17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mungu, kama mlivyo nyinyi mko katika ibada ya Mwenyezi Mungu<br />

mkiendelea namna hii mpaka utuuzimani basi mshaingia.<br />

Mwenginewe RAJULUN- na mtu kaitwa na mwanamke mwenye<br />

cheo mzuri akasema, “Laa stak” INNI AKHA-FULLAH “Mi-na<br />

muogopa Mwenyezi Mungu” watu wa kisasa, nini, atamwambia “E!<br />

si kataka mwenyewe?” Itakutia motoni na kutaka mwenyewe.<br />

Na mwengine mtu katoa sadaka kwa mkono wa kulia hata<br />

mkono wa kushoto hauna habari Yaani kaificha kaifanya kwa<br />

Lilah. Na mtu mwengine kamkumbuka Mwenyezi Mungu na yupo<br />

peke yake machozi yakamwagika – FA-FA-DHAT AYNA-HU na<br />

watu wawili walopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu<br />

wakakutana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wanafarikiana kwa ajili<br />

ya Mwenyezi Mungu. Ni kama sisi. Siye hapa tunapendana kwa<br />

ajili ya nini? si kwa chochote si kwa ujamaa si kwa kupeana, si kwa<br />

chochote, mali si kwa chochote, kwa sababu ya Mwenyezi Mungu<br />

basi, Inshaalah Mwenyezi Mungu atatudumisha namna hii<br />

tutaingia njia nyengine za kupita kuingia katika watu saba hao<br />

basi na yeye na akulie katika ibada apate kuingia.<br />

WA HA-DHIHIL IJA-ZA-, na ijaza hii LAHU- ni yake yeye<br />

WALJAMII AHLIZ ZA WIYAL QA-DIRIYA-na wote watu wa<br />

zawia QADIRIA FI DAR-ES-SALAAM - SI YAKE PEKE YAKE.<br />

WA HUSSUHUM na ninawahimiza wote ALAA AN<br />

YASHTAGHILU washughulikie BIMAARIFATIL HALA-L WAL<br />

HARAM kujua nini halali nini haramu. WA AN YUDA-WIMU<br />

wadumisha ALA SWALAWATI juu ya swala BIAWAQATIHA<br />

kwa nyakati zake. WA BIDHA-LIKA na kwa kufanya hivyo<br />

SAYANJU-N-wataokoka MIN SHARRIN NAFS na shari ya<br />

nafsi WA A- FA- TIHA na maafa ya nafsi WA KULLU WA-<br />

HIDIN MINHUM na kila mmoja katika wao LAHU AN YANQULA<br />

yamuelea katika kunakili na kukopi HA-DHIHIL IJAZA Ijaza hii<br />

WAYATWARHA ISMUHU na atie jina lake badala ya jina la Said<br />

Umar Barut-LIAN-AHUM KULLUHUM SUADAI-wote ni masaidi<br />

wa kila mmoja ni Saidi, ni kama kikuku LIANNAHUM na wao,<br />

34.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!