Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
nao sasa yule aliyetuchukua Marekani akasema kwamba: “Naona<br />
kama kwamba Jumapili hii Wakristo wasiende Kanisani – badala<br />
yake watachanganyika na Waislamu na Mayahudi pamoja wafanye<br />
jambo la kiibada pamoja.<br />
Kila mtu asome kitu katika Dini yake. Mayahudi wasome<br />
Taurati, Wakristo wasome Zaburi na Dua ya Zaburi na Waislamu<br />
wasome Qur-an. Mambo yafanyike ki-njia ambayo Wayahudi<br />
hawatowaudhi Waislamu wala Wakristo. Na Wakristo watafute vile<br />
vile kwamba hawatakwenda kinyume na Waislamu na Wayahudi”<br />
Wakatupa shauri hilo, mimi nikamwambia yule Kijana wa<br />
Kimasri Muegyptian kua apande ahubiri, yeye afanye kazi ile, lakini<br />
akakataa . Mimi nikamwambia: “Lakini lini wataisikia Qur an na<br />
hatuna woga wowote wa kuonyesha kua Qur-an ndio sawa<br />
kuonyesha kua Qur-an itafunikwa au itazidiwa kabisa ndo sawa<br />
kuonyesha kua ndo kitabu cha Mnyezi Mungu hasa cha kweli<br />
kweli”. <strong>Al</strong>ipokataa mimi nikafanya, wale walosoma vitabu vyao na<br />
dua zao hapana alothibitika. Quran iliposomwa na aya gani<br />
ilosomwa.<br />
“Walaa Tastawi-l Hasanatu Walas Sayyiatu Id-Faa<br />
Billati Hiya Ahsan Faidhal Ladhi Bainaka wa<br />
Baynahu Ada-Watan wa Maaka Annahu Waliyyul<br />
Hamiid Yulaqi Qa-ha Illa-ladhiina Swabaru<br />
Wamaa Yulaqqa-ha Illa Dhu-Hadh-Dhin Adhiim”.<br />
Hiyo ndiyo Qur an, ni Aya mbili hizo zilizosomwa. Haiwi sawa<br />
Kiingereza ikifasiriwa:-<br />
“It can never be equal evils and virtue it will never be equal”.<br />
Tenda kwa lilo zuri kabisa jema kabisa, mtu akifanya ovu hutafuta<br />
lilo jema kabisa atende. Push away what whatever is the best<br />
what is the worst and all of a sudden that one who was your<br />
bitter enemy between you and him you will discover he has<br />
turned into a faithfull friend almost – irreletive. Mlipe mema<br />
mara utamuona amebadilika amekua rafiki mwema. Wala<br />
hawakutanishwi na hayo illa wenye kusubiri wala hawakutanishwi<br />
na hayo illa wenye fungu kubwa kwa Mungu.<br />
“Laa Ilaha Illallah wa Maa yulaqqa-ha Illal ladhina<br />
13.