Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Jawabu: Anaendelea anaendelea unaweza ukaendelea mpaka mwisho wa<br />
Umri wako ndio ukapata wengine kabla kidogo ya kufa?<br />
Swali (16) <strong>Al</strong> Akh. Marjebi: Anaweza akaongoka mtu yule kwa<br />
kuombewa duwa na mtu mwengine?<br />
Jawabu: Wengi wanapata kwa njia hii kuombewa duwa wengine kwa<br />
kutazamwa na tangu hapo mtu hangoji hayo rehema ya Mwenyezi Mungu na<br />
dhari ya Mtume SAW dua ya Mawalii taaluq yake na Mawalii na ndugu zake<br />
Waislamu itamsogeza.<br />
Swali (17) <strong>Al</strong> Akh. Abdul Samad: Twariqa yetu tunaambiwa<br />
Sheikh Uweys bin Ahmad amekaa Riyadha katika kaburi la Sayyidna<br />
Abdul Qadir sasa hapa kuna………?<br />
Jawabu: Si sharti, kuna Sheikh mmoja Seyyid Saleh Twarika yake ni<br />
Ahmadiya kakaa miaka saba mbele ya Sayyid Hussein Basry, bila… El Jafry<br />
ana Qasida zake …….. Qaw mul Jaf-ry lakini sio Sharti wengine hata<br />
hawajapata kuwa labda Walii wa nchi yao tu. Habib Saleh hakwenda pahala<br />
kafika top. Nafsi Nafsi Nafsi lakini nani anataka Uwalii? Na mtu anataka<br />
awajue Mawalii na nani anataka kujua? Watu wanataka waambiwe kuwa<br />
wanajua ukitaka haswa.<br />
Swali (18) Syd. Hashim: Tunataka ufananuzi kuhusu matibabu<br />
ambayo yako ndani ya Dini na ambayo nje ya Dini manaake mfano<br />
kama kutizamia basi au kadhalika.<br />
Jawabu: Utatizama yanayokatazwa na Uislamu. Mabaya na yasokatazwa.<br />
Swali (19) Syd Hashim: Moja wapo ya yanayokatazwa?<br />
Jawabu: Sijui watu wanafanya nini katika mambo watu wanayoyafanya yakawa<br />
yanakatazwa<br />
Kurekebisha Swali na: Sheikh Ahmad: Labda alitaka kudharifia<br />
kwamba kama ilivyo katika Qur an: “Wa nunanzila minal Qur an ma<br />
huwa shifaa-un wa rahma tun lil Muuminin…” Ambapo wengine<br />
badala ya kwenda Hospitali wafate njia ya kujitibu kwa Qur an<br />
Jawabu: Mtume kasema “Tadawu fainna min kulli dai dawai” Hospitali<br />
kaiyumba Mwenyezi Mungu yaani “Tadawu-fainna li kulli dai-dawai”.<br />
Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha.<br />
28.