17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

katika <strong>Al</strong>hamdu tunaita Ma-liki yau mid-din.<br />

Waina alykum lahafidhina kiramban katibina wamahum<br />

anha bighaibina, wala hawakuwa wao na moto ni yenye kuwa hawapo<br />

hata siku moja (they are never absent from the fire) kila ikija list<br />

ya kuitwa majina fulani fulani “labbeyk” yupo hathubutu kukimbia akawa<br />

absent: Wa ma-hum an-ha-bigh-ibina wamaadraka mayaumud-din,<br />

nini kitakujulisha kitafanya ujue nini hiyo siku ya hukum?<br />

Thuma adraka mayaumud-din, nini baada ya hapo<br />

kitakachokujulisha nini siku ya hukum?, Yauma siku La tamliku nafsun<br />

linafsin-shay-a, hapana nafsi itamiliki kumiliki nafsi nyengine kwa kitu<br />

chochote hapana nafsi yoyote itathubutu kuja bila ya amri ya Mwenyezi<br />

Mungu na kukubaliwa na Mwenyezi Mungu – “Aa! mimi namuombea<br />

huyu mtu wangu, huyu sahibu yangu huyu mwanangu, huyu Muridi<br />

wangu”. Shoti Mwenyezi Mungu ampe rukhusa kwanza: walaa<br />

yashfau-na illa limantadha, wala hawashufai illa wale Mungu alomridhia<br />

kwanza kuwa huyu anaweza kuwashufaia huyu alikuwa mtu<br />

unaambiwa kachupa mpaka kutoka kwenye Circle kwa kushufaiwa sio<br />

mambo ya kufanyia mas-khara, inataka mtu akae afikiri na mambo<br />

yanamngojea kila mtu: Yauma la tamliku nafsun linafsin shai a wal<br />

amru yauma idhini lillah, na amri jambo siku hiyo lina Mwenyezi<br />

Mungu: <strong>Al</strong> hayyu qayyum, anayajua yote: Lataahudhuhu sinatun<br />

wala nawm, haumchukui usingizi kusinzia wala usingizi: Ya ala-mu<br />

ma-bayna aydihim, anajua yalo mbele yao watu wote: Wamaa<br />

halfahum, na yalo nyuma yao: Wala yuhituna, wala hawazungukii<br />

ukiwajua vilivyo: Minal-ilmi, katika elmu yake, Illa bimashaa-<strong>Al</strong>laa<br />

anachokitaka: Wasia kursiyuhus-sama-wati-wal-ardhi, kiti chake<br />

cha ufalme kimeenea mbingu zote na ardhi: Wala yau-duhu if<br />

dhuhuma wahuwal aliyul-a-dhim, hakumchokeshi kuhifadhi,<br />

Samha-wa-ti wal ardhi, siku hiyo: Yauma latamliku nafsun<br />

linafsin shaiyan wal amru yauma idhin lillah. Watu wa mwanzo<br />

watostahiki watopata kheri kubwa ni watu wenye kupendana kwa ajili ya<br />

Mwenyezi Mungu itanadiwa: Muta-ha-b-binalijala-lati andhilihum<br />

tahta dhili yauma la dhilim illa dhili, wako wapi wanaopendana<br />

kwa ajili ya utukufu wangu niwafunike chini ya kivuli changu siku ambayo<br />

leo hapana kivuli ila kivuli changu: Wajabat man abbat lin mutaha-bina<br />

fia, yamepasa mapenzi yangu kwa wenye kupendana kwa<br />

sababu yangu: <strong>Al</strong>muja lisina fia, wenye kukaa pamoja kama hivi na.<br />

12.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!