Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
39<br />
kutembea kwa maendeleo ya uzima ya roho. sawa haina kazi teke-tekle moja chombo kutembea<br />
kupingana ya pepo nguvu ndani ya mutoni moja. Iko lazima kusaidia watumishi ya hii chombo,<br />
pepo na ma nguo ya pepo. Vile na mtu moja kwa uzima yake ya roho na tendo ya wokovu yake,<br />
ikona lazima ya saidio ya Mungu. Unapenda kushindi maungo yako; lakini namna gani iko namna<br />
kufanyikwa hii kazi bila saidio ya Mungu mwenyezi?<br />
Hali yetu uharibifu ni ngapi! Kwa hivi shetani anakombana bila usimamisho kila mtu na<br />
anakombana kumutupa mu zambi na kumubamba ndani ya makila yake. Ma furaha ya utamu ya<br />
hii dunia wanatuzunguluka na wanatukokota. Tena na zambi na ma zwezo mbaya wanatukokota<br />
karibu yao. Tunaona watu wa mingi, wenye walitubu na walianza kusiha katika sheria ya Mungu,<br />
lakini kisha wanatoka ya njia ukweli na wanatelemuka mu zambi na uharibifu.<br />
Toka hii yote ma sauti tunasikia ya kama tusiweze, bila saidio ya Mungu Mwenyezi, kuanza<br />
uzima ya heshima ya Mungu, kuishi katika Kristu na kukufa katika sheria ya Kristu. Hawa<br />
wanapita ndani ya majaribu, wanajua hii mambo.<br />
Kwa hivi, anatuwambia kweli Bwana Yesu: «Pasipo mimi hamuwezi kufanya neno» (Yoane<br />
15, 5). Kila saa na kila dakika tuko na lazima ya nguvu kimungu. Basi, kama unatakia kuishi na<br />
boka ya Mungu, kama Mukristu wa kweli juu ya kuokolewa, omba bila kusimama Mungu saidio<br />
ya Mungu. Mungu, katika ubinadamu yake, sawa vile alitutangaza kuomba Kwake na kuomba kila<br />
kintu wema, hivi alitulaka ya kama atatupatia ile kintu tunaiomba, nikusema ile ni lazima ya<br />
wokovu wetu: «Ombeni, nanyi mutapewa; tafuteni, nanyi mutaona; pigeni mulango, nanyi<br />
mutagunguliwa; kwa maana kila mutu anayeomba anapokea; naye anayetafuta anapata; naye<br />
anayepiga mulango atafunguliwa» (Matayo 7, 7-8).<br />
Neema Takatifu ni uzima ya nafsi yetu. Bila hii nafsi yetu hakuna namna kuishi. sawa vile<br />
mwili yetu hasiishi paka pamoja na nafsi, vile na nafsi hasiweze kuishi paka pamoja na neema<br />
takatifu.<br />
Basi, omba daima na omboleza mbele ya Bwana Yesu juu ya akupatia Neema Yake takatifu.<br />
Ee mupendwa wangu, inapaswa ku jua ya kama Mukristu bila sala ni ndege bila mabawa na<br />
askari bila bunduki. Omba kwa Bwana Yesu Kristu ya kuendelea na umotoa maungo yako Kwake<br />
juu ya kuongoza mu uzima ya milele na wa heri. Lakini fanya nguvu na weye kujichunga; na Yule<br />
mukuona sindano yako atakusaidia kwa matendo yako yote.<br />
Makumbusho ya Mateso takatifu ya Bwana Yesu<br />
Makumbusho ya Mateso takatifu ya Bwana Yesu ni kweli moja nguvu saidio mu sindano<br />
kupingana ya zambi na mu saidio ya uzima katika Kristu. Mutume anatuwambia: «Na kama<br />
mukimwita Baba, yeye anayehukumu kila mutu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake,<br />
mwendelee na woga katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni; mukijua mumekombolewa,<br />
kwa vitu vinavyoharibika, kwa feza ao zahabu, mupate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa<br />
muliopokea kwa baba zenu; lakini kwa damu ya damani, kama ya kondoo asiye na kilema wala<br />
alama, damu ya Kristu» (Barua ya kwanza ya Mt. Petro 1, 17-19).<br />
Ee Mukristu wangu, uwaza, namna gani uliokolewa toka zambi, shetani, hadeze na lufu wa<br />
milele: hapana na ma zawadi ya bure. Lakini namna gani? katika Damu Uheshimiwa na usifiwa ya<br />
Kristu, Mwana wa Mungu. Basi, utapendeza kukosa na mapenzi yako na kuzarau katika zambi<br />
yako moja Mufazili mkubwa sawa Huyu Bwana Yesu? Utafanya mara ingine hii kazi kibaya<br />
kutupa maungo yako ndani ya hii uharibifu, pahali alikuokoa Yesu na Mateso yake ya uchungu<br />
kabisa? Hii inafanana sawa mtu moja alikuokoa toka lufu, toka moto, toka bahari toka utumwa ao<br />
buloko ao toka kazi kibaya ingine na weye kisha na mapenzi yako unatoa maungo yako kwa hii<br />
kazi kibaya.<br />
Vile unafanya na weye, kama unakosa na unatoa mara ingine nafsi yako kwa shetani na<br />
unatupa maungo yako mu uharibifu wa milele.<br />
39