17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Jawabu: Anaendelea anaendelea unaweza ukaendelea mpaka mwisho wa<br />

Umri wako ndio ukapata wengine kabla kidogo ya kufa?<br />

Swali (16) <strong>Al</strong> Akh. Marjebi: Anaweza akaongoka mtu yule kwa<br />

kuombewa duwa na mtu mwengine?<br />

Jawabu: Wengi wanapata kwa njia hii kuombewa duwa wengine kwa<br />

kutazamwa na tangu hapo mtu hangoji hayo rehema ya Mwenyezi Mungu na<br />

dhari ya Mtume SAW dua ya Mawalii taaluq yake na Mawalii na ndugu zake<br />

Waislamu itamsogeza.<br />

Swali (17) <strong>Al</strong> Akh. Abdul Samad: Twariqa yetu tunaambiwa<br />

Sheikh Uweys bin Ahmad amekaa Riyadha katika kaburi la Sayyidna<br />

Abdul Qadir sasa hapa kuna………?<br />

Jawabu: Si sharti, kuna Sheikh mmoja Seyyid Saleh Twarika yake ni<br />

Ahmadiya kakaa miaka saba mbele ya Sayyid Hussein Basry, bila… El Jafry<br />

ana Qasida zake …….. Qaw mul Jaf-ry lakini sio Sharti wengine hata<br />

hawajapata kuwa labda Walii wa nchi yao tu. Habib Saleh hakwenda pahala<br />

kafika top. Nafsi Nafsi Nafsi lakini nani anataka Uwalii? Na mtu anataka<br />

awajue Mawalii na nani anataka kujua? Watu wanataka waambiwe kuwa<br />

wanajua ukitaka haswa.<br />

Swali (18) Syd. Hashim: Tunataka ufananuzi kuhusu matibabu<br />

ambayo yako ndani ya Dini na ambayo nje ya Dini manaake mfano<br />

kama kutizamia basi au kadhalika.<br />

Jawabu: Utatizama yanayokatazwa na Uislamu. Mabaya na yasokatazwa.<br />

Swali (19) Syd Hashim: Moja wapo ya yanayokatazwa?<br />

Jawabu: Sijui watu wanafanya nini katika mambo watu wanayoyafanya yakawa<br />

yanakatazwa<br />

Kurekebisha Swali na: Sheikh Ahmad: Labda alitaka kudharifia<br />

kwamba kama ilivyo katika Qur an: “Wa nunanzila minal Qur an ma<br />

huwa shifaa-un wa rahma tun lil Muuminin…” Ambapo wengine<br />

badala ya kwenda Hospitali wafate njia ya kujitibu kwa Qur an<br />

Jawabu: Mtume kasema “Tadawu fainna min kulli dai dawai” Hospitali<br />

kaiyumba Mwenyezi Mungu yaani “Tadawu-fainna li kulli dai-dawai”.<br />

Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha.<br />

28.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!