19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

43<br />

6.<br />

Kama iko lazima kulipiza mutumishi yako moja, utafanya hii kazi na sikitiko na boka mingi.<br />

Kama unafokea mtumishi moja, sopoka usisema ma ssauti mbaya na matusi. Usiseme sawa hivi:<br />

«Uko mwenye kulanda, uko mupotevu, uko mwenye kuiba na ma sauti ingine-ingine. Hii ma sauti<br />

ni matusi na hapana malipizo. Kama unalipiza, inapaswa kulipiza na hapana kumutesa ao<br />

kumuchabulana mutumishi yako. Wakubwa mengi wanaonyesha hata mingi hasira kwa<br />

watumishi wao kama ma nyama makari. Lakini weye utalipiza mutumishi yako na mapendo juu<br />

ya kumusaidia kutengeneza mufano yake. Hii ni roho ya Kristianisme: Nikusema inapaswa<br />

kusikia mapendo mu taabu na umivu ya ndugu yangu. Uwaza ya kama huyu anayelipizwa ni<br />

ndugu yako ambaye eko na mwili umoja na weye na mateso mamoja na weye.<br />

7.<br />

Kama utasikia hasira na kisilani mu roho yako kupingana ya mutumishi yako, chunga roho<br />

yako, usimuchabula ao kumulipiza ile saa. Ongolea kidogo kushusha nguvu ya kisilani, kwa<br />

sababu usitaweze na hali mbaya kumulipiza katika sheria ya Kristu. Kama utafanyia tendo moja<br />

na haraka, utamulipiza bila haki na inje ya sheria ya Kristu na kisha wakati kidogo utataabu na<br />

usitaweze kumusaidia mufano yake.<br />

Hasira ni kama moja pepo nguvu inayetosha yoyote bintu inayepata mbele yake. Ni kama<br />

moto inayelungua yoyote. Mu saa ya kisilani mtu hasiweze kufanya hata tendo moja nzuri, lakini<br />

eko na nguvu kufanya paka matendo mazuri.<br />

8.<br />

Uwaza nzuri ya kama uko Mukristu na mkubwa ya wa Kristiani wengine. Wa Kristiani wote<br />

ni wa ndugu katikati yao. Kristu, Bwana wetu, hasishaka kuita hawa wa ndugu Wake. Lakini sisi<br />

watu wadongo ngapi kupita mingi, iko lazima kuita hawa wakubwa wetu wa ndugu wetu!<br />

9<br />

Basi, sopoka usizarau watumishi wako na usiwaangalia kama kibasa ya miguu yako, sawa<br />

vile wanafanya watu wengine. Inapaswa kujua ya kama katikati yao ni na watakatifu na warafiki<br />

ya Kristu na ni zambi mnene, sawa vile unasikia, kuwanyenyekevu na kuwachekelea. Kama<br />

mamlaka yako na cheo yako inakupanda yulu, lakini ndani yako uwaza ya kama weye usikuwe<br />

kuliko mukubwa na tena ya kama matendo yoyote ni ya Mungu. Mungu anaweza moja mutumishi<br />

kumupanda yulu ya cheo moja na moja mkubwa kumushuka chini mu cheo ya mutumishi moja.<br />

Uwaza, basi, hivi na usijivuna.<br />

10.<br />

Bila saidio ya Mungu hasifanyikwa hata kazi moja, hasikumalizwa hata maendeleo moja.<br />

Kwa hivi omba na uvumilia kwa Mungu akusaidia mu cheo Yeye alikupatia na mu matendo<br />

unaifanya.<br />

Ma kazi ya kupaswa watumishi<br />

1. Kila mkubwa anakamata mamlaka toka Mungu, sawa vile inatuwambia Madiko Takatifu:<br />

«kwa maana hapana mamlaka ila kwa Mungu; na mamlaka inayokuwa, imewekwa na Mungu»<br />

(Wa Roma 13, 1). Kwa hivi, basi, inapaswa kuheshima na kusifu mkubwa yako kwa jina ya<br />

Mungu.<br />

2.<br />

Kwa sababu mkubwa yako anakombana kusaidia taifa, pahali ndani uko na weye, inapaswa<br />

na weye kumupenda kama baba yako na kumushukuru.<br />

3.<br />

Fanya nguvu kutii kwa kila sauti yake juu ya kupata faida na watu ya taifa.<br />

4.<br />

Sopoka mingi na usisadiki ma sauti mbaya na masimango ile wanasema watu wengine<br />

kupingana ya mkubwa yako, kwa sababu mara mingi watu wa bure wanachukia na wanahukumu<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!