You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
13<br />
Ubatizo Takatifu<br />
« Anayeamini na kubatizwa ataokolewa» (Marko 16, 16). Huyu neno aliisema Mwokozi<br />
wetu juu ya kupata sisi nguvu na utulivu. Ni nini kuliko utulivu kwa nafsi moja kama anasikia hii<br />
ma neno na anajua ya kama atapata wokovu ya milele?<br />
Utukufu kwa Mungu, wa Kristiani wapenzi, kwa sababu na sisi tunaamini Evangelio na<br />
tulipata nuru katika Ubatizo takatifu mu Kanisa Orthodokse. Ni stahili sasa kuangalia na nguvu<br />
yake, tena kuona tulikuwa nini mbele ya Ubatizo yetu, tulifanyikwa nini kisha Ubatizo yetu na<br />
hivi tutasikia utulivu mnene.<br />
Katika Ubatizo Takatifu tuliokolewa toka yoyote mateso na tulibeba Neema ya Mungu<br />
nikusema furaha ya kweli. Mbele ya kubatiziwa tulikwa mbali kabisa ya Mungu; Lakini na<br />
Ubatizo yake tulimukaribia Mungu. Mbele ya Ubatizo yetu tulikuwa wa adui ya Mungu; kisha<br />
Ubatizo tuliunganishwa na Ye na Huyu pamoja na sisi. Mbele ya Ubatizo yetu tulikuwa watoto ya<br />
hasira; lakini kisha Ubatizo tulifanyikwa ma chombo ya rehema takatifu. Mbele ya Ubatizo<br />
tulikwa watoto ya giza na shetani; kisha tulifanyikwa watoto ya nuru na ya Mungu. Mbele ya<br />
Ubatizo yetu tulikuwa wenye zambi; kisha Ubatizo tulisafishwa, tuliangazwa na tulipata uhaki.<br />
Mbele ya Ubatizo tulikuwa wapotevu; kisha tulifanyikwa wenye wokovu. Mbele ya Ubatizo<br />
milango ku ufalme ya milele walikuwa ya kufungwa; kisha walifungula na wanaingia na uhuru<br />
ninyi wote walichunga neema ya Ubatizo safi.<br />
Hii ma baraka na wengine mengi tunabeba na Ubatizo mu kanisa yetu. Tunabeba hii ma<br />
rehema bila kuwa sisi wenye stahili, paka katika wanadamu ya Mungu, kwa sababu mtu moja<br />
mwenye zambi ikona nini stahili na utukufu? Basi, utukufu kwa wema ya Mungu, utukufu kwa<br />
wanadamu Yake, utukufu kwa mapendo yake, utukufu kwa ma rehema yake! «Jina la Bwana<br />
lihimidiwe tangu sasa, na mupaka milele» ( Zaburi 113, 2).<br />
Hii rehema mingi ya Mungu alituletea kwa sisi Mwana wake wa pekee Yesu Kristu;<br />
alituletea hii rehema kwa sisi katika Damu na Lufu Yake.<br />
Wa Kristiani wapenzi, inapaswa kukumbuka Ubatizo Takatifu na kuangalia sisi maungo<br />
wetu: Tunaishi sawa vile inapaswa hii neema ya Ubatizo Takatifu wetu? Aipaswe kufanyika huyu<br />
Ubatizo yetu malipizo kwa ile siku ya Uhukumu ya Kristu, pahali Mungu atahukumu kila neno na<br />
uwazo na tendo yetu.<br />
Kukataa na Malako<br />
Ubatizo Takatifu ni mulango pahali wanaingia wenye ubatizo mu kanisa na wanafanyikwa<br />
«wenyeji pamoja na watakatifu na watu wa nyumba ya Mungu» ( Waefeso 2, 19). Hii tendo<br />
hasifanyikwe bio-bio, kwani mbele ya Ubatizo iko lazima mtu kukataa na kulaka malako filani.<br />
A.<br />
Sisi wote tulikataa shetani na yoyote matendo yake. Shetani ni roho mbaya na mwovu.<br />
Aliumbwa toka Mungu mwema, lakini pamoja na wa ndugu wake alijiepuka toka Mungu na vile<br />
alifanyikwa mwenye giza, mbele alikuwa mwenye nuru, alifanyikwa mwovu lakini mbele alikuwa<br />
mwema. Matendo yake ni kuwabudu ma sanamu, majivuno, matendo ya kulanda watu wengine,<br />
wongo, udanganyifu, uovu, tamaa, chuki, zambi usharati na kila zambi ya mwili, chabulana na<br />
kila zambi, kwani huyu shetani ni muumba ya zambi. Huyu ndani ya Paradizo alilanda ma Babu<br />
wetu ya kwanza na aliwatupa mu zambi na aliwaepuka toka Mungu. Huyu basi, roho musiyesafi<br />
na matendo yake waovu wote tunakataa mbele ya kubeba Ubatizo ya Mungu.<br />
B.<br />
Tulikataa kila furaha ya hii dunia, majivuno na ma furaha ya hawa watu ya hii dunia kwani<br />
alituita Mungu kwa uzima ya milele na uzima mupya.<br />
13