17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kwenye Dhikri TAGHAMMADAHULLAH BI RAHMATIHI-<br />

Imekwisha. THA-NIAN-AJZTUHU- Nimempa Ijaza tena<br />

AJAZTUHU BIT-TAMASSUKI kukamatana BIAWRADIS SA-<br />

DATIL ALAWIYYA- La siyyama MA-FIL MASLAKIL QARI-B<br />

yaliyomo katika Maslakil Qari-b yaani mambo ambayo<br />

yamepokewa yote yanini kwa Mtume yamepokewa kwa watu<br />

wakubwa Kina Ahzabi Sayyidna Abdul Hassan Shadhili QSA. Na<br />

hizbu za Mashekhe walotangulia mwisho utakuta mengine ya<br />

Mtume SAW kama katika hizbun Nasri inasomwa baada ya <strong>Al</strong><br />

Isha imo ndani ya maslahil Qarib ya Sheikh Abal Hassan<br />

Shadhilii NABTWAATI GHARATIL ARHAMI WA BTAADAT<br />

ANNA, FA AQRABU SHAY-IN GHA-RATULLAH YAA<br />

GHARATALLAHI HUSNIS SERA MAS NA-ATAN FIL HAAL<br />

UQDATAN ALA GHARALLAH Ndani yake kuna maneno ya<br />

Sheikh Abdul Qadir Jailan katumia Mjukuu wake Sayyid Abal<br />

Hassan Shadhili sababu kwa jaha SILSILA Sayyid na Abal<br />

Hassan Sadhil ni Mjukuu wa Sayyidna Abdul Qadir. Kuna watu<br />

wawili katika njia mbili tatu anafika kwa Sayyidna Abdul Qadir<br />

Jailan moja kwa njia ya Sayyidna Abuu Madiyan na kwa njia<br />

nyengine kwa Mohammed bin Saleh basi hasa yaliyomo ndani ya<br />

maslakil Qarib WARATIBUL ATTAS WA RATIBUL HAD-DAD<br />

na Ratibu attas na Ratibul hadadi. Na namuusia na nafsi yangu<br />

kumcha Mungu na kupigana na nafsi yake hata awe kijana<br />

aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. HATTA YAKUNA<br />

SHA-B-BAN NASHA-A FI IBA-DATIL LAH FAYAKU-NA FI-<br />

SAB-TIL LADHI-NA Atakuwa katika wale saba ambao<br />

YUDHILLUHUMU LLAHU- atawafunika Mwenyezi Mungu<br />

YAUMUL QIYAMATI TAHTA DHILLIHI-atawatia chini ya kivuli<br />

chake YAWMA LA- DHILLA ILLA DHILLUHU-siku ambayo<br />

hapana kivuli ila chake yeye. Hii hadithi ya Mtume. Watu saba<br />

Mungu atawafunika chini ya kivuli siku ya kiama. Juwa wanasema<br />

litakuwa kiasi cha maili moja au kiasi cha maili ya kupakia wanja.<br />

Basi watu saba watakuwa wanafunikwa chini ya kivuli cha Arshi na<br />

mmoja kati ya hawo waliotajwa ni huyu SHA-BUN kijana<br />

NASHA-A kakulia FI IBA-DATIL LAH katika ibada ya mwenyezi<br />

33.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!