19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

9<br />

heshima na boka mbele ya Imani ya Mungu inashuka sana. Paka sopoka kwa hii neno Mungu<br />

anakuwambia.<br />

Sheria ya Mungu ni ndani ya moyo yetu<br />

Wakati aliumba Mungu mtu aliweka ndani ya roho yake na moyo. Hii moyo inamusaidia<br />

kutembea na pasopo na inamuongoza kufanya nini na kuepuka toka kazi nini. Moyo haina kintu<br />

ingine paka sheria ya Mungu ndani ya kila mtu toka mwanzo ya kuumba yake. Hii sheria ni umoja<br />

na sheria ya kuandika, kwa sababu kila amri inatufundisha sheria ya Mungu, vile inatufundisha na<br />

moyo yetu.<br />

Sheria ya Mungu inatuwambia kuamini paka kwa Mungu moja; vile inatuonyesha na moyo<br />

yetu. Kwa hivi na watu wa pagano mengi na shauria ya moyo yao, walifamia paka Mungu moja.<br />

Sheria ya Mungu inatuwambia kuheshimiwa juu ya kila kiumbe ya dunia Muumba yetu na<br />

kwake paka inapaswa kuonyesha sifa ukubwa yetu; vile na moyo yetu inatuwambia.<br />

Sheria ya Mungu inatufundisha hapana kusadiki ya kama mtu fulani ni pamoja na Mungu;<br />

hivi inatuwambia na moyo yetu.<br />

Sheria ya Mungu inatuamuru kuonyesha utii kwa Mungu kama mkubwa mwenyezi wetu;<br />

vile inatuwambia na moyo yetu.<br />

Sheria ya Mungu inatushauria kuogopa Mungu kama Muhukumu mwenye haki; vile<br />

tunasikia kutuwambia na moyo yetu.<br />

Sheria Takatifu ya Mungu inahamuru kujilipiza wale watu wanachabula Jina ya Mungu;<br />

lakini na moyo yetu hasivumilia chabulana mbele ya Mungu.<br />

Sheria ya Mungu inatushauria kutii kwa Mungu kuliko ya kila mamlaka ya hii dunia; vile na<br />

moyo inatuwambia, kwa sababu ma Mamlaka ya hii dunia ni chini ya Nguvu ya Mungu.<br />

Sheria ya Mungu inaomba sisi kupenda Mungu kuliko ya bintu yoyote ya hii dunia; vile na<br />

moyo yetu inaomba, kwani Mungu ni Wema kabisa juu pia na Mwenyezi na chemchem ya kila<br />

kintu kizuri. Kwa hivi inapaswa sisi kumupenda kuliko ya kila kiumbe ingine.<br />

Sheria ya Mungu inatuwambia kumushukuru Mungu juu ya yoyote matendo na bintu yake;<br />

vile inatufundisha na moyo; inatushauria kumushukuru Mungu na inatuwambia kumueshimiwa.<br />

Sheria ya Mungu inatuwambia kukobeka kila kitumaini yetu kwa Mungu; vile na moyo.<br />

Kwani Mungu anaweza kufanya matendo yoyote kwani ni Mwenyezi, lakini kila kiumbe bila<br />

Mungu na mbali ya Mungu ni kintu kidogo na bila nguvu; kwa hivi na kitumaini yetu kwa<br />

matendo ya hii dunia ni ya wakati kidogo na bila nguvu.<br />

Sheria ya Mungu inatufundisha kutii na kusifu wazazi wetu na wa kubwa wetu wote, kwani<br />

Mungu aliwapatia kuuongoza; vile tunasikia kutuwambia na moyo yetu.<br />

Sheria ya Mungu inakataza sisi kufanya kazi kibaya kwa ndugu wetu ao kumuuwa; vile na<br />

moyo inatuwambia.<br />

Sheria ya Mungu inakataza kufanya zambi ya mwili pamoja na ma bibi wengine; lakini na<br />

moyo ya mtu inafanyika makari na inahukumu hii zambi kwani hasipende kuharibifu maungo<br />

yake na hii zambi mbaya.<br />

Sheria ya Mungu hasiache sisi kubeba bintu ya watu wengine, bila ruhusa yao; hii sauti<br />

inatuwambia na moyo yetu.<br />

Sheria ya Mungu inatuwambia kupatia kwa kila mtu anayeomba moja saidio; vile na moyo<br />

yetu inatushauria.<br />

Sheria ya Mungu inakataza kusema ma sauti wongo, kundaganya ao kulanda watu wengine;<br />

lakini na vile inatakaza na moyo yetu.<br />

Sheria hasitake kusitake mukaribifu wetu; vile inatwambia na moyo wetu.<br />

Sheria ya Mungu inatuamuru tusipende kuiba bintu ya watu wengine; vile inatuwambia na<br />

moyo yetu.<br />

9

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!