You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
5<br />
4.<br />
Huyu mtu anayependa kweli Mungu, anamukumbuka daima mu akili yake; anakumbuka<br />
mapendo na mafazili Yake. Hii mambo tunaiona na kwa mapendo katikati ya watu. Yule mtu<br />
tunampenda tunamkumbuka kila siku. Vile inafanyika na kwa mapendo yetu mbele ya Mungu.<br />
Huyu anayempenda, anamkumbuka daima, anamuwaza, anapumzika karibu yake na anamuangalia<br />
na ajabu. « kwa maana pahali hazina yako iko, pahali moyo wako utakapokuwa vilevile» (Matayo<br />
6, 21). Kwake zahabu mupendwa na mweshifiwa ni Mungu. Kwa hivi na roho yake iko daima<br />
karibu ya Bwana. Kwa hivi anakumbuka kila siku Jina takatifu ya Mungu. Na kama roho inajaza<br />
kwa mapendo ya Mungu, inaonyesha na inje hii ma alama ya mapendo yake kwa Mungu. . Ninyi<br />
wote wanasahabu Mungu, hawamupende. Usahabu ni alama ya kama mapendo hakuna. Huyu<br />
anayependa hasiweze kusahabu Mupendwa wake.<br />
5.<br />
Kama watu wa wili wanapendwa, wanataka kuwa daima pamoja. Ni kweli ya kama wa<br />
Kristiani wengi wanapenda kuwa pamoja na Kristu kwa utukufu Wake, lakini hawapende kuwa<br />
pamoja na Ye na kwa Msalaba na mateso Yake. Wanaomba Kwake kuriti Ufalme Wake, lakini<br />
hawapende kuvumilia pamoja na Ye. Vile wanaonyesha ya kama roho yao hasitembee ya<br />
kunioloka na hawapende kweli Kristu. Na, kama tunataka kusema na sauti kweli, hawa watu<br />
wanapenda kuliko maugo wao na hapana Kristu. Kwa hivi Bwana anasema: «Naye asiyechukua<br />
musalaba wake na kunifuata hanistahili» (Matayo 10, 38). Murafiki yetu ya kweli anaonekana kwa<br />
sikitiko wetu. Vile na huyu mtu anayependa kweli Kristu; kwa hii dunia anatembea pamoja na<br />
Kristu, roho yake inaunganishwa na Yeye, anavumilia mateso na msalaba Yake pamoja bila kuria.<br />
Yeye atakuwa kwa milele karibu ya Kristu. Huyu mtu anasema toka ndani ya moyo yake kwa<br />
Kristu: «lakini ni vizuri kwangu kukaribia Mungu» (Zaburi 73, 28).<br />
6.<br />
Uonyesho ingine ya mapendo yetu kwa Mungu ni na mapendo yetu mbele ya mukaribifu<br />
wetu. Huyu mtu anayependa kweli Mungu, huyu anapenda na kila ndugu wake. Chemchem ya<br />
mapendo mbele ya mukaribifu ni mapendo kwa Mungu. Na kupindua, mapendo mbele ya Mungu<br />
inaonekana toka mapendo yetu mbele ya wa ndugu wetu. Ni kweli, basi, ya kama huyu asiyependa<br />
mukaribifu yake, asipende na Mungu, sawa vile anatufundisha na Mtume: «Kama mutu akisema:<br />
Ninapenda Mungu, naye anachukia ndugu yake, ni muwongo; kwa maana asiyependa ndugu yake<br />
aliyemwona, hawezi kupenda Mungu asiyemwona. Na amri hii tumepewa naye; mwenye kupenda<br />
Mungu imemupasa kupenda ndugu yake vile» (Barua ya Mt. Yoane 4, 20-21).<br />
Hii ni ma alama ya mapendo yetu mbele ya Mungu.<br />
Wa Kristiani wapenzi wangu, tunapaswa kutubu na kuzarau mashangilio ya hii dunia.<br />
Tunapaswa kusafisha moyo wetu na toba na machozi juu ya kuikaa ndani yetu mapendo ya<br />
Mungu. «Mungu ni mapendo, naye anayekaa katika mapendo, anakaa ndani ya Mungu, na Mungu<br />
anakaa ndani yake» ( Barua ya kwanza ya Mt. Yoane 4, 16).<br />
Mungu ni Wema kuliko juu pia, na toka Huyu inatoka yoyote matendo mazuri na uzima ya<br />
milele.<br />
Bila Mungu kila furaha ni wenye mafigo na umasikini, uzima ni lufu na furaha na utamu ni<br />
uchungu. Lakini pamoja na Mungu kila sikitiko ni heri, umaskini ni utajiri, usiyeutukufu ni<br />
utukufu, usiyesifa ni sifa, mateso inajaza na utulivu. Bila Mungu hakuna namna kupata pumziko<br />
ukweli, amani na utulivu.<br />
Kwa hivi endelea kumupenda Mungu kama Wema moja ukubwa kabisa na kama Uzima<br />
moja mwenye milele. Umupenda Mungu yulu ya kila kiumbe, kupita ya baba na ya mama yako,<br />
kupita ya bibi na watoto wako. Tena umupenda yulu ya maungo yako. Paka Kwake umupatia roho<br />
yako na kuliko mingi ya kila kintu ingine Huyu utamupenda, utamutakia na utamufata. Kwani<br />
Mungu ni furaha yako wa milele na wema wako wa milele. . Bila Huyu hata kwa hii uzima, hata<br />
kwa uzima ya milele hakuna uzima mwenye heri.<br />
5