You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
maula-hum huwa Sayydahum. Matlab ya watu hao ya Mabwana<br />
hawa, ni Mola wao na mabwana wao. Yaa khayra matlabih lilwahidil<br />
ahadi. na Mungu anajua atakupa mambo yote katika dunia.<br />
Muridi nani? Ni yule anayetaka kwa Mungu anajua mambo yote anayo<br />
Mwenyezi Mungu kwa hivyo nitayotaka kwake lazima atanipa. Sababu<br />
unakamatana naye, unafanya biashara pamoja na wanaofanya biashara<br />
unafanya kazi, unalima pamoja na wanaolima. unasukuma magari pamoja<br />
na wanaosukuma magari lakini unajua kuwa yote anayo Mwenyezi Mungu<br />
atakapotaka kukupa atakupa na unayotaka, kwake zile ni sababu tu ambazo<br />
atakufungulia kheri zake.<br />
Niliambiwa mwanzo kuwa utasema kiasi ya muda mchache hapa<br />
baada ya Qiam, na nimekubali maana hiyo kwa sababu ile nafasi ya wakti<br />
wenu huu wakati wa sasa tulio nao usiku huu na wakati huu si wakati wa<br />
kutawilisha sana kwa kutizama kabisa. Na halafu nikaja kuambiwa kuna<br />
video tayari kuchukua maneno saa na nusu takriba. Hiyo ni heri kubwa,<br />
lakini inataka wakati ambao mtu katulizana fikra zimenyooka, kwa hiyo<br />
nimetabaruku kidogo hivi na hiyo video nitaijaza Insha <strong>Al</strong>lah wakati<br />
ambao unasib na kule kutabaruk na Qur-an tumesikia yule bwana<br />
aliyeisoma Qur an hapa Wamathali kalimatin twayyba mfano wa<br />
neno zuri na nikalimati twayyba- La Ilaha illa Llah ashajaratin<br />
twayyba kama mti mwema-as-luhatha-bitu, shina limekaa vizuri<br />
huna namna ya kuangusha mti ule wa faruha fis samai na matawi yake<br />
yako juu kabisa na La Ilaha illa Llah ndio inayohitaji mtu akiwa nayo<br />
iwe tabia zake zimethibiti, hana uovu, hana azma mbaya, hana kutafuta<br />
haki za watu, hana wizi, hana matata na tabia mbaya zinajulikana ghilba,<br />
hana kugombana na watu, thaa-bitun na matawi yake yanakwenda juu<br />
yeye mwenyewe ananyanyuka tu amali zake zinazidi, kheiri zake zinazidi,<br />
khasa kwa kuwatumikia wenzake na kuwatumikia Waislam asluhathabitu<br />
wafar-uha fis-samai tuti ukulaha kulla hii-nin-bi idhn<br />
rabihim zinatoa vinywaji vyake kula wakati. Mti huo hauna “Aa siku<br />
hizi si season yake”. Mwenye La Ilaha illa Llah moyoni mwake wema<br />
anao siku zote anaonekana, kila wakati ana Insafu, ana bashasha, anasaidia<br />
watu, anatumikia watu, na wengine kama sala tano zinakwenda. Tuti<br />
ukulaha (kula hii-nini) bi idhni rabiha na yadhribu la lahal<br />
amthar-la-lin na-s, na Mwenyezi Mungu anapigia watu mfano.<br />
Laalahum yadh dhaq-karun, ili wakumbuke na kiasi hicho ni kichache<br />
Mungu atupe nafuu hata tutapokutana tena popote pale, hata kama ni peke<br />
yangu, niijaze hiyo video.<br />
Wafakana llahu lima yuhibuhu wayardhahu.<br />
5.