You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
15<br />
asikutake kumufata. Alifamia njia inayeongoza mu heri ya milele, lakini alikataa kuitembea.<br />
Alifunda na alilaka kutumika Bwana Yesu, lakini alikataa kufata malako yake. Alinawa,<br />
aliangazwa, alihakikishwa, lakini kisha alipotesha yoyote bintu takatifu. Alifanyika mtoto ya<br />
Mungu, lakini kisha alipotesha hii baraka kimungu. Alifanyika muriti ya uzima ya milele na<br />
ufalme, lakini alipotesha hii uriti. Kwa huyu mtu na wale wanamufata anaria Mtume Petro hivi:<br />
«Maana ingekuwa heri kwao kama wasingalijua njia ya haki, kuliko kujua, kisha kuacha ile amri<br />
takatifu waliyopewa» (barua ya mbili ya Mt. Petro 2, 21).<br />
Unaona, ndugu wangu, uharibifu nini ni kama Mukristu moja atafanya zambi? Na uwaza ya<br />
kama hii uharibifu hasionekane sasa, kwa sababu hasionekane na ma macho ya mwili yetu, lakini<br />
na ma macho ya roho. Itakuwa ya kufamia ile wakati matendo yetu yote wataonekana mbele ya<br />
dunia mzima, nikusema kwa Ufikisho ya Mbili ya Bwana Yesu Kristu.<br />
Ile wakati huyu Mukristu mupotevu ataona na atasikia hii mateso na uharibifu mnene.<br />
Ni kweli, ngapi machozi na maombolezo iko lazima kutosha huyu Mukristu kama anaishi<br />
kwa hii hali ya hatari? Sawa huyu mtu aliyenawa ndani ya maji na kisha alitelemuka na alijaza na<br />
uchafu, vile na Mukristu aliyenawa ndani ya Maji takatifu ya Ubatizo, anapata uchafu kwa ajili ya<br />
zambi yake.<br />
Huyu Mukristu anayefanya zambi, kisha Ubatizo yake, anafanana na mtu moja mbunji,<br />
ambaye walimuvaa na manguo mazuri, lakini yeye alitupa hii mavazi nzuri na alivaa mara ingine<br />
ma nguo yake mbaya ya zamani. Mukristiani na ma kilako ya zambi yake alivaa mavazi ya haki ya<br />
Kristu; lakini anatupa hii mavazi ya Mungu na anavaa mara ingine ma kilako yake ya wenye<br />
zambi.<br />
Huyu Mukristu ambaye alitoka ya giza ya zambi yake kwa nuru ya Kristu, nuru ukweli na<br />
kisha alirudia mara ingine pale aliishi zamani anafanana sawa yule mtu alitoka ya giza kwa nuru<br />
na kisha alirudia mara ingine ndani ya giza. Huyu Mukristu ambaye anafanya zambi anafanana<br />
sawa huyu mtu ni muhuru, lakini kisha anarudia mu uzima ya utumwa yake.<br />
Kwa hii fasi mbaya niko hawa watu:<br />
1. Wenye zambi ya mwili na wapotevu na wote watu wanayefanya kila zambi ya mwili.<br />
2. Ma mwivi, wanyanganyi, na ninyi wote na namna ya kuachana wanakombana kuiba bintu<br />
ya watu wengine.<br />
3. Watu wenye mbaya na ninyi wote wanakombana kuharabisha uzima ya wakaribifu wao.<br />
4. Wadanganyifu, wenye waovu na ninyi wote wanaishi na namna uwovu mbele ya watu<br />
wengine.<br />
5. Wenye kuchabula, wenye kukombana na wenye kuchukua.<br />
6. Ninyi wote wa mwamuzi wenye wanahukumu kila mambo na makuta na hapana katika<br />
malako ilipatia na katika kweli.<br />
7. Wakubwa watu, wenye awaonyesha mapendo na wema kwa watumishi wao.<br />
8. Ninyi watu wa biashara, wenye wanauza bintu yao mbaya na makuta mengi, wanauza<br />
bintu ya kuoza kama bintu mazuri, wanaomba makuta mengi na yulu ya bei yao ya nzuri.<br />
9. Ninyi wote wanafanya matendo ya malozi, tena wale wanaenda kwa mafumu ao<br />
wanawaita ma nyumba yao.<br />
10. Ninyi wote wanakanyanga ma amri ya Mungu bila boka na wanafanya kila zambi.<br />
*****<br />
Wa Kristiani wapenzi, wenye mulisafishwa na maji ya Ubatizo Takatifu! Sisi wote inapaswa<br />
kuangalia maungo wetu kama tuliepuka toka Kristu wetu na tulianguka mu uzima ya shetani. Kila<br />
mutu anayekuja kupindua ya sheria kimungu, anatumika kwa shetani na anajiepuka toka Yesu<br />
Kristu.<br />
Ole kwa wale wa Kristiani wanayefanya zambi, kisha Ubatizo yao! «Itakuwa kuvumilika<br />
kwa Sodomo na Gomora katika siku ya hukumu kuliko muji ule» (Matayo 10, 15), na hapana kwa<br />
wale wa Kristiani!<br />
15