17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

nilipokuweko hapo hapana mtu alosalisha isipokuwa mimi. Basi kwa<br />

hivyo wengi hawa Makhalifa wa Twariqal Qadiriya, furui kadha wa<br />

kadha nimekutana nao. Furui zipo nyingi za Twariqatil Qadiriya na<br />

katika hao ni Sayyid Ashekh Muhammed el fa-tih- ndo alotupenda<br />

sana Sudan, wala si mtu mzee sana . <strong>Al</strong>lah yamunnu alayhi bil a-<br />

fiya.<br />

Wao silsila yao Branch yao ni As-sammaa-ni na huyo<br />

As-sammaa-ni alikuweko Ijaz babu yake ndo alochukuwa huko na<br />

Baba yake akaja akawa Khalifa Walii Mkubwa halafu akaja akachukua<br />

yeye.<br />

Nikakutana na mwengine Khano khalafu ndo nimekuja nikajua<br />

kuwa yeye kachukuwa Twariqa kwa huyo Bwana Muhammed El<br />

Fatah khalafu kenda Baghdad kenda kukamilisha.<br />

Vile vile nimekutana na Khano mtu wa ajabu, mtu wa ajabu<br />

mwana chuoni mlezi ana watu kadha wa kadha anawalea na anavitabu<br />

katunga na hivi natawadhui kubwa nilipokwenda kumtizama kakataa<br />

kukaa juu ya kiti nikamwambia basi na mie sikai nikamwambia basi<br />

kama hukai nitamwambia mtoto akalete kiti: “Mtoto lete kiti”,<br />

kumbe halafu kamuashiria kua usilete kenda kakaa chini Ah! Mie<br />

nangojea kiti hapa mpaka tumeondoka kiti hakijaja. Tukaja<br />

tukakutana na Muridi wengi wengine watu wa Biashara wakubwa watu<br />

wa nini watu namna kwa namna.<br />

Siku moja nimekutana nae katika Baytullahil Hara-m, hata<br />

akanambia kuwa kenda Baghdadi kaambiwa kule Baghdadi kua “Kaja<br />

Umar Abdallah hapa” na Mashekhe wetu wa huku kama Sayyid Abal<br />

Hassan na wengineo na nimekutana nao Pakistani, Siria, Masri,<br />

Maghrib wapi, wapi wamejaa Masheikhe wa <strong>Al</strong> Qadiriya ndo maana<br />

nikasema: “Aja-zani ghayra wa-hidin fi Twariqatil Qadiriyya”<br />

Wa awwal man ad-khalani fi ha-dhihi da-ira mwanzo<br />

alonitia ndani ya daira hii, Huwa Seyyid Swa-fis sarira- ndani ya<br />

Roho yake ni safi <strong>Al</strong>ladhi kana lahu an twawri Nafsihi mayyil.<br />

Hamili upande wa Nafsi, Abdul Fat-tah bin Ahmad Jamali Leyl<br />

huyu ndugu yake mkubwa Sayyid Abal Hassan Mkubwa wake ndo<br />

mwanzo tangu udogoni alinichukuwa tunakwenda kwenye daira<br />

32.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!