19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

17<br />

kitumaini yako, kwa sababu neema ya Mungu ni kupita ukubwa na mnene. Lakini sopoka kisha<br />

mu uzima yako, usikose mara ingine na tembea katika Sheria kimungu.<br />

Kama ulikosa kama mtu wa zambi mu njia ya maisha yako, usipotee kitumaini yako. Sikia<br />

mara moja zambi na kosa yako, pika magoti yako chini na unyenyekevu mbele ya macho wa<br />

mapendo ya Mungu omba rehema yake kama mtu mutozakodi: «Mungu unirehemu mimi<br />

mwenye zambi» (Luka 18, 13), na zambi yako itasamehewa.<br />

Wa ndugu wangu, tunatubu sasa kwa sababu inatumika tena upenda-wema ya Mungu; hivi<br />

tutaepuka tendo ya haki kimungu Yake na tusiende mu Gehena.<br />

Mwokozi<br />

Ufikisho ya Mwana wa Mungu katika mwili Yake mu dunia wanapatia nguvu kwa watu<br />

wenye zambi, kwani wanapata wakati kutubu.<br />

Ya mtu gani gani alishuka chini Kristu? Juu ya sisi wenye zambi. Na ya mambo gani? Juu<br />

ya wokovu wetu. O, ngapi tendo ukubwa ni wokovu wetu mu akili ya Mungu wetu! Kwa ajili ya<br />

wokovu wetu, ewe wa ndugu wenye zambi, alikuja Huyu mumoja duniani. Musikieni hii habari<br />

mweye wote wa ndugu wenye zambi na muwazeni: Mungu mumoja alikuja hapa kwa ajili ya<br />

wokovu wetu na tena alikuja na uso yetu kama mutu. «Ni pasipo shaka, siri ya utawa ni kubwa:<br />

Mungu alionekana katika mwili» (Barua ya kwanza kwaTimoteo 3, 16). «Bwana, mutu ni kitu<br />

gani hata unamujua? Ao mwana wa watu, hata unamwangalia? (Zaburi 144, 3).<br />

Kweli neema ya Mungu kwa mutu ni wa ajabu! Tendo yake ni stahili ya ajabu! Hii aliona ku<br />

mbele Nabii, alipaza sauti na boka na alisema: «Ee Bwana, nimesikia habari zako, na ninaogopa;<br />

ee Bwana, fufua kazi yako katikati ya miaka; » (Habakuki 3, 1-2).<br />

Ee wa ndugu wenye zambi, tunakumbuka sasa hii tendo ukubwa ya Mungu, iliyefanyikwa<br />

kwa ajili yetu na inapaswa kutubu. Tunawaza sasa ya kama alizaliwa toka Bikira Maria kwa ajili<br />

yetu, alifanyikwa mtoto mdogo na alikunywa mazimba! Alikuwa pasipo kuonekana na alifanyika<br />

ya kuonekana kama mutu katikati yetu; alikuwa bila mwanzo na alikamata mwanzo na alifungwa<br />

na ma sanda kama mtoto mdogo; alikuwa bila mwili na alikamata mwili lakini bila zambi!<br />

Tena inapaswa kukumbuka namna gani, wakati alikuwa mtoto mdogo, alikimbia<br />

kufijichama toka mfalme Herode mubaya. Tena tunakumbuka ya kama aliishi na alitembea mu<br />

inchi yetu; tena ya kama kwa ajili ya wokovu wetu alitembea mu kila muji na mukini na alichoka;<br />

huyu aliyekuwa namna kumukaribia majeshi ya Keruvimi na ma Serafimi, mu inchi yetu<br />

alitembea pamoja na watu wenye zambi; ya kama alikuwa na Kiti mbingu na kibasa inchi na<br />

aliikaa ndani ya nuru yasiyokaribia, lakini mu inchi yetu hasikukuwa na fasi ya kupumzika kichwa<br />

yake; tena alikuwa mutajiri sana, lakini alifanyikwa masikini juu ya kuwa sisi watajiri (Barua ya<br />

mbili kwa Korinto 8, 9).<br />

Tena inapaswa kukumbuka ya kama Huyu aliyevaa nuru kama nguo (Zaburi 104, 12), alivaa<br />

mavazi (mwili) yetu ya bure; aliyepatia chakula kwa kila nyama (Zaburi 136, 25) kwa inchi yetu<br />

aliishi na mukate ya inchi yetu; huyu mwenyezi alionekana kama mutu pasipo nguvu na huyu<br />

anayepatia nguvu mu dunia, alichoka hapa kama mutu ya bure.<br />

Tena tunakumbuka namna gani Huyu aliyekuwa mukubwa ya kila utukufu na sifa,<br />

alijichabula toka midomo ya watu wenye zambi, walimuchabula na matusi mbaya na<br />

walimuchokoza. Tena tunakumbuka namna gani aligonjwa, alitaambu, alisikitika, aliria, alisikia<br />

uovu; namna gani alijitoa toka mwanafunji mukafiri wake na alijiuzisha na bei ya makuta 30 na<br />

wanafunji wengine walimuacha; namna gani walimukokota kwa uhukumu, namna gani<br />

walimuhukumu wenye wazulumu na wasiyohaki; namna gani walimupika na fimbo, walimuvaa<br />

nguo ya kumuchokoza, walimuchabula na walimuwambia ma neno ya udanganyifu sawa hivi:<br />

«salamu ee mfalme wa Wayuda»! Namna gani walimuweka pa kichwa yake taji ya miimba,<br />

walimupika na simbala na alisikia Yesu toka ma kinywa ya Wayuda: «Umwondoshe,<br />

umwondoshw, umusulibishe! » (Yoane 19, 15).<br />

17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!