You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
33<br />
*****<br />
Hakuna faida ya roho kama unaangalia matendo ya watu wengine. Hii maangalio inapatia<br />
mwanzo ya kuchukia, masimango na zambi ingine. Ni nani lazima kuangalia matendo ya wa<br />
ndugu wako? Ya kwanza angalia na hukumu na famia maungo yako.<br />
Kumbuka zambi yako ya zamani na safisha hii zambi kwa toba na kuvunjika ya roho yako;<br />
vile usitaangalia watu wengine wanafanya ninyi. Angalia kila siku ndani yako kama inakaa pale<br />
hata moja zwezo mbaya na hivi utafurahi kutafuta makosa yako ndani ya maungo na roho yako. Ni<br />
kweli ya kama haina namna kuangalia sisi kweli na safi roho yetu, lakini tunaweza kujua ya kama<br />
ndani yake inafuchama kila kazi kibaya. Hii uhukumu itakusaidia kwa sababu inazala<br />
unyenyekevu, boka ya Mungu, maendeleo ya maungo yako, upandisho kwa sala na mapendo ya<br />
Mungu.<br />
Uhukumu ya ma kosa wa watu wengine ni kupindua chemchem ya kila zambi. Na mbele ya<br />
macho ya Mungu na ya watu wote hii uhukumu ni zambi na inaleta chuki. Basi, chunga moyo<br />
yako toka hii zambi.<br />
Kama utaona ao utasikia mtu moja ambaye akafanya zambi fulani, usimuhukumu. Kama<br />
weye utasema zambi yake kwa mtu mwingine, yeye ataisema kwa mtu wa mbili, yule kwa mtu wa<br />
tatu, wa ine na hivi watasikia watu wote zambi yake; kisha watamuhukumu na hii zambi yao<br />
itakuwa mnene. Basi, sababu ya hii yote hali uko weye, aliyesimanga ya kwanza zambi yake<br />
ndugu yako.<br />
Ninyi wote wanahukumu na wanachabula wa ndugu wao, wanafanana na wenye wagonjwa<br />
ya lepre, wenye wanauzi na buchafu yao na watu wengine; ao wanafanana na wale walipata malari<br />
ya kuzambalishwa na kwa watu wengine na hivi wanapeleka hii malari yao na kwa watu wengine<br />
na hivi wanaleta mateso ma fasi yote. Kwa hivi usichabula mukaribifu yako, kwa sababu unakosa<br />
nguvu sana na weye na unaleta maneno na kwa watu wengine kufanya zambi ya kuhukumu.<br />
Tena toka ya zambi ya uhukumu, kwa sababu kila mtu «kwa bwana yake mwenyewe<br />
anasimama ao anaanguka» (Wa Roma 14, 4). Lakini na weye uko mwenye zambi; na kama huyu<br />
mwenye haki haipaswe kuhukumu na kusimanga, ngapi kuliko mingi haipaswe kusimanga moja<br />
mwenye zambi?<br />
Uhukumu ya watu ni kazi paka ya Bwana Yesu, kwani Mungu Baba Yake alimupatia hii<br />
mamlaka. Huyu atahukumu wenye kufa na wenye mzima na kwa hii uhukumu utakuwa na weye.<br />
Basi, sopoka, kama unaiba mamlaka ya Bwana Yesu, kwani ni zambi mnene sana.<br />
Usihukumu watu wenye wanafanana na weye, kwa sababu utakuwa kwa Uhukumu wa<br />
milele mukosefu sana na utahukumwa kwa gehena ya milele. Pindula macho yako na uwazo yako<br />
paka kwa maungo yako; umuangalie maungo yako, umufungula na umuhukumu paka maungo<br />
yako mbele ya Mungu kwa ajili ya zambi yako, kwa sababu hivi utapata toba. Omba toka Mungu<br />
rehema kwa saidio ya maungo yako mukosefu, sawa vile na muto zakodi, juu ya kupata haki<br />
katika wema Wake.<br />
Sikia, anasema ninyi Bwana Yesu Kristu kwa huyu anayehukumu: «Kwa nini unaona<br />
kitakataka ndani ya jicho la ndugu yako, lakini hufikili boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?<br />
Ao namna gani utamwambia nfugu yako: Unipe rehusa nitoe kitakataka ndani ya jicho lako; na<br />
tazama boriti ni ndani ya jicho lako mwenyewe? Mudanganyifu, uondoe kwanza boriti ndani ya<br />
jicho lako mwenyewe; kisha utaona wazi kitakataka ndani ya jicho la ndugu yako» (Matayo 7, 3-<br />
5).<br />
Unaona ya kama ninyi wote wanahukumu na wanasimanga watu wengine ni wadanganyifu<br />
na wa Krisrtiani wa wongo? Hawa wa Kristiani, wenye wanaonekana inje kama watakatifu,<br />
wekona zambi ya siri hawapende kuiona na hivi hawajue maungo yao ya kweli.<br />
33