You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
9<br />
heshima na boka mbele ya Imani ya Mungu inashuka sana. Paka sopoka kwa hii neno Mungu<br />
anakuwambia.<br />
Sheria ya Mungu ni ndani ya moyo yetu<br />
Wakati aliumba Mungu mtu aliweka ndani ya roho yake na moyo. Hii moyo inamusaidia<br />
kutembea na pasopo na inamuongoza kufanya nini na kuepuka toka kazi nini. Moyo haina kintu<br />
ingine paka sheria ya Mungu ndani ya kila mtu toka mwanzo ya kuumba yake. Hii sheria ni umoja<br />
na sheria ya kuandika, kwa sababu kila amri inatufundisha sheria ya Mungu, vile inatufundisha na<br />
moyo yetu.<br />
Sheria ya Mungu inatuwambia kuamini paka kwa Mungu moja; vile inatuonyesha na moyo<br />
yetu. Kwa hivi na watu wa pagano mengi na shauria ya moyo yao, walifamia paka Mungu moja.<br />
Sheria ya Mungu inatuwambia kuheshimiwa juu ya kila kiumbe ya dunia Muumba yetu na<br />
kwake paka inapaswa kuonyesha sifa ukubwa yetu; vile na moyo yetu inatuwambia.<br />
Sheria ya Mungu inatufundisha hapana kusadiki ya kama mtu fulani ni pamoja na Mungu;<br />
hivi inatuwambia na moyo yetu.<br />
Sheria ya Mungu inatuamuru kuonyesha utii kwa Mungu kama mkubwa mwenyezi wetu;<br />
vile inatuwambia na moyo yetu.<br />
Sheria ya Mungu inatushauria kuogopa Mungu kama Muhukumu mwenye haki; vile<br />
tunasikia kutuwambia na moyo yetu.<br />
Sheria Takatifu ya Mungu inahamuru kujilipiza wale watu wanachabula Jina ya Mungu;<br />
lakini na moyo yetu hasivumilia chabulana mbele ya Mungu.<br />
Sheria ya Mungu inatushauria kutii kwa Mungu kuliko ya kila mamlaka ya hii dunia; vile na<br />
moyo inatuwambia, kwa sababu ma Mamlaka ya hii dunia ni chini ya Nguvu ya Mungu.<br />
Sheria ya Mungu inaomba sisi kupenda Mungu kuliko ya bintu yoyote ya hii dunia; vile na<br />
moyo yetu inaomba, kwani Mungu ni Wema kabisa juu pia na Mwenyezi na chemchem ya kila<br />
kintu kizuri. Kwa hivi inapaswa sisi kumupenda kuliko ya kila kiumbe ingine.<br />
Sheria ya Mungu inatuwambia kumushukuru Mungu juu ya yoyote matendo na bintu yake;<br />
vile inatufundisha na moyo; inatushauria kumushukuru Mungu na inatuwambia kumueshimiwa.<br />
Sheria ya Mungu inatuwambia kukobeka kila kitumaini yetu kwa Mungu; vile na moyo.<br />
Kwani Mungu anaweza kufanya matendo yoyote kwani ni Mwenyezi, lakini kila kiumbe bila<br />
Mungu na mbali ya Mungu ni kintu kidogo na bila nguvu; kwa hivi na kitumaini yetu kwa<br />
matendo ya hii dunia ni ya wakati kidogo na bila nguvu.<br />
Sheria ya Mungu inatufundisha kutii na kusifu wazazi wetu na wa kubwa wetu wote, kwani<br />
Mungu aliwapatia kuuongoza; vile tunasikia kutuwambia na moyo yetu.<br />
Sheria ya Mungu inakataza sisi kufanya kazi kibaya kwa ndugu wetu ao kumuuwa; vile na<br />
moyo inatuwambia.<br />
Sheria ya Mungu inakataza kufanya zambi ya mwili pamoja na ma bibi wengine; lakini na<br />
moyo ya mtu inafanyika makari na inahukumu hii zambi kwani hasipende kuharibifu maungo<br />
yake na hii zambi mbaya.<br />
Sheria ya Mungu hasiache sisi kubeba bintu ya watu wengine, bila ruhusa yao; hii sauti<br />
inatuwambia na moyo yetu.<br />
Sheria ya Mungu inatuwambia kupatia kwa kila mtu anayeomba moja saidio; vile na moyo<br />
yetu inatushauria.<br />
Sheria ya Mungu inakataza kusema ma sauti wongo, kundaganya ao kulanda watu wengine;<br />
lakini na vile inatakaza na moyo yetu.<br />
Sheria hasitake kusitake mukaribifu wetu; vile inatwambia na moyo wetu.<br />
Sheria ya Mungu inatuamuru tusipende kuiba bintu ya watu wengine; vile inatuwambia na<br />
moyo yetu.<br />
9