19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

15<br />

asikutake kumufata. Alifamia njia inayeongoza mu heri ya milele, lakini alikataa kuitembea.<br />

Alifunda na alilaka kutumika Bwana Yesu, lakini alikataa kufata malako yake. Alinawa,<br />

aliangazwa, alihakikishwa, lakini kisha alipotesha yoyote bintu takatifu. Alifanyika mtoto ya<br />

Mungu, lakini kisha alipotesha hii baraka kimungu. Alifanyika muriti ya uzima ya milele na<br />

ufalme, lakini alipotesha hii uriti. Kwa huyu mtu na wale wanamufata anaria Mtume Petro hivi:<br />

«Maana ingekuwa heri kwao kama wasingalijua njia ya haki, kuliko kujua, kisha kuacha ile amri<br />

takatifu waliyopewa» (barua ya mbili ya Mt. Petro 2, 21).<br />

Unaona, ndugu wangu, uharibifu nini ni kama Mukristu moja atafanya zambi? Na uwaza ya<br />

kama hii uharibifu hasionekane sasa, kwa sababu hasionekane na ma macho ya mwili yetu, lakini<br />

na ma macho ya roho. Itakuwa ya kufamia ile wakati matendo yetu yote wataonekana mbele ya<br />

dunia mzima, nikusema kwa Ufikisho ya Mbili ya Bwana Yesu Kristu.<br />

Ile wakati huyu Mukristu mupotevu ataona na atasikia hii mateso na uharibifu mnene.<br />

Ni kweli, ngapi machozi na maombolezo iko lazima kutosha huyu Mukristu kama anaishi<br />

kwa hii hali ya hatari? Sawa huyu mtu aliyenawa ndani ya maji na kisha alitelemuka na alijaza na<br />

uchafu, vile na Mukristu aliyenawa ndani ya Maji takatifu ya Ubatizo, anapata uchafu kwa ajili ya<br />

zambi yake.<br />

Huyu Mukristu anayefanya zambi, kisha Ubatizo yake, anafanana na mtu moja mbunji,<br />

ambaye walimuvaa na manguo mazuri, lakini yeye alitupa hii mavazi nzuri na alivaa mara ingine<br />

ma nguo yake mbaya ya zamani. Mukristiani na ma kilako ya zambi yake alivaa mavazi ya haki ya<br />

Kristu; lakini anatupa hii mavazi ya Mungu na anavaa mara ingine ma kilako yake ya wenye<br />

zambi.<br />

Huyu Mukristu ambaye alitoka ya giza ya zambi yake kwa nuru ya Kristu, nuru ukweli na<br />

kisha alirudia mara ingine pale aliishi zamani anafanana sawa yule mtu alitoka ya giza kwa nuru<br />

na kisha alirudia mara ingine ndani ya giza. Huyu Mukristu ambaye anafanya zambi anafanana<br />

sawa huyu mtu ni muhuru, lakini kisha anarudia mu uzima ya utumwa yake.<br />

Kwa hii fasi mbaya niko hawa watu:<br />

1. Wenye zambi ya mwili na wapotevu na wote watu wanayefanya kila zambi ya mwili.<br />

2. Ma mwivi, wanyanganyi, na ninyi wote na namna ya kuachana wanakombana kuiba bintu<br />

ya watu wengine.<br />

3. Watu wenye mbaya na ninyi wote wanakombana kuharabisha uzima ya wakaribifu wao.<br />

4. Wadanganyifu, wenye waovu na ninyi wote wanaishi na namna uwovu mbele ya watu<br />

wengine.<br />

5. Wenye kuchabula, wenye kukombana na wenye kuchukua.<br />

6. Ninyi wote wa mwamuzi wenye wanahukumu kila mambo na makuta na hapana katika<br />

malako ilipatia na katika kweli.<br />

7. Wakubwa watu, wenye awaonyesha mapendo na wema kwa watumishi wao.<br />

8. Ninyi watu wa biashara, wenye wanauza bintu yao mbaya na makuta mengi, wanauza<br />

bintu ya kuoza kama bintu mazuri, wanaomba makuta mengi na yulu ya bei yao ya nzuri.<br />

9. Ninyi wote wanafanya matendo ya malozi, tena wale wanaenda kwa mafumu ao<br />

wanawaita ma nyumba yao.<br />

10. Ninyi wote wanakanyanga ma amri ya Mungu bila boka na wanafanya kila zambi.<br />

*****<br />

Wa Kristiani wapenzi, wenye mulisafishwa na maji ya Ubatizo Takatifu! Sisi wote inapaswa<br />

kuangalia maungo wetu kama tuliepuka toka Kristu wetu na tulianguka mu uzima ya shetani. Kila<br />

mutu anayekuja kupindua ya sheria kimungu, anatumika kwa shetani na anajiepuka toka Yesu<br />

Kristu.<br />

Ole kwa wale wa Kristiani wanayefanya zambi, kisha Ubatizo yao! «Itakuwa kuvumilika<br />

kwa Sodomo na Gomora katika siku ya hukumu kuliko muji ule» (Matayo 10, 15), na hapana kwa<br />

wale wa Kristiani!<br />

15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!