katika Witria mwenye wenye Witria watu<br />
wawili wala si mmoja aliyefanya tatu ongeza ziwe tano kusema: “Ee nafsi<br />
tubia”, ulipe kumpa Mwenyezi Mungu deni yake, kuna mangapi ambayo<br />
yamekulazim ya Mwenyezi anakudai kaa ufikiri nini unadaiwa upate kulipa<br />
mara ngapi ngapi ulikuwa ukijifanya mjinga kana kwamba hujui deni yake<br />
maasi ya kutosha ogopa fitina za maasi, Kafa-ki minal is-yani kha-fifutu-nahu.<br />
Halakti ya Fitri kasha Shafii liannahu, umeangamia<br />
kimbilia kwenda kwa muombezi kwa sababu yeye Maladhun-bihi Tarfale<br />
uwswati Rajaha, ndo mategeye maasi wanapotarajia kuokoka kwao yaani<br />
mtume SAW na wangapi sasa hivi wanakimbilia huko Madina ili waende<br />
wakamkabili Mtume waseme: “walaw ann ahum idh dhalama<br />
anfusahum ja-k-ka” ingekuwa hizo wanapodhulumu nafsi zao wanakujilia,<br />
Fastagh jahullah taghfara lahumur Rasul, na ujumbe wa Mwenyezi<br />
Mungu akawatakia Maghfira wangalifanya hivo Lawajadu-i-laha taw-waban<br />
Rahima wangemkuta Mwenyezi Mungu ni mwenye kupokea toba zao<br />
mara kwa mara Mwenyezi Mungu hurehemu sana hurehemu sana ingekuwa<br />
akidhulumu nafsi zao na wanakujia wewe na wanakuja kwako.<br />
Aya dhahir Sha-hir hiyo, tumeambiwa kuwa watu waende kwa<br />
Mtume SAW akamtake Maghfira Mwenyezi Mungu na watu wa kisasa<br />
hukwambia: “Aa kwa nini uwende kwa mtu kwani mwenyewe Mungu si yupo<br />
karibu”. Idha saalaka Ibadi Anni Fa inni qariibu uji-buddaawata-<br />
dai idhaa daani: Mimi, wakikuuliza waja wangu na miye mimi<br />
niko karibu, niko karibu ule ukaribu wa unasikia unayosema ule ambao unabidi<br />
mtu. muite mtu mbali. SAW ni umbali wa kuasi na umbali wa kusikilizana na<br />
Mwenyezi Mungu na kupendwa na Mwenyezi Mungu hata akipendwaje Mtume<br />
SAW yuko karibu na yeye zaidi kuliko wewe, walopata ni wale walopata<br />
Mabwana wakubwa tu kama mmemuona Sayyidna Abdulqadir Jaillan katajwa<br />
hapa, Sheikh Uweso na wengineo ukaribu kukaribia kwao ni kwa sababu ya<br />
Wasta wa Rasul SAW. Hapana anayefikia kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe<br />
kwa mwenyewe shart afike kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rasulullah<br />
SAW. Kitu hicho muhimu sana. Mtukuze kila unayemtukuza, mpende,<br />
mpeleke mbele lakini usimtoe Mtume SAW ukasema yeye mwenyewe<br />
anatosha. Yeye mwenyewe hatokubali kabisa. Mwenyewe kutaka kwenda kwa<br />
Mwenyezi Mungu,<br />
20.