17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

SAFARI YA PILI AMERIKA:<br />

“Tuliingia mji wa Nishilin na kila mtu akawekwa katika<br />

nyumba fulani, mimi nikawekwa katika Fiski University – pamoja<br />

na President wa Unit Squad Farsuk University pamoja na<br />

President wa hiyo Fiski University alikua ndo anahishimiwa kabisa<br />

New York na ni Mnegro. Hapo alikua na mkewe vile vile wote<br />

watu wahishimiwa sana. Ndo mwenye nyumba nzuri kubwa kabisa.<br />

Wakati wa kula akanambia “Jee! Grace?”; Wakristo<br />

husema kabla ya kula, inaitwa “Grace”, sisi Grace yetu ni:-<br />

“Bismillahir-Rahmanir-Raheem”. Hii ndo kwa ufupi, lakini watu<br />

wajuao kuna vitu zaidi katika vinavosemwa kabla ya kula, lakini<br />

hilo niliona ni refu na “Bismillahir-Rahmanir-Raheem” inatosha<br />

nikafasiri kwa Kiingereza:-<br />

“In the name of God the most compassionate the<br />

most merciful”.<br />

“O! hii sasa tutakua tukiitumia hii inatosha kabisa”. Na<br />

wanao wanafunzi walotoka nchi nyingine za Kiislamu katika<br />

University yao. Baada ya kula wakaniambia vile vile niseme kitu<br />

cha kushukuru kama wanavyofanya wao nikawaambia, siye yetu<br />

nyepesi tunasema:- “<strong>Al</strong>-hamdulillahi-Rabil-alameen”. “Haya<br />

sema” nikawaambia:-<br />

“<strong>Al</strong>l praises are due to God - the Lord the Evolver<br />

of the Universe the Sustainer of the Universe”.<br />

Tukakaa mwisho tukaondoka. Ajabu, namna walivyokaa na<br />

mimi kwa uzuri, mwisho wa mtu kukaa na mtu kwa uzuri sana, tena<br />

hawanijui mwanzo wala mwisho - tena kwa vizuri sana. Nikitaka<br />

kuondoka wemekataa, “Usiondoke”. Hatimae nikaondoka kama<br />

desturi ilivotengnezwa katika Programme.<br />

Nilipofika London nimewaandikia barua, katika barua<br />

nikasema nikatia maneno ya Kiarabu.<br />

“Maa Fil Maqaam Lidhyl Aql Wadhil Adab”<br />

19.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!