Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
35<br />
Krisostomo anandika hivi: «Ulevi hasina kintu ingine paka utoaji ya akili na mateso ya kuichekwa<br />
na malari ya kuichokozwa. Ulevi ni shetani. Kama munataka kuchunga maungo yenu na kusaidia<br />
na watu wengine mufata hii ma shauria inaifwatayo:<br />
1. Wa kijana haipaswe kunywa vinyo na ingine-ingine, kwa sababu wanaizombelea bio na<br />
kila zwezo atafunda mtu moja kwa udogo wake, anaiendelea mu uzima yake yote.<br />
2. Musiwaache wa kijana watu kutembea pamoja na walevi na watu wapotevu.<br />
3. Wenye wakubwa kwa kipimo haipaswe kunywa vinyo bila lazima mnene.<br />
4. Muepukeni ya kila mapatano mbaya na machezo.<br />
5. Mufundisheni wa ndugu wenu ya kama ni nguvu sana mtu moja kusimamisha hii zambi<br />
ya ulevi na tena ya kama watu mengi waliharabisha mwili na nafsi yao.<br />
6. Wale watu walizombelea hii zwezo kibaya ya ulevi, inapaswa kukamata silaha nguvu<br />
kupingana yake. Inapaswa kusimama na uvumilia, bila kulekea, inapaswa kuomba kwa<br />
Mungu juu ya kupata saidio na neema yake.<br />
7. Tena wale watu inapaswa kuleta mu akili yao ile mateso wanaishi ile saa ya ulevi yao na<br />
kisha watawaza namna gani ni uzima ya mtu moja mwenye akili na musiyekunywa.<br />
8. Tena inapaswa kuwaza ya kama watu mengi wanakufa pa hii zambi ya ulevi na<br />
wanasafiri toka hii nyakati kwa nyakati ya milele, bila mahasa na bila toba!<br />
Chuki<br />
Chuki ni moja ya zamani na ya wakati mingi hasira. Wakati hasira hasiangusha, inageuzwa<br />
kwa chuki. Kwa Mutume anatushauria na anatuwambia kufukuza hasira bio, kabisa bio:<br />
«Mukasirike na musifanye zambi; jua lisishuke na uchungu wenu hauja kwisha bado; wala<br />
musimupe shetani nafasi» (Kwa wa Efeso 4, 26-27). Hivi tunaona ya kama huyu mtu anayechunga<br />
hasira na chuki kupingana ya mukaribifu yake, anaacha shetani kuikaa ndani yake. Huyu shetani<br />
kwani ni roho ya chuki anamunyanganya na anamukokota kama mutumwa yake.<br />
Chuki inazaliwa ao toka tamaa- Kaina kwa mufano alikuwa na tamaa kupingana ya ndugu<br />
yake Abeli; alitamaa maendeleo yake mu kazi yake, kisha alimuchukia na alimuuwa (Mwanazo 4,<br />
8)- ao inazaliwa toka mazulumu wanayefanya watu kwa wa ndugu wao wengine. Nikusema watu<br />
wanasirika na wanachunga chuki kupingana ya yule mutu aliyewazulumu na wanataka na namna<br />
ya kuachana kuwafanyisia tendo moja kibaya.<br />
Hii zambi ya chuki na upumbafu na upotevu sana. Zambi ingine wanapata kidogo furaha<br />
kwa huyu mtu mwenye zambi: Kwa mufano huyu mwivi anaiba juu ya kupata kila kintu<br />
inayependa roho yake; mwenye zambi ya mwili anafanya zambi yake juu ya kufurahisha mwili<br />
yake; lakini huyu anayechukia hana na kintu kimoja ya furaha. Anafanya zambi na anateswa sana,<br />
anakanyanga sheria ya Mungu na anaharabisha uzima yake, anachukia na huyu mumoja anateswa<br />
kwa ajili ya matakio kutenda kazi kibaya kwa ndugu yake. Chuki yake ni malipizo na mateso<br />
yake.<br />
Kama ilikuwa namna kuangalia mtu moja roho ya yule mwenye kuchukia, ilikuwa namna<br />
kuona paka mateso ya gehena ndani ya roho yake. Vile inaelezewa juu ya ninyi watu wa chuki<br />
wanajaza na giza na wanasikitika na buchungu mu uso yao. Chuki kama sumu inakula mwili yao.<br />
O, zambi mnene ni hii! Ni zwezo matata na ya kuharabika roho ya yule mtu iko nayo ndani<br />
ya roho yake. Kama hasitafanye kangamano kukata hii zambi, itamuletea mu uzima yake uharibifu<br />
mingi, sawa vile moto inavimba mu nyumba moya na inalungua yoyote. Kama hasitasimamishwa<br />
na haraka, inazambalishwa kama moto pa kuni ya kukauka, sawa vile anatuwambia Mt. Yoane<br />
Krisostomo.<br />
Chuki inaonekana na namna mengi:<br />
Na uharabisho ya afya ya mtu mwingine.<br />
Ya kuuwa mutu mwingine sawa vile alifanya Kaina kwa ndugu yake Abeli.<br />
Ya kusema ma sauti mbaya na kumusitaka. Nikusema, huyu mtu mwenye chuki anatafuta<br />
kufanya kazi kibaya kwa ndugu yake; kama hasiweze, anatafuta namna ingine, nikusema anasema<br />
35