19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

29<br />

D.<br />

Mwanzo ya zambi inaanza kwa ajili ya fundisho mbaya ya watoto wetu. Hawa watoto,<br />

wenye awakupate ma shauria na mafundisho nzuri, wakati watakomea wanaingia ndani ya<br />

kiwanja ya zambi na matendo mbaya. Wazazi wekona jukumu mnene kwa sababu awakusopoke<br />

nzuri watoto wao. Na mweye wa mama na wa baba musikieni hii mambo! . . .<br />

E.<br />

Inasukumu mu zambi tena na zwezo mbaya.<br />

Hii mambo tunaiona na sisi kila siku. Wenye watu wanakunywa vinyo na ingine kila siku<br />

wanapenda kulewa; wenye wanaiba hawaweze kusimama hii kazi mbaya yao ya kuiba, wenye<br />

zambi ya mwili wanapenda kufanya hii zambi kila siku na hivi wote wenye zambi wanapenda<br />

kufata zwezo mbaya yao kama iko na namna na kila siku. Nikusema zwezo inawakokota kama<br />

kamba na inawatupa mu zambi. Sawa vile huyu mwenye njaa anaomba mukate na mwenye<br />

kunywa anaomba maji vile na wale watu wanapenda kutelemuka mu zambi yao.<br />

Ninawaza hii ni maneno ya tano kwa ajili yao kila mtu anapenda kukosa mbele ya Mungu na<br />

zambi yake. Lakini weye, ndugu wangu, unayependa kuokolewa na kuonyesha imani yako mu<br />

uzima yako, sindana kila siku bila usimamisho kupingana ya kila zambi. Hii yote maneno, sababu<br />

na nyakati ya zambi ni wa adui wasiyo mapendo ya wokovu yako: Mwili kama nyama makari<br />

anataka kwa matakio na zambi mbaya kusimama juu ya roho yako. Shetani adui yako, ambaye<br />

anachukia wokovu yako hasisimame kuuzi na kukombana mu uzima yako kila siku na usiku.<br />

Majaribu ya dunia wanavimba na wanakomea matakio mbaya ya mwili yako kila siku, sawa vile<br />

pepo inavimba moto. Lakini mambo ya sikitiko ni hii: Kwa yule mtu alizombelea kazi moja<br />

kimbaya, yeye hasiweze kusimamisha hii matakio yake, kiwa sababu ndani yake inazala sawa<br />

moja nguvu ya mbili kwa mwili yake.<br />

Sindano kupingana ya zambi<br />

Ninaichika ya kama sindano kupingana ya zambi ni nguvu sana; lakini ni lazima kabisa.<br />

Watu mengi wanakombana na wanashinda ma taifa wengine; lakini hawa ni watumwa na<br />

watumishi kwa matakio na zambi yao. Hakuna ushindi kuliko utukufu toka hii ushindi ya maungo<br />

yetu. Taji na utukufu bila ushindi hakuna. Ushindi vila sindano kupingana ya adui hakuna.<br />

Ndugu wangu, twende kuanza hii sindano juu ya kupata na saidio ya Kristu ushindi ya<br />

utukufu na tutakamata toka Huyu Mungu taji ya fazila na tutatukuzwa kwa milele ndani ya<br />

Ufalme wake. Sasa twende kuandika mawazo filani juu ya kupata nguvu kwa hii sindano yetu:<br />

A.<br />

Unasikia na kombana kusikia na akili yako neno ya Mungu. Ndani ya hii fundisho ya<br />

Mungu tunafamia sisi zambi na fazila; paka vile tutaepuka zambi na tutafata fazila ya Mungu:<br />

«Kila andiko limepewa kwa maongozi ya Mungu, na linafaa kwa mafundisho, na kwa kuonya<br />

watu juu ya makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa mafundisho katika haki; ili mutu wa Mungu<br />

awe mukamilifu, ametengenezwa kabisa kwa kila tendo jema». (Barua ya mbili ya Timoteo 3, 16-<br />

17). Neno ya Mungu ni kisu ya Roho (Wa Efeso 6, 17), na kwa hii kisu tunakata adui yetu, adui ya<br />

nafsi yetu.<br />

B.<br />

Mungu eko ma fasi yote. Pahali fasi sisi tuko Yeye ni karibu yetu. Kila kazi sisi tunafanya,<br />

tunaifanya mbele ya ma Macho Takatifu yake. Basi, namna gani tutafanya zambi na tutakanyanga<br />

mapenzi Yake takatifu mbele ya ma Macho yake?<br />

Unasikia haya na unaogopa kusimama na kibego mbele ya mfalme wa inchi ao mbele ya<br />

musaidizi yake. Lakini haya na heshima ngapi mingi inapaswa kuonyesha kama unasimama<br />

mbele ya Mungu? Usisahabu ya kama kila zambi ni kibego na uzulumu mbele Yake.<br />

29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!