Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Swali (5) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Nafsi saba zile utazijuaje kama sasa<br />
hivi ni <strong>Al</strong> ammarat au lawamma?<br />
Jawabu: Ukiwa na Sheikh na atakwambia au atakuonyesha au ukizijua zile<br />
alama zake utaweza kutambua ukiona una 1 Ammaratu ulimwengu na maasi na<br />
mukhalafat hukumbuki Mungu, hiyo ni kuwa umo katika Nafsi Ammarat ndo<br />
hayo nataka kusema kila moja ukaitazama ile hali yake ulivyo ukiwa<br />
unazifahamu kwa makosa yaliyo kutokea ukafanya sio ukazilaumu kuwa miye<br />
nimefanya yasiyohitajia sio nivohitajia basi unajijua uko katika Lawamma na ile<br />
Nafsi ina majina inakuwa inapoitwa Nafsi mwanzo inaitwa Nafsi ikigeuka<br />
inaweza ikaitwa Aql ikigeuka ikaitwa Qalb ikageuka ikaitwa Ruhu kama<br />
Ruhu ni Nafsi Mutmaina itaitwa Ruhu mpaka mwisho ndio unajihisi upo<br />
katika ulimwengu mwengine siku zote <strong>Al</strong>amul mulk, <strong>Al</strong>amul malakut,<br />
<strong>Al</strong>amul naku-t kwa hivyo haya yote ndio tunayosoma kuyahisi mtu<br />
atakayotambua ni mambo ya Mwenyezi Mungu unataka kuja-ahad wa jahid-tusha-hid<br />
fanya mujahada utashuhudia uta experience hayo hayo<br />
unayoyajua pigana na Nafsi yako utayapata na mengi utayajua na hayo ndio<br />
yanayotafutwa hayo kina Talabul Uluwwi, kutafuta ukubwa kutafuta ufasadi<br />
wewe mwenyewe unasema unatengeneza kumbe umo katika ufisidifu, unataka<br />
kugombanisha watu na kutaabisha watu na hivi. Haya tabu- mtu<br />
kuyatambua mwenyewe Hasadi, kibri, ujub, wa hana mtu na kujisahau<br />
kujihasabu kuwa hapana kama yeye na ndo maana – walabuddi min<br />
Sheykhen Tasilu Bi sayrihi illa lah Hapana budi ile ipate Sheikh Minal<br />
ula-maila-mili-n fain kan tajid fasribu khayru matiyyatin. Ikiwa<br />
hukupata tafuta mwenzako tu mtasaidiana basi lakini Sheikh wakukuongoza<br />
inataka mtu mwenyewe kafika ukipata mwezako nyote mnatamani mtasaidiana<br />
mtapata katika Barzakh huko huko duniani atakutizameni muendelee mbele.<br />
Swali (6) <strong>Al</strong> Akh Abdul Samad: Mtu anaweza kuingia katika daira ya<br />
Uwalii bila ya kupitia katika Twariqa?<br />
Jawabu: Bila shaka si kwa unavyoamini wewe si namna hii tunavofahamu sie<br />
kuwa umo katika chama fulani Qadiria, Shaadhiliya, Nakhshabandiya hii<br />
sio Twariqa, hii ni vyama ili kufuata njia zilizowekwa baada ya sharia ukapigana<br />
na Nafsi ufuate zaidi ya ndani unaswali, unafunga, umeepukana na maasi ya<br />
mwili hivi sasa unapigana na Nafsi katika Nafsi upate Zuhdi upate Hubal<br />
Mahabba upate nini,<br />
Hiyo ndio Twariqa kwa hivyo utopokuwa unafanya hayo na Mungu<br />
24.