17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kwenda watoe kiasi kadhaa wa kadhaa na wakifika huko<br />

watatizamwa, watakua wageni wa Jumuiya ya Kimarekani moja<br />

wapo – wazungushwe wonyeshwe maisha ya Kimarekani yaliyo<br />

mema kwa mujibu wa vipimo vyao na mengine kwa vipimo vya<br />

watu wote.<br />

Kwa umri waliokua wakiutaka mimi nilikua nimekwisha kua<br />

mtu mzima lakini walipoona application yangu na kuniona<br />

wakanitia kati. Ilikuwa taabu kupata kipando tena, mwisho nikapata<br />

Greck Line ikanichukua mpaka Quebec, mji baada ya mji mpaka<br />

Batholomeo mpaka New York. Njiani bila shaka nikaona Niagara<br />

Falls. Shalalar Niagara – Mmiminiko wa maji katika mahali<br />

wanapokwenda watu kutizama. Pahala pa ajabu penye Nature –<br />

yaani umbo la ajabu.<br />

Bin Adam hajatia mkono wake, wenyewe tu linakwenda –<br />

lipo. Kutoka hapo ndo nkaenda Batholomeo – Batholomeo New<br />

York nkapokelewa na wenzangu wengine mmoja mmoja. Tena<br />

mmoja kutoka London tukakutana huko huko. Nimekwenda<br />

tukakutanika pamoja na Waislamu wawili watatu mmoja mtu wa<br />

Kimasr, mmoja wa Pakistan lakini sasa imekwisha kua kikatiba –<br />

Bangladesh tena. Na Dini nyinginezo na kabila nyinginezo.<br />

Tukachukuliwa kuzungushwa tukapitishwa States mbali mbali, na<br />

kila pahali tunapata fursa ya kupokewa kwa heshima na<br />

kuonyeshwa na kushughulikiwa, na wasaa wa kutoa fikra.<br />

Na bila shaka mtu Muislam kila akipata fursa jambo la<br />

mwanzo hutizama njia awaonyeshe watu nini Uislamu, nini faida<br />

zake nini ukweli wake, na <strong>Al</strong>-hamdulillah sikuziwacha fursa hizo.<br />

Hata unaona Naby Yusuf AS alipoulizwa habari za ndoto na wale<br />

watu wawili katika gereza kabla hajawajibu kawaambia.<br />

“Enyi Wafungwa wenzangu wawili Je! waungu wengi<br />

wanaofarikiana ndio bora (kuabudiwa) au Mnyezi<br />

Mungu mmoja mwenye nguvu (juu ya kila kitu)”.<br />

Qur an: 12:39<br />

“Inni Taraktu Millata Qawm Laa Yuuminun Billahi<br />

Wal-yawmil Akhir”<br />

Qur an: 12:39<br />

7.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!