17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Swali la nne: Ungetufafanulia vipi kuhusu Twarika (kinjia ya)<br />

Dhwahir na batwin, na nini hukumu ya mwenye kupinga kufaa kwake<br />

(katika Uislamu kwa Jumla)?<br />

Jawabu: Hiyo peke yake sio mambo madogo ukisema kidogo utapoteza<br />

watu<br />

Swali la tano: Ungetufafanulia vipi kuhusu swala la Mahaba kwa<br />

jumla na kuna tafauti gani kati yake na Ishq na<br />

Ishtiyaq na Wudd.<br />

Jawabu: Hilo ndo kabisa halisemeki haiwi kabisa, hayasemeki<br />

Swali la sita: Nini ufananuzi wa hizi nafsi saba (1) <strong>Al</strong> ammarat (2) <strong>Al</strong><br />

lawama (3) <strong>Al</strong> Mulhima (4) <strong>Al</strong> Mutmaina (5) <strong>Al</strong> Radhiya (6) <strong>Al</strong> Mardhia<br />

(7)<strong>Al</strong> Kamila?<br />

Jawabu: Wama-ubarriu nafsi-inna nafsa ha ammaratu bi sui…………….. Hilo<br />

kadhalika nilijaribu karibu karibuni nimeanza kushika Msikiti Jibril <strong>Al</strong> khamis<br />

baada ya kusomwa Ratibul Attas, tukiwapo Unguja. Siku moja nimesoma<br />

Nafsil ammara na sikumaliza kwa hivyo itachukua muda hata mtu azimalize<br />

nafsi hizo. Na ni maneno yenye faida sana kwa watu namna kwa namna hata<br />

wasiokuwa Waislamu. Nakumbuka nilikwenda Makerere niliitwa kutoa<br />

khutba moja juu yake sijui niliita nini lakini nilipita njia hiyo walikuwa<br />

Amerikans nani na nani. Wakastaajabu sana. Nilikuwa safari moja. Nilikuwa<br />

Malay siku zile ilikuwa Maley kabla haijaja Malaysia. Nikenda pahala<br />

nikachukuliwa pahala nikenda nikatoa khutuba nikaalikwa nikaambiwa<br />

Jumaatano wanakusanyika watu wa Dini namna kwa namna, na kila wiki anatoa<br />

mmoja katika mtu wa dini moja wapo (na siku ile ilikuwa zamu ya dini ya<br />

mkiristo) lakini kwa wewe tulivyokusikia leo unasema tutakupa fursa wewe<br />

useme. Nilikuwa katika nyumba ya Ambasidor baada ya kutoa khutba yule<br />

Ambasidor akaniambia: “Ahsante sana, Today for the first time I have<br />

Understood may religion” anasema leo kwa mara ya mwanzo nimeifahamu<br />

dini yangu mwenyewe lakini nilikuwa hata sifahamu, lakini leo ndio kwanza<br />

nimefahamu kupitia njia hizi- <strong>Al</strong> Ammara, Lawama, Mulhima, Mutmaina,<br />

Radhia, Mardhia, kamila. Jazaka llahu kheir. Mara nyingi nimepita njia hiyo<br />

kila pahala. Kidogo pana migeuzo geuzo kidogo lakini ni msingi mkubwa wa<br />

spiritualism. Spritual Development.<br />

Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha.<br />

18.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!