17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Swali (5) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Nafsi saba zile utazijuaje kama sasa<br />

hivi ni <strong>Al</strong> ammarat au lawamma?<br />

Jawabu: Ukiwa na Sheikh na atakwambia au atakuonyesha au ukizijua zile<br />

alama zake utaweza kutambua ukiona una 1 Ammaratu ulimwengu na maasi na<br />

mukhalafat hukumbuki Mungu, hiyo ni kuwa umo katika Nafsi Ammarat ndo<br />

hayo nataka kusema kila moja ukaitazama ile hali yake ulivyo ukiwa<br />

unazifahamu kwa makosa yaliyo kutokea ukafanya sio ukazilaumu kuwa miye<br />

nimefanya yasiyohitajia sio nivohitajia basi unajijua uko katika Lawamma na ile<br />

Nafsi ina majina inakuwa inapoitwa Nafsi mwanzo inaitwa Nafsi ikigeuka<br />

inaweza ikaitwa Aql ikigeuka ikaitwa Qalb ikageuka ikaitwa Ruhu kama<br />

Ruhu ni Nafsi Mutmaina itaitwa Ruhu mpaka mwisho ndio unajihisi upo<br />

katika ulimwengu mwengine siku zote <strong>Al</strong>amul mulk, <strong>Al</strong>amul malakut,<br />

<strong>Al</strong>amul naku-t kwa hivyo haya yote ndio tunayosoma kuyahisi mtu<br />

atakayotambua ni mambo ya Mwenyezi Mungu unataka kuja-ahad wa jahid-tusha-hid<br />

fanya mujahada utashuhudia uta experience hayo hayo<br />

unayoyajua pigana na Nafsi yako utayapata na mengi utayajua na hayo ndio<br />

yanayotafutwa hayo kina Talabul Uluwwi, kutafuta ukubwa kutafuta ufasadi<br />

wewe mwenyewe unasema unatengeneza kumbe umo katika ufisidifu, unataka<br />

kugombanisha watu na kutaabisha watu na hivi. Haya tabu- mtu<br />

kuyatambua mwenyewe Hasadi, kibri, ujub, wa hana mtu na kujisahau<br />

kujihasabu kuwa hapana kama yeye na ndo maana – walabuddi min<br />

Sheykhen Tasilu Bi sayrihi illa lah Hapana budi ile ipate Sheikh Minal<br />

ula-maila-mili-n fain kan tajid fasribu khayru matiyyatin. Ikiwa<br />

hukupata tafuta mwenzako tu mtasaidiana basi lakini Sheikh wakukuongoza<br />

inataka mtu mwenyewe kafika ukipata mwezako nyote mnatamani mtasaidiana<br />

mtapata katika Barzakh huko huko duniani atakutizameni muendelee mbele.<br />

Swali (6) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Mtu anaweza kuingia katika daira ya<br />

Uwalii bila ya kupitia katika Twariqa?<br />

Jawabu: Bila shaka si kwa unavyoamini wewe si namna hii tunavofahamu sie<br />

kuwa umo katika chama fulani Qadiria, Shaadhiliya, Nakhshabandiya hii<br />

sio Twariqa, hii ni vyama ili kufuata njia zilizowekwa baada ya sharia ukapigana<br />

na Nafsi ufuate zaidi ya ndani unaswali, unafunga, umeepukana na maasi ya<br />

mwili hivi sasa unapigana na Nafsi katika Nafsi upate Zuhdi upate Hubal<br />

Mahabba upate nini,<br />

Hiyo ndio Twariqa kwa hivyo utopokuwa unafanya hayo na Mungu<br />

24.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!