19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

47<br />

3.<br />

Kwa sababu muchungaji anasubuka juu ya faida ya waminifu wote, katikati yao uko na<br />

weye, inapaswa kumupenda kama baba na musaidizi yako na kumuonyesha shukrani yako.<br />

Unamuita baba. Unafanya nzuri. Kwa sababu yeye anakuzala katika roho, sawa vile wa Kristiani<br />

wote, lakini hapna kwa maisha hii, lakini mu uzima ya milele. Basi, umupenda na weye kama<br />

baba yako. Umupenda baba yako aliyekuzala. Lakini kupita mingi inapaswa kupenda baba yako ya<br />

roho.<br />

4.<br />

Huyu anasubuka na anasaidia watu wote na weye. na weye usimusahabu ma lazima yake.<br />

Umusaidia, umutimiza kila kintu yeye eko na lazima juu ya kutumika nzuri tendo yake. Hivi hii<br />

mapendo katikati yenu na wema haitambakie bila maendeleo na faida ya roho.<br />

5.<br />

Mu dunia ni watu mengi wazaifu, wenye awatake kusikia mashauria na malipizo ya<br />

wachungaji wao na wanaishi katika mapenzi yao. Hawa wanatafuta na wanazambalala ma fasi<br />

yote matusi na masimango kupingana ya wachungaji wao. Basi, wakati utasikia moja sauti yao<br />

kibaya kupingana ya muchungaji yako, usisadiki. Funga kinywa yako na usiseme kintu kimoja<br />

kwa watu wengine. Kama utasema, utafanya zambi uzito, kwwani utaleta kwazo kwa wa ndugu<br />

wengine. Kama ni matata kuhukumu mtu moja ya bure, ngapi ni kibaya kabisa kama utahukumu<br />

na utasimanga muchungaji wako! Hii masimango wanazala funjo mnene katikati ya watu.<br />

Wanazala uzarau na kukataa utii mbele ya wachungaji wao na hivi machoko ya mkubwa yao<br />

inaenda kwa bure na bila matunda ya roho.<br />

Sopoka hii sauti nilikuwambia sasa. Macho yako kamata ya kufungula kila siku na daima.<br />

Chunga nafsi yako toka ma sauti mbaya inayezambalisha kupingana ya muchungaji yako. Lakini,<br />

kabisa sopoka weye, na usisema na usihukumu baba ya roho yako, kwa sababu utasirika Mungu<br />

na Yeye atakulipiza.<br />

6.<br />

Kama utaona makosa filani, mu uzima na kwa watu wenye heshima, usiajabu na usiache<br />

kuingia kwazo ndani ya roho yako, lakini uwaza ya kama muchungaji ni na huyu mtu sawa sisi<br />

wote.<br />

7.<br />

Kwa sababu muchungaji ya Kanisa niko mbele ya mateso mengi na tena kupingana yake<br />

wanasimama kama wa adui shetani na watumishi mbaya yake, kwa hivi na yeye eko na lazima ya<br />

saidio ya Mungu na nguvu ya Neema Yake. Sawa vile watu wote ya dunia, vile na weye ukona<br />

kazi kupaswa kuomba ya kusaidia baba yako ya ho.<br />

Furaha na heri ya nyumba inatoka ya mkubwa ya nyumba, ushindi ya wa askari inatoka ya<br />

jemadari mzuri na safari nzuri ya chombo moja inatoka ya mukubwa mwogozi yake. Basi, omba<br />

kwa Mungu juu muchungaji ya kanisa yako kuwa mwenye akili na mzuri na hivi ushirika wa<br />

Kristu itaendelea mbio ku mbele.<br />

8.<br />

Kama kwa mufano muchungaji hasimaliza hii ma sauti na shauria anasema na anafanya<br />

kupindua, ile saa kumbuka ma neno ya Kristu, ambaye alisema kwa hawa wachungaji:<br />

«Waandishi na Wafarisayo wanaketi katika kiti cha Musa; basi maneno yote wanayowaambia<br />

ninyi kutenda, muyashike na kuyatenda; lakini musitende kwa mufano wa matendo yao; kwa<br />

maana wanasema, lakini hawatendi» (Matayo 23, 2-3).<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!