17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

UTAMJUAJE MTU KAMA YEYE NI WALII?<br />

Wakam taj-ali-ma-l taj-de ni De-nak-kafa-mini Isya-ni-kha-fi-futu-nak.<br />

Hii katika Witria mwenye wenye Witria watu<br />

wawili wala si mmoja aliyefanya tatu ongeza ziwe tano kusema: “Ee nafsi<br />

tubia”, ulipe kumpa Mwenyezi Mungu deni yake, kuna mangapi ambayo<br />

yamekulazim ya Mwenyezi anakudai kaa ufikiri nini unadaiwa upate kulipa<br />

mara ngapi ngapi ulikuwa ukijifanya mjinga kana kwamba hujui deni yake<br />

maasi ya kutosha ogopa fitina za maasi, Kafa-ki minal is-yani kha-fifutu-nahu.<br />

Halakti ya Fitri kasha Shafii liannahu, umeangamia<br />

kimbilia kwenda kwa muombezi kwa sababu yeye Maladhun-bihi Tarfale<br />

uwswati Rajaha, ndo mategeye maasi wanapotarajia kuokoka kwao yaani<br />

mtume SAW na wangapi sasa hivi wanakimbilia huko Madina ili waende<br />

wakamkabili Mtume waseme: “walaw ann ahum idh dhalama<br />

anfusahum ja-k-ka” ingekuwa hizo wanapodhulumu nafsi zao wanakujilia,<br />

Fastagh jahullah taghfara lahumur Rasul, na ujumbe wa Mwenyezi<br />

Mungu akawatakia Maghfira wangalifanya hivo Lawajadu-i-laha taw-waban<br />

Rahima wangemkuta Mwenyezi Mungu ni mwenye kupokea toba zao<br />

mara kwa mara Mwenyezi Mungu hurehemu sana hurehemu sana ingekuwa<br />

akidhulumu nafsi zao na wanakujia wewe na wanakuja kwako.<br />

Aya dhahir Sha-hir hiyo, tumeambiwa kuwa watu waende kwa<br />

Mtume SAW akamtake Maghfira Mwenyezi Mungu na watu wa kisasa<br />

hukwambia: “Aa kwa nini uwende kwa mtu kwani mwenyewe Mungu si yupo<br />

karibu”. Idha saalaka Ibadi Anni Fa inni qariibu uji-buddaawata-<br />

dai idhaa daani: Mimi, wakikuuliza waja wangu na miye mimi<br />

niko karibu, niko karibu ule ukaribu wa unasikia unayosema ule ambao unabidi<br />

mtu. muite mtu mbali. SAW ni umbali wa kuasi na umbali wa kusikilizana na<br />

Mwenyezi Mungu na kupendwa na Mwenyezi Mungu hata akipendwaje Mtume<br />

SAW yuko karibu na yeye zaidi kuliko wewe, walopata ni wale walopata<br />

Mabwana wakubwa tu kama mmemuona Sayyidna Abdulqadir Jaillan katajwa<br />

hapa, Sheikh Uweso na wengineo ukaribu kukaribia kwao ni kwa sababu ya<br />

Wasta wa Rasul SAW. Hapana anayefikia kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe<br />

kwa mwenyewe shart afike kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rasulullah<br />

SAW. Kitu hicho muhimu sana. Mtukuze kila unayemtukuza, mpende,<br />

mpeleke mbele lakini usimtoe Mtume SAW ukasema yeye mwenyewe<br />

anatosha. Yeye mwenyewe hatokubali kabisa. Mwenyewe kutaka kwenda kwa<br />

Mwenyezi Mungu,<br />

20.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!