Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
katika <strong>Al</strong>hamdu tunaita Ma-liki yau mid-din.<br />
Waina alykum lahafidhina kiramban katibina wamahum<br />
anha bighaibina, wala hawakuwa wao na moto ni yenye kuwa hawapo<br />
hata siku moja (they are never absent from the fire) kila ikija list<br />
ya kuitwa majina fulani fulani “labbeyk” yupo hathubutu kukimbia akawa<br />
absent: Wa ma-hum an-ha-bigh-ibina wamaadraka mayaumud-din,<br />
nini kitakujulisha kitafanya ujue nini hiyo siku ya hukum?<br />
Thuma adraka mayaumud-din, nini baada ya hapo<br />
kitakachokujulisha nini siku ya hukum?, Yauma siku La tamliku nafsun<br />
linafsin-shay-a, hapana nafsi itamiliki kumiliki nafsi nyengine kwa kitu<br />
chochote hapana nafsi yoyote itathubutu kuja bila ya amri ya Mwenyezi<br />
Mungu na kukubaliwa na Mwenyezi Mungu – “Aa! mimi namuombea<br />
huyu mtu wangu, huyu sahibu yangu huyu mwanangu, huyu Muridi<br />
wangu”. Shoti Mwenyezi Mungu ampe rukhusa kwanza: walaa<br />
yashfau-na illa limantadha, wala hawashufai illa wale Mungu alomridhia<br />
kwanza kuwa huyu anaweza kuwashufaia huyu alikuwa mtu<br />
unaambiwa kachupa mpaka kutoka kwenye Circle kwa kushufaiwa sio<br />
mambo ya kufanyia mas-khara, inataka mtu akae afikiri na mambo<br />
yanamngojea kila mtu: Yauma la tamliku nafsun linafsin shai a wal<br />
amru yauma idhini lillah, na amri jambo siku hiyo lina Mwenyezi<br />
Mungu: <strong>Al</strong> hayyu qayyum, anayajua yote: Lataahudhuhu sinatun<br />
wala nawm, haumchukui usingizi kusinzia wala usingizi: Ya ala-mu<br />
ma-bayna aydihim, anajua yalo mbele yao watu wote: Wamaa<br />
halfahum, na yalo nyuma yao: Wala yuhituna, wala hawazungukii<br />
ukiwajua vilivyo: Minal-ilmi, katika elmu yake, Illa bimashaa-<strong>Al</strong>laa<br />
anachokitaka: Wasia kursiyuhus-sama-wati-wal-ardhi, kiti chake<br />
cha ufalme kimeenea mbingu zote na ardhi: Wala yau-duhu if<br />
dhuhuma wahuwal aliyul-a-dhim, hakumchokeshi kuhifadhi,<br />
Samha-wa-ti wal ardhi, siku hiyo: Yauma latamliku nafsun<br />
linafsin shaiyan wal amru yauma idhin lillah. Watu wa mwanzo<br />
watostahiki watopata kheri kubwa ni watu wenye kupendana kwa ajili ya<br />
Mwenyezi Mungu itanadiwa: Muta-ha-b-binalijala-lati andhilihum<br />
tahta dhili yauma la dhilim illa dhili, wako wapi wanaopendana<br />
kwa ajili ya utukufu wangu niwafunike chini ya kivuli changu siku ambayo<br />
leo hapana kivuli ila kivuli changu: Wajabat man abbat lin mutaha-bina<br />
fia, yamepasa mapenzi yangu kwa wenye kupendana kwa<br />
sababu yangu: <strong>Al</strong>muja lisina fia, wenye kukaa pamoja kama hivi na.<br />
12.