17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

nao sasa yule aliyetuchukua Marekani akasema kwamba: “Naona<br />

kama kwamba Jumapili hii Wakristo wasiende Kanisani – badala<br />

yake watachanganyika na Waislamu na Mayahudi pamoja wafanye<br />

jambo la kiibada pamoja.<br />

Kila mtu asome kitu katika Dini yake. Mayahudi wasome<br />

Taurati, Wakristo wasome Zaburi na Dua ya Zaburi na Waislamu<br />

wasome Qur-an. Mambo yafanyike ki-njia ambayo Wayahudi<br />

hawatowaudhi Waislamu wala Wakristo. Na Wakristo watafute vile<br />

vile kwamba hawatakwenda kinyume na Waislamu na Wayahudi”<br />

Wakatupa shauri hilo, mimi nikamwambia yule Kijana wa<br />

Kimasri Muegyptian kua apande ahubiri, yeye afanye kazi ile, lakini<br />

akakataa . Mimi nikamwambia: “Lakini lini wataisikia Qur an na<br />

hatuna woga wowote wa kuonyesha kua Qur-an ndio sawa<br />

kuonyesha kua Qur-an itafunikwa au itazidiwa kabisa ndo sawa<br />

kuonyesha kua ndo kitabu cha Mnyezi Mungu hasa cha kweli<br />

kweli”. <strong>Al</strong>ipokataa mimi nikafanya, wale walosoma vitabu vyao na<br />

dua zao hapana alothibitika. Quran iliposomwa na aya gani<br />

ilosomwa.<br />

“Walaa Tastawi-l Hasanatu Walas Sayyiatu Id-Faa<br />

Billati Hiya Ahsan Faidhal Ladhi Bainaka wa<br />

Baynahu Ada-Watan wa Maaka Annahu Waliyyul<br />

Hamiid Yulaqi Qa-ha Illa-ladhiina Swabaru<br />

Wamaa Yulaqqa-ha Illa Dhu-Hadh-Dhin Adhiim”.<br />

Hiyo ndiyo Qur an, ni Aya mbili hizo zilizosomwa. Haiwi sawa<br />

Kiingereza ikifasiriwa:-<br />

“It can never be equal evils and virtue it will never be equal”.<br />

Tenda kwa lilo zuri kabisa jema kabisa, mtu akifanya ovu hutafuta<br />

lilo jema kabisa atende. Push away what whatever is the best<br />

what is the worst and all of a sudden that one who was your<br />

bitter enemy between you and him you will discover he has<br />

turned into a faithfull friend almost – irreletive. Mlipe mema<br />

mara utamuona amebadilika amekua rafiki mwema. Wala<br />

hawakutanishwi na hayo illa wenye kusubiri wala hawakutanishwi<br />

na hayo illa wenye fungu kubwa kwa Mungu.<br />

“Laa Ilaha Illallah wa Maa yulaqqa-ha Illal ladhina<br />

13.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!