19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

13<br />

Ubatizo Takatifu<br />

« Anayeamini na kubatizwa ataokolewa» (Marko 16, 16). Huyu neno aliisema Mwokozi<br />

wetu juu ya kupata sisi nguvu na utulivu. Ni nini kuliko utulivu kwa nafsi moja kama anasikia hii<br />

ma neno na anajua ya kama atapata wokovu ya milele?<br />

Utukufu kwa Mungu, wa Kristiani wapenzi, kwa sababu na sisi tunaamini Evangelio na<br />

tulipata nuru katika Ubatizo takatifu mu Kanisa Orthodokse. Ni stahili sasa kuangalia na nguvu<br />

yake, tena kuona tulikuwa nini mbele ya Ubatizo yetu, tulifanyikwa nini kisha Ubatizo yetu na<br />

hivi tutasikia utulivu mnene.<br />

Katika Ubatizo Takatifu tuliokolewa toka yoyote mateso na tulibeba Neema ya Mungu<br />

nikusema furaha ya kweli. Mbele ya kubatiziwa tulikwa mbali kabisa ya Mungu; Lakini na<br />

Ubatizo yake tulimukaribia Mungu. Mbele ya Ubatizo yetu tulikuwa wa adui ya Mungu; kisha<br />

Ubatizo tuliunganishwa na Ye na Huyu pamoja na sisi. Mbele ya Ubatizo yetu tulikuwa watoto ya<br />

hasira; lakini kisha Ubatizo tulifanyikwa ma chombo ya rehema takatifu. Mbele ya Ubatizo<br />

tulikwa watoto ya giza na shetani; kisha tulifanyikwa watoto ya nuru na ya Mungu. Mbele ya<br />

Ubatizo yetu tulikuwa wenye zambi; kisha Ubatizo tulisafishwa, tuliangazwa na tulipata uhaki.<br />

Mbele ya Ubatizo tulikuwa wapotevu; kisha tulifanyikwa wenye wokovu. Mbele ya Ubatizo<br />

milango ku ufalme ya milele walikuwa ya kufungwa; kisha walifungula na wanaingia na uhuru<br />

ninyi wote walichunga neema ya Ubatizo safi.<br />

Hii ma baraka na wengine mengi tunabeba na Ubatizo mu kanisa yetu. Tunabeba hii ma<br />

rehema bila kuwa sisi wenye stahili, paka katika wanadamu ya Mungu, kwa sababu mtu moja<br />

mwenye zambi ikona nini stahili na utukufu? Basi, utukufu kwa wema ya Mungu, utukufu kwa<br />

wanadamu Yake, utukufu kwa mapendo yake, utukufu kwa ma rehema yake! «Jina la Bwana<br />

lihimidiwe tangu sasa, na mupaka milele» ( Zaburi 113, 2).<br />

Hii rehema mingi ya Mungu alituletea kwa sisi Mwana wake wa pekee Yesu Kristu;<br />

alituletea hii rehema kwa sisi katika Damu na Lufu Yake.<br />

Wa Kristiani wapenzi, inapaswa kukumbuka Ubatizo Takatifu na kuangalia sisi maungo<br />

wetu: Tunaishi sawa vile inapaswa hii neema ya Ubatizo Takatifu wetu? Aipaswe kufanyika huyu<br />

Ubatizo yetu malipizo kwa ile siku ya Uhukumu ya Kristu, pahali Mungu atahukumu kila neno na<br />

uwazo na tendo yetu.<br />

Kukataa na Malako<br />

Ubatizo Takatifu ni mulango pahali wanaingia wenye ubatizo mu kanisa na wanafanyikwa<br />

«wenyeji pamoja na watakatifu na watu wa nyumba ya Mungu» ( Waefeso 2, 19). Hii tendo<br />

hasifanyikwe bio-bio, kwani mbele ya Ubatizo iko lazima mtu kukataa na kulaka malako filani.<br />

A.<br />

Sisi wote tulikataa shetani na yoyote matendo yake. Shetani ni roho mbaya na mwovu.<br />

Aliumbwa toka Mungu mwema, lakini pamoja na wa ndugu wake alijiepuka toka Mungu na vile<br />

alifanyikwa mwenye giza, mbele alikuwa mwenye nuru, alifanyikwa mwovu lakini mbele alikuwa<br />

mwema. Matendo yake ni kuwabudu ma sanamu, majivuno, matendo ya kulanda watu wengine,<br />

wongo, udanganyifu, uovu, tamaa, chuki, zambi usharati na kila zambi ya mwili, chabulana na<br />

kila zambi, kwani huyu shetani ni muumba ya zambi. Huyu ndani ya Paradizo alilanda ma Babu<br />

wetu ya kwanza na aliwatupa mu zambi na aliwaepuka toka Mungu. Huyu basi, roho musiyesafi<br />

na matendo yake waovu wote tunakataa mbele ya kubeba Ubatizo ya Mungu.<br />

B.<br />

Tulikataa kila furaha ya hii dunia, majivuno na ma furaha ya hawa watu ya hii dunia kwani<br />

alituita Mungu kwa uzima ya milele na uzima mupya.<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!