You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Kwenye Dhikri TAGHAMMADAHULLAH BI RAHMATIHI-<br />
Imekwisha. THA-NIAN-AJZTUHU- Nimempa Ijaza tena<br />
AJAZTUHU BIT-TAMASSUKI kukamatana BIAWRADIS SA-<br />
DATIL ALAWIYYA- La siyyama MA-FIL MASLAKIL QARI-B<br />
yaliyomo katika Maslakil Qari-b yaani mambo ambayo<br />
yamepokewa yote yanini kwa Mtume yamepokewa kwa watu<br />
wakubwa Kina Ahzabi Sayyidna Abdul Hassan Shadhili QSA. Na<br />
hizbu za Mashekhe walotangulia mwisho utakuta mengine ya<br />
Mtume SAW kama katika hizbun Nasri inasomwa baada ya <strong>Al</strong><br />
Isha imo ndani ya maslahil Qarib ya Sheikh Abal Hassan<br />
Shadhilii NABTWAATI GHARATIL ARHAMI WA BTAADAT<br />
ANNA, FA AQRABU SHAY-IN GHA-RATULLAH YAA<br />
GHARATALLAHI HUSNIS SERA MAS NA-ATAN FIL HAAL<br />
UQDATAN ALA GHARALLAH Ndani yake kuna maneno ya<br />
Sheikh Abdul Qadir Jailan katumia Mjukuu wake Sayyid Abal<br />
Hassan Shadhili sababu kwa jaha SILSILA Sayyid na Abal<br />
Hassan Sadhil ni Mjukuu wa Sayyidna Abdul Qadir. Kuna watu<br />
wawili katika njia mbili tatu anafika kwa Sayyidna Abdul Qadir<br />
Jailan moja kwa njia ya Sayyidna Abuu Madiyan na kwa njia<br />
nyengine kwa Mohammed bin Saleh basi hasa yaliyomo ndani ya<br />
maslakil Qarib WARATIBUL ATTAS WA RATIBUL HAD-DAD<br />
na Ratibu attas na Ratibul hadadi. Na namuusia na nafsi yangu<br />
kumcha Mungu na kupigana na nafsi yake hata awe kijana<br />
aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. HATTA YAKUNA<br />
SHA-B-BAN NASHA-A FI IBA-DATIL LAH FAYAKU-NA FI-<br />
SAB-TIL LADHI-NA Atakuwa katika wale saba ambao<br />
YUDHILLUHUMU LLAHU- atawafunika Mwenyezi Mungu<br />
YAUMUL QIYAMATI TAHTA DHILLIHI-atawatia chini ya kivuli<br />
chake YAWMA LA- DHILLA ILLA DHILLUHU-siku ambayo<br />
hapana kivuli ila chake yeye. Hii hadithi ya Mtume. Watu saba<br />
Mungu atawafunika chini ya kivuli siku ya kiama. Juwa wanasema<br />
litakuwa kiasi cha maili moja au kiasi cha maili ya kupakia wanja.<br />
Basi watu saba watakuwa wanafunikwa chini ya kivuli cha Arshi na<br />
mmoja kati ya hawo waliotajwa ni huyu SHA-BUN kijana<br />
NASHA-A kakulia FI IBA-DATIL LAH katika ibada ya mwenyezi<br />
33.