19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

35<br />

Krisostomo anandika hivi: «Ulevi hasina kintu ingine paka utoaji ya akili na mateso ya kuichekwa<br />

na malari ya kuichokozwa. Ulevi ni shetani. Kama munataka kuchunga maungo yenu na kusaidia<br />

na watu wengine mufata hii ma shauria inaifwatayo:<br />

1. Wa kijana haipaswe kunywa vinyo na ingine-ingine, kwa sababu wanaizombelea bio na<br />

kila zwezo atafunda mtu moja kwa udogo wake, anaiendelea mu uzima yake yote.<br />

2. Musiwaache wa kijana watu kutembea pamoja na walevi na watu wapotevu.<br />

3. Wenye wakubwa kwa kipimo haipaswe kunywa vinyo bila lazima mnene.<br />

4. Muepukeni ya kila mapatano mbaya na machezo.<br />

5. Mufundisheni wa ndugu wenu ya kama ni nguvu sana mtu moja kusimamisha hii zambi<br />

ya ulevi na tena ya kama watu mengi waliharabisha mwili na nafsi yao.<br />

6. Wale watu walizombelea hii zwezo kibaya ya ulevi, inapaswa kukamata silaha nguvu<br />

kupingana yake. Inapaswa kusimama na uvumilia, bila kulekea, inapaswa kuomba kwa<br />

Mungu juu ya kupata saidio na neema yake.<br />

7. Tena wale watu inapaswa kuleta mu akili yao ile mateso wanaishi ile saa ya ulevi yao na<br />

kisha watawaza namna gani ni uzima ya mtu moja mwenye akili na musiyekunywa.<br />

8. Tena inapaswa kuwaza ya kama watu mengi wanakufa pa hii zambi ya ulevi na<br />

wanasafiri toka hii nyakati kwa nyakati ya milele, bila mahasa na bila toba!<br />

Chuki<br />

Chuki ni moja ya zamani na ya wakati mingi hasira. Wakati hasira hasiangusha, inageuzwa<br />

kwa chuki. Kwa Mutume anatushauria na anatuwambia kufukuza hasira bio, kabisa bio:<br />

«Mukasirike na musifanye zambi; jua lisishuke na uchungu wenu hauja kwisha bado; wala<br />

musimupe shetani nafasi» (Kwa wa Efeso 4, 26-27). Hivi tunaona ya kama huyu mtu anayechunga<br />

hasira na chuki kupingana ya mukaribifu yake, anaacha shetani kuikaa ndani yake. Huyu shetani<br />

kwani ni roho ya chuki anamunyanganya na anamukokota kama mutumwa yake.<br />

Chuki inazaliwa ao toka tamaa- Kaina kwa mufano alikuwa na tamaa kupingana ya ndugu<br />

yake Abeli; alitamaa maendeleo yake mu kazi yake, kisha alimuchukia na alimuuwa (Mwanazo 4,<br />

8)- ao inazaliwa toka mazulumu wanayefanya watu kwa wa ndugu wao wengine. Nikusema watu<br />

wanasirika na wanachunga chuki kupingana ya yule mutu aliyewazulumu na wanataka na namna<br />

ya kuachana kuwafanyisia tendo moja kibaya.<br />

Hii zambi ya chuki na upumbafu na upotevu sana. Zambi ingine wanapata kidogo furaha<br />

kwa huyu mtu mwenye zambi: Kwa mufano huyu mwivi anaiba juu ya kupata kila kintu<br />

inayependa roho yake; mwenye zambi ya mwili anafanya zambi yake juu ya kufurahisha mwili<br />

yake; lakini huyu anayechukia hana na kintu kimoja ya furaha. Anafanya zambi na anateswa sana,<br />

anakanyanga sheria ya Mungu na anaharabisha uzima yake, anachukia na huyu mumoja anateswa<br />

kwa ajili ya matakio kutenda kazi kibaya kwa ndugu yake. Chuki yake ni malipizo na mateso<br />

yake.<br />

Kama ilikuwa namna kuangalia mtu moja roho ya yule mwenye kuchukia, ilikuwa namna<br />

kuona paka mateso ya gehena ndani ya roho yake. Vile inaelezewa juu ya ninyi watu wa chuki<br />

wanajaza na giza na wanasikitika na buchungu mu uso yao. Chuki kama sumu inakula mwili yao.<br />

O, zambi mnene ni hii! Ni zwezo matata na ya kuharabika roho ya yule mtu iko nayo ndani<br />

ya roho yake. Kama hasitafanye kangamano kukata hii zambi, itamuletea mu uzima yake uharibifu<br />

mingi, sawa vile moto inavimba mu nyumba moya na inalungua yoyote. Kama hasitasimamishwa<br />

na haraka, inazambalishwa kama moto pa kuni ya kukauka, sawa vile anatuwambia Mt. Yoane<br />

Krisostomo.<br />

Chuki inaonekana na namna mengi:<br />

Na uharabisho ya afya ya mtu mwingine.<br />

Ya kuuwa mutu mwingine sawa vile alifanya Kaina kwa ndugu yake Abeli.<br />

Ya kusema ma sauti mbaya na kumusitaka. Nikusema, huyu mtu mwenye chuki anatafuta<br />

kufanya kazi kibaya kwa ndugu yake; kama hasiweze, anatafuta namna ingine, nikusema anasema<br />

35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!