17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

KUZALIWA KWANGU NA MALEZI YANGU:<br />

“Naona afadhali nielezee kwanza msingi wa malezi.<br />

Nilizaliwa Zanzibar mwisho mwaka 1917 yaani<br />

December kwa mujibu wa Sheikh, yeye atakuwa anamjua<br />

Mzee wangu vizuri kwani alikua ameoa kwao, kwa Babu na<br />

Mama wote Masharifu walozaliwa Ngazija. Babu Abu-Bakkar<br />

Bin Salim, Mama Lydiid Jamallilleye.<br />

Babu mkubwa Sayyid Abdul-Hassan baada ya miaka<br />

miwili yaani 1938 Baba yangu huyo alifariki-Mungu<br />

amrehemu. Na baada ya miaka mitano ya umri wangu mama<br />

alifariki - Mungu amlaze mahali pema . Nikalelewa na Mume<br />

wa Khaalal Ibin Khaalat wa Mama yangu Seyyid Abdul-<br />

Fattaah Bin Ahmed Jamalilley akiitwa sharifu Abudu.<br />

KUANZA KUSOMA:<br />

Nilipelekwa chuoni kwa <strong>Al</strong>-Mar-hum Seyyid Sheikh<br />

Bin Abdul-Rahman Babake Seyyid Hassan Sheikh nikawa<br />

nasoma, na Sala nimesoma kwa Bibi mkubwa mwana-Ashata<br />

kama alivokua akiitwa Aisha lakini wakimwita Mwana-<br />

Ashata.<br />

Nikabaki baada ya kuhitimu nasomesha watoto chuoni huko<br />

huko na Khalafu nikawa nakwenda nasomesha watoto chuoni kwa<br />

Sharifu Abudu, na wakati huo huo tena nikatiwa Skuli, lakini kwa<br />

sababu ya kukawia kuingia Skuli, sikupata Mnazi mmoja.<br />

Nikapelekwa Mwembe-ladu kutoka Kisiwandui asubuhi, ninarudi<br />

halafu nakwenda saa nane tena mpaka mwisho nikaja zangu Mnazimmoja.<br />

Baada ya kusoma miaka mitatu Mwembe-ladu na mwalimu<br />

wa mwanzo wa Skuli hiyo alikuwa Juma Mohamed, wakimwita<br />

Juma Mohamed Mushte - sijui kwanini Mwalimu Juma <strong>Al</strong>lahu-<br />

Yarham.<br />

1.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!