19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

33<br />

*****<br />

Hakuna faida ya roho kama unaangalia matendo ya watu wengine. Hii maangalio inapatia<br />

mwanzo ya kuchukia, masimango na zambi ingine. Ni nani lazima kuangalia matendo ya wa<br />

ndugu wako? Ya kwanza angalia na hukumu na famia maungo yako.<br />

Kumbuka zambi yako ya zamani na safisha hii zambi kwa toba na kuvunjika ya roho yako;<br />

vile usitaangalia watu wengine wanafanya ninyi. Angalia kila siku ndani yako kama inakaa pale<br />

hata moja zwezo mbaya na hivi utafurahi kutafuta makosa yako ndani ya maungo na roho yako. Ni<br />

kweli ya kama haina namna kuangalia sisi kweli na safi roho yetu, lakini tunaweza kujua ya kama<br />

ndani yake inafuchama kila kazi kibaya. Hii uhukumu itakusaidia kwa sababu inazala<br />

unyenyekevu, boka ya Mungu, maendeleo ya maungo yako, upandisho kwa sala na mapendo ya<br />

Mungu.<br />

Uhukumu ya ma kosa wa watu wengine ni kupindua chemchem ya kila zambi. Na mbele ya<br />

macho ya Mungu na ya watu wote hii uhukumu ni zambi na inaleta chuki. Basi, chunga moyo<br />

yako toka hii zambi.<br />

Kama utaona ao utasikia mtu moja ambaye akafanya zambi fulani, usimuhukumu. Kama<br />

weye utasema zambi yake kwa mtu mwingine, yeye ataisema kwa mtu wa mbili, yule kwa mtu wa<br />

tatu, wa ine na hivi watasikia watu wote zambi yake; kisha watamuhukumu na hii zambi yao<br />

itakuwa mnene. Basi, sababu ya hii yote hali uko weye, aliyesimanga ya kwanza zambi yake<br />

ndugu yako.<br />

Ninyi wote wanahukumu na wanachabula wa ndugu wao, wanafanana na wenye wagonjwa<br />

ya lepre, wenye wanauzi na buchafu yao na watu wengine; ao wanafanana na wale walipata malari<br />

ya kuzambalishwa na kwa watu wengine na hivi wanapeleka hii malari yao na kwa watu wengine<br />

na hivi wanaleta mateso ma fasi yote. Kwa hivi usichabula mukaribifu yako, kwa sababu unakosa<br />

nguvu sana na weye na unaleta maneno na kwa watu wengine kufanya zambi ya kuhukumu.<br />

Tena toka ya zambi ya uhukumu, kwa sababu kila mtu «kwa bwana yake mwenyewe<br />

anasimama ao anaanguka» (Wa Roma 14, 4). Lakini na weye uko mwenye zambi; na kama huyu<br />

mwenye haki haipaswe kuhukumu na kusimanga, ngapi kuliko mingi haipaswe kusimanga moja<br />

mwenye zambi?<br />

Uhukumu ya watu ni kazi paka ya Bwana Yesu, kwani Mungu Baba Yake alimupatia hii<br />

mamlaka. Huyu atahukumu wenye kufa na wenye mzima na kwa hii uhukumu utakuwa na weye.<br />

Basi, sopoka, kama unaiba mamlaka ya Bwana Yesu, kwani ni zambi mnene sana.<br />

Usihukumu watu wenye wanafanana na weye, kwa sababu utakuwa kwa Uhukumu wa<br />

milele mukosefu sana na utahukumwa kwa gehena ya milele. Pindula macho yako na uwazo yako<br />

paka kwa maungo yako; umuangalie maungo yako, umufungula na umuhukumu paka maungo<br />

yako mbele ya Mungu kwa ajili ya zambi yako, kwa sababu hivi utapata toba. Omba toka Mungu<br />

rehema kwa saidio ya maungo yako mukosefu, sawa vile na muto zakodi, juu ya kupata haki<br />

katika wema Wake.<br />

Sikia, anasema ninyi Bwana Yesu Kristu kwa huyu anayehukumu: «Kwa nini unaona<br />

kitakataka ndani ya jicho la ndugu yako, lakini hufikili boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?<br />

Ao namna gani utamwambia nfugu yako: Unipe rehusa nitoe kitakataka ndani ya jicho lako; na<br />

tazama boriti ni ndani ya jicho lako mwenyewe? Mudanganyifu, uondoe kwanza boriti ndani ya<br />

jicho lako mwenyewe; kisha utaona wazi kitakataka ndani ya jicho la ndugu yako» (Matayo 7, 3-<br />

5).<br />

Unaona ya kama ninyi wote wanahukumu na wanasimanga watu wengine ni wadanganyifu<br />

na wa Krisrtiani wa wongo? Hawa wa Kristiani, wenye wanaonekana inje kama watakatifu,<br />

wekona zambi ya siri hawapende kuiona na hivi hawajue maungo yao ya kweli.<br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!