Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
43<br />
6.<br />
Kama iko lazima kulipiza mutumishi yako moja, utafanya hii kazi na sikitiko na boka mingi.<br />
Kama unafokea mtumishi moja, sopoka usisema ma ssauti mbaya na matusi. Usiseme sawa hivi:<br />
«Uko mwenye kulanda, uko mupotevu, uko mwenye kuiba na ma sauti ingine-ingine. Hii ma sauti<br />
ni matusi na hapana malipizo. Kama unalipiza, inapaswa kulipiza na hapana kumutesa ao<br />
kumuchabulana mutumishi yako. Wakubwa mengi wanaonyesha hata mingi hasira kwa<br />
watumishi wao kama ma nyama makari. Lakini weye utalipiza mutumishi yako na mapendo juu<br />
ya kumusaidia kutengeneza mufano yake. Hii ni roho ya Kristianisme: Nikusema inapaswa<br />
kusikia mapendo mu taabu na umivu ya ndugu yangu. Uwaza ya kama huyu anayelipizwa ni<br />
ndugu yako ambaye eko na mwili umoja na weye na mateso mamoja na weye.<br />
7.<br />
Kama utasikia hasira na kisilani mu roho yako kupingana ya mutumishi yako, chunga roho<br />
yako, usimuchabula ao kumulipiza ile saa. Ongolea kidogo kushusha nguvu ya kisilani, kwa<br />
sababu usitaweze na hali mbaya kumulipiza katika sheria ya Kristu. Kama utafanyia tendo moja<br />
na haraka, utamulipiza bila haki na inje ya sheria ya Kristu na kisha wakati kidogo utataabu na<br />
usitaweze kumusaidia mufano yake.<br />
Hasira ni kama moja pepo nguvu inayetosha yoyote bintu inayepata mbele yake. Ni kama<br />
moto inayelungua yoyote. Mu saa ya kisilani mtu hasiweze kufanya hata tendo moja nzuri, lakini<br />
eko na nguvu kufanya paka matendo mazuri.<br />
8.<br />
Uwaza nzuri ya kama uko Mukristu na mkubwa ya wa Kristiani wengine. Wa Kristiani wote<br />
ni wa ndugu katikati yao. Kristu, Bwana wetu, hasishaka kuita hawa wa ndugu Wake. Lakini sisi<br />
watu wadongo ngapi kupita mingi, iko lazima kuita hawa wakubwa wetu wa ndugu wetu!<br />
9<br />
Basi, sopoka usizarau watumishi wako na usiwaangalia kama kibasa ya miguu yako, sawa<br />
vile wanafanya watu wengine. Inapaswa kujua ya kama katikati yao ni na watakatifu na warafiki<br />
ya Kristu na ni zambi mnene, sawa vile unasikia, kuwanyenyekevu na kuwachekelea. Kama<br />
mamlaka yako na cheo yako inakupanda yulu, lakini ndani yako uwaza ya kama weye usikuwe<br />
kuliko mukubwa na tena ya kama matendo yoyote ni ya Mungu. Mungu anaweza moja mutumishi<br />
kumupanda yulu ya cheo moja na moja mkubwa kumushuka chini mu cheo ya mutumishi moja.<br />
Uwaza, basi, hivi na usijivuna.<br />
10.<br />
Bila saidio ya Mungu hasifanyikwa hata kazi moja, hasikumalizwa hata maendeleo moja.<br />
Kwa hivi omba na uvumilia kwa Mungu akusaidia mu cheo Yeye alikupatia na mu matendo<br />
unaifanya.<br />
Ma kazi ya kupaswa watumishi<br />
1. Kila mkubwa anakamata mamlaka toka Mungu, sawa vile inatuwambia Madiko Takatifu:<br />
«kwa maana hapana mamlaka ila kwa Mungu; na mamlaka inayokuwa, imewekwa na Mungu»<br />
(Wa Roma 13, 1). Kwa hivi, basi, inapaswa kuheshima na kusifu mkubwa yako kwa jina ya<br />
Mungu.<br />
2.<br />
Kwa sababu mkubwa yako anakombana kusaidia taifa, pahali ndani uko na weye, inapaswa<br />
na weye kumupenda kama baba yako na kumushukuru.<br />
3.<br />
Fanya nguvu kutii kwa kila sauti yake juu ya kupata faida na watu ya taifa.<br />
4.<br />
Sopoka mingi na usisadiki ma sauti mbaya na masimango ile wanasema watu wengine<br />
kupingana ya mkubwa yako, kwa sababu mara mingi watu wa bure wanachukia na wanahukumu<br />
43