17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

maula-hum huwa Sayydahum. Matlab ya watu hao ya Mabwana<br />

hawa, ni Mola wao na mabwana wao. Yaa khayra matlabih lilwahidil<br />

ahadi. na Mungu anajua atakupa mambo yote katika dunia.<br />

Muridi nani? Ni yule anayetaka kwa Mungu anajua mambo yote anayo<br />

Mwenyezi Mungu kwa hivyo nitayotaka kwake lazima atanipa. Sababu<br />

unakamatana naye, unafanya biashara pamoja na wanaofanya biashara<br />

unafanya kazi, unalima pamoja na wanaolima. unasukuma magari pamoja<br />

na wanaosukuma magari lakini unajua kuwa yote anayo Mwenyezi Mungu<br />

atakapotaka kukupa atakupa na unayotaka, kwake zile ni sababu tu ambazo<br />

atakufungulia kheri zake.<br />

Niliambiwa mwanzo kuwa utasema kiasi ya muda mchache hapa<br />

baada ya Qiam, na nimekubali maana hiyo kwa sababu ile nafasi ya wakti<br />

wenu huu wakati wa sasa tulio nao usiku huu na wakati huu si wakati wa<br />

kutawilisha sana kwa kutizama kabisa. Na halafu nikaja kuambiwa kuna<br />

video tayari kuchukua maneno saa na nusu takriba. Hiyo ni heri kubwa,<br />

lakini inataka wakati ambao mtu katulizana fikra zimenyooka, kwa hiyo<br />

nimetabaruku kidogo hivi na hiyo video nitaijaza Insha <strong>Al</strong>lah wakati<br />

ambao unasib na kule kutabaruk na Qur-an tumesikia yule bwana<br />

aliyeisoma Qur an hapa Wamathali kalimatin twayyba mfano wa<br />

neno zuri na nikalimati twayyba- La Ilaha illa Llah ashajaratin<br />

twayyba kama mti mwema-as-luhatha-bitu, shina limekaa vizuri<br />

huna namna ya kuangusha mti ule wa faruha fis samai na matawi yake<br />

yako juu kabisa na La Ilaha illa Llah ndio inayohitaji mtu akiwa nayo<br />

iwe tabia zake zimethibiti, hana uovu, hana azma mbaya, hana kutafuta<br />

haki za watu, hana wizi, hana matata na tabia mbaya zinajulikana ghilba,<br />

hana kugombana na watu, thaa-bitun na matawi yake yanakwenda juu<br />

yeye mwenyewe ananyanyuka tu amali zake zinazidi, kheiri zake zinazidi,<br />

khasa kwa kuwatumikia wenzake na kuwatumikia Waislam asluhathabitu<br />

wafar-uha fis-samai tuti ukulaha kulla hii-nin-bi idhn<br />

rabihim zinatoa vinywaji vyake kula wakati. Mti huo hauna “Aa siku<br />

hizi si season yake”. Mwenye La Ilaha illa Llah moyoni mwake wema<br />

anao siku zote anaonekana, kila wakati ana Insafu, ana bashasha, anasaidia<br />

watu, anatumikia watu, na wengine kama sala tano zinakwenda. Tuti<br />

ukulaha (kula hii-nini) bi idhni rabiha na yadhribu la lahal<br />

amthar-la-lin na-s, na Mwenyezi Mungu anapigia watu mfano.<br />

Laalahum yadh dhaq-karun, ili wakumbuke na kiasi hicho ni kichache<br />

Mungu atupe nafuu hata tutapokutana tena popote pale, hata kama ni peke<br />

yangu, niijaze hiyo video.<br />

Wafakana llahu lima yuhibuhu wayardhahu.<br />

5.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!