17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Basi watu hao (Manasara na Mayahudi) kama mnavoamini<br />

(nyinyi) itakua kweli wameongoka na wakikengeuka<br />

(wakikupa mgongo, nyongo) basi wao wapo<br />

katika upinzani tu. Basi Mnyezi Mungu atakulinda na<br />

shari yao, nao hawatakudhuruni kitu-(Wa Huwa-<br />

Samiiun <strong>Al</strong>ym) na ndo mwenye kusikia na mwenye<br />

kujua. (Sibghata – llahi) – hiyo radhi ya Mnyezi<br />

Mungu kisha ipanga katika nyoyo za waja, hiyo<br />

Sibghat llahi ni Babtism ya Mungu Ka-precise kua<br />

ambae kwa Wakristo Sharti Abatizwe.<br />

Padri ambatize mtu. Na unaona katika Uislamu laa - Mungu<br />

mwenyewe anakubatiza. Mambo ya Roho hayo Bin Adam<br />

mwenzake hayagusi. Mnyezi Mungu anasema, ukimwamini kuna<br />

Mjarad wa kuamini namna hiyo tu. Kama inavohitajiwa uamini<br />

Mungu mwenyewe. Amma kubatiza.<br />

“…Waman Ahsan Mina-llahi Swibghata wa Nahnu<br />

Lahu A-bidu-n”.<br />

“Na mimi mwema zaidi kuliko Mnyezi Mungu<br />

kwa Swibgha, na sisi kwa yeye ni wenye kumuabudu”.<br />

Qur an: 2:138.<br />

Mtu mwengine akutengenezee wende ukamuabudu<br />

mwengine. Akufanye unafaa-kuabudu, wende ukamuabudu<br />

mwengine. Huyo huyo unofaa kumuabudu ndiye ataekutengeneza<br />

akupokee, atengeneze mambo yako, kuonyesha Utolerence wa<br />

Uislamu, kukaa pamoja na watu wa dini nyingine kama Qur an<br />

inavyosema:-<br />

“Walaa Tujaadil Ahlil – kitaab Illa Billati<br />

Hiya Ahsan”.<br />

“Usijadiliane na watu wa chuo illa kwa namna iliyo<br />

nzuri (watu wa chuo Yahudi na Kristo) ilaa kwa namna<br />

iliyo nzuri kabisa”.<br />

Qur an: 29:46<br />

Haya katika Radio, katika Maklasi, katika mashangwe katika<br />

kila pahala mtu akipata fursa anatoa aya hizo na aya zinginezo<br />

11.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!