19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

5<br />

4.<br />

Huyu mtu anayependa kweli Mungu, anamukumbuka daima mu akili yake; anakumbuka<br />

mapendo na mafazili Yake. Hii mambo tunaiona na kwa mapendo katikati ya watu. Yule mtu<br />

tunampenda tunamkumbuka kila siku. Vile inafanyika na kwa mapendo yetu mbele ya Mungu.<br />

Huyu anayempenda, anamkumbuka daima, anamuwaza, anapumzika karibu yake na anamuangalia<br />

na ajabu. « kwa maana pahali hazina yako iko, pahali moyo wako utakapokuwa vilevile» (Matayo<br />

6, 21). Kwake zahabu mupendwa na mweshifiwa ni Mungu. Kwa hivi na roho yake iko daima<br />

karibu ya Bwana. Kwa hivi anakumbuka kila siku Jina takatifu ya Mungu. Na kama roho inajaza<br />

kwa mapendo ya Mungu, inaonyesha na inje hii ma alama ya mapendo yake kwa Mungu. . Ninyi<br />

wote wanasahabu Mungu, hawamupende. Usahabu ni alama ya kama mapendo hakuna. Huyu<br />

anayependa hasiweze kusahabu Mupendwa wake.<br />

5.<br />

Kama watu wa wili wanapendwa, wanataka kuwa daima pamoja. Ni kweli ya kama wa<br />

Kristiani wengi wanapenda kuwa pamoja na Kristu kwa utukufu Wake, lakini hawapende kuwa<br />

pamoja na Ye na kwa Msalaba na mateso Yake. Wanaomba Kwake kuriti Ufalme Wake, lakini<br />

hawapende kuvumilia pamoja na Ye. Vile wanaonyesha ya kama roho yao hasitembee ya<br />

kunioloka na hawapende kweli Kristu. Na, kama tunataka kusema na sauti kweli, hawa watu<br />

wanapenda kuliko maugo wao na hapana Kristu. Kwa hivi Bwana anasema: «Naye asiyechukua<br />

musalaba wake na kunifuata hanistahili» (Matayo 10, 38). Murafiki yetu ya kweli anaonekana kwa<br />

sikitiko wetu. Vile na huyu mtu anayependa kweli Kristu; kwa hii dunia anatembea pamoja na<br />

Kristu, roho yake inaunganishwa na Yeye, anavumilia mateso na msalaba Yake pamoja bila kuria.<br />

Yeye atakuwa kwa milele karibu ya Kristu. Huyu mtu anasema toka ndani ya moyo yake kwa<br />

Kristu: «lakini ni vizuri kwangu kukaribia Mungu» (Zaburi 73, 28).<br />

6.<br />

Uonyesho ingine ya mapendo yetu kwa Mungu ni na mapendo yetu mbele ya mukaribifu<br />

wetu. Huyu mtu anayependa kweli Mungu, huyu anapenda na kila ndugu wake. Chemchem ya<br />

mapendo mbele ya mukaribifu ni mapendo kwa Mungu. Na kupindua, mapendo mbele ya Mungu<br />

inaonekana toka mapendo yetu mbele ya wa ndugu wetu. Ni kweli, basi, ya kama huyu asiyependa<br />

mukaribifu yake, asipende na Mungu, sawa vile anatufundisha na Mtume: «Kama mutu akisema:<br />

Ninapenda Mungu, naye anachukia ndugu yake, ni muwongo; kwa maana asiyependa ndugu yake<br />

aliyemwona, hawezi kupenda Mungu asiyemwona. Na amri hii tumepewa naye; mwenye kupenda<br />

Mungu imemupasa kupenda ndugu yake vile» (Barua ya Mt. Yoane 4, 20-21).<br />

Hii ni ma alama ya mapendo yetu mbele ya Mungu.<br />

Wa Kristiani wapenzi wangu, tunapaswa kutubu na kuzarau mashangilio ya hii dunia.<br />

Tunapaswa kusafisha moyo wetu na toba na machozi juu ya kuikaa ndani yetu mapendo ya<br />

Mungu. «Mungu ni mapendo, naye anayekaa katika mapendo, anakaa ndani ya Mungu, na Mungu<br />

anakaa ndani yake» ( Barua ya kwanza ya Mt. Yoane 4, 16).<br />

Mungu ni Wema kuliko juu pia, na toka Huyu inatoka yoyote matendo mazuri na uzima ya<br />

milele.<br />

Bila Mungu kila furaha ni wenye mafigo na umasikini, uzima ni lufu na furaha na utamu ni<br />

uchungu. Lakini pamoja na Mungu kila sikitiko ni heri, umaskini ni utajiri, usiyeutukufu ni<br />

utukufu, usiyesifa ni sifa, mateso inajaza na utulivu. Bila Mungu hakuna namna kupata pumziko<br />

ukweli, amani na utulivu.<br />

Kwa hivi endelea kumupenda Mungu kama Wema moja ukubwa kabisa na kama Uzima<br />

moja mwenye milele. Umupenda Mungu yulu ya kila kiumbe, kupita ya baba na ya mama yako,<br />

kupita ya bibi na watoto wako. Tena umupenda yulu ya maungo yako. Paka Kwake umupatia roho<br />

yako na kuliko mingi ya kila kintu ingine Huyu utamupenda, utamutakia na utamufata. Kwani<br />

Mungu ni furaha yako wa milele na wema wako wa milele. . Bila Huyu hata kwa hii uzima, hata<br />

kwa uzima ya milele hakuna uzima mwenye heri.<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!