19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

39<br />

kutembea kwa maendeleo ya uzima ya roho. sawa haina kazi teke-tekle moja chombo kutembea<br />

kupingana ya pepo nguvu ndani ya mutoni moja. Iko lazima kusaidia watumishi ya hii chombo,<br />

pepo na ma nguo ya pepo. Vile na mtu moja kwa uzima yake ya roho na tendo ya wokovu yake,<br />

ikona lazima ya saidio ya Mungu. Unapenda kushindi maungo yako; lakini namna gani iko namna<br />

kufanyikwa hii kazi bila saidio ya Mungu mwenyezi?<br />

Hali yetu uharibifu ni ngapi! Kwa hivi shetani anakombana bila usimamisho kila mtu na<br />

anakombana kumutupa mu zambi na kumubamba ndani ya makila yake. Ma furaha ya utamu ya<br />

hii dunia wanatuzunguluka na wanatukokota. Tena na zambi na ma zwezo mbaya wanatukokota<br />

karibu yao. Tunaona watu wa mingi, wenye walitubu na walianza kusiha katika sheria ya Mungu,<br />

lakini kisha wanatoka ya njia ukweli na wanatelemuka mu zambi na uharibifu.<br />

Toka hii yote ma sauti tunasikia ya kama tusiweze, bila saidio ya Mungu Mwenyezi, kuanza<br />

uzima ya heshima ya Mungu, kuishi katika Kristu na kukufa katika sheria ya Kristu. Hawa<br />

wanapita ndani ya majaribu, wanajua hii mambo.<br />

Kwa hivi, anatuwambia kweli Bwana Yesu: «Pasipo mimi hamuwezi kufanya neno» (Yoane<br />

15, 5). Kila saa na kila dakika tuko na lazima ya nguvu kimungu. Basi, kama unatakia kuishi na<br />

boka ya Mungu, kama Mukristu wa kweli juu ya kuokolewa, omba bila kusimama Mungu saidio<br />

ya Mungu. Mungu, katika ubinadamu yake, sawa vile alitutangaza kuomba Kwake na kuomba kila<br />

kintu wema, hivi alitulaka ya kama atatupatia ile kintu tunaiomba, nikusema ile ni lazima ya<br />

wokovu wetu: «Ombeni, nanyi mutapewa; tafuteni, nanyi mutaona; pigeni mulango, nanyi<br />

mutagunguliwa; kwa maana kila mutu anayeomba anapokea; naye anayetafuta anapata; naye<br />

anayepiga mulango atafunguliwa» (Matayo 7, 7-8).<br />

Neema Takatifu ni uzima ya nafsi yetu. Bila hii nafsi yetu hakuna namna kuishi. sawa vile<br />

mwili yetu hasiishi paka pamoja na nafsi, vile na nafsi hasiweze kuishi paka pamoja na neema<br />

takatifu.<br />

Basi, omba daima na omboleza mbele ya Bwana Yesu juu ya akupatia Neema Yake takatifu.<br />

Ee mupendwa wangu, inapaswa ku jua ya kama Mukristu bila sala ni ndege bila mabawa na<br />

askari bila bunduki. Omba kwa Bwana Yesu Kristu ya kuendelea na umotoa maungo yako Kwake<br />

juu ya kuongoza mu uzima ya milele na wa heri. Lakini fanya nguvu na weye kujichunga; na Yule<br />

mukuona sindano yako atakusaidia kwa matendo yako yote.<br />

Makumbusho ya Mateso takatifu ya Bwana Yesu<br />

Makumbusho ya Mateso takatifu ya Bwana Yesu ni kweli moja nguvu saidio mu sindano<br />

kupingana ya zambi na mu saidio ya uzima katika Kristu. Mutume anatuwambia: «Na kama<br />

mukimwita Baba, yeye anayehukumu kila mutu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake,<br />

mwendelee na woga katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni; mukijua mumekombolewa,<br />

kwa vitu vinavyoharibika, kwa feza ao zahabu, mupate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa<br />

muliopokea kwa baba zenu; lakini kwa damu ya damani, kama ya kondoo asiye na kilema wala<br />

alama, damu ya Kristu» (Barua ya kwanza ya Mt. Petro 1, 17-19).<br />

Ee Mukristu wangu, uwaza, namna gani uliokolewa toka zambi, shetani, hadeze na lufu wa<br />

milele: hapana na ma zawadi ya bure. Lakini namna gani? katika Damu Uheshimiwa na usifiwa ya<br />

Kristu, Mwana wa Mungu. Basi, utapendeza kukosa na mapenzi yako na kuzarau katika zambi<br />

yako moja Mufazili mkubwa sawa Huyu Bwana Yesu? Utafanya mara ingine hii kazi kibaya<br />

kutupa maungo yako ndani ya hii uharibifu, pahali alikuokoa Yesu na Mateso yake ya uchungu<br />

kabisa? Hii inafanana sawa mtu moja alikuokoa toka lufu, toka moto, toka bahari toka utumwa ao<br />

buloko ao toka kazi kibaya ingine na weye kisha na mapenzi yako unatoa maungo yako kwa hii<br />

kazi kibaya.<br />

Vile unafanya na weye, kama unakosa na unatoa mara ingine nafsi yako kwa shetani na<br />

unatupa maungo yako mu uharibifu wa milele.<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!