Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
45<br />
4.<br />
Makao ya fundisho ni Kanisa takatifu. Lakini ma fasi yote, pahali iko namna kusanyikwa<br />
waminifu, anaweza muchungaji kuwafundisha, kwa wakati yake. Tukona mufano ya Bwana Yesu,<br />
aliyekuwa muchungaji mkubwa. Yule hapana paka mu Hekalu ya Solomono, lakini na ma<br />
nyumba, na ma jangwa na ma fasi ingine alifundisha watu. Muchungaji mwenye kusopoka na<br />
mwenye akili atapata wakati nzuri na atatayarisha akili yake atafundisha ninyi. Kwa mufano,<br />
wakati anaikaa pa meza ya kula anaweza kufundisha wa ndugu wake juu ya ufalme ya Mbinguni.<br />
5.<br />
Kila sauti unaipenda kusema kwa watu inapaswa ku mbele kuiwaza nzuri na kisha<br />
utawaambia. Chakula ya kwanza inatayarishwa, kisha wanaweka ndani chumvi na kisha<br />
wanaikabula mu meza utamu. Vile muchungaji inapaswa kutayarisha na chakula ya Mungu, neno<br />
takatifu ya kwanza ndani ya roho yake, kuitayarisha na chumvi ya hekima katika Mungu na hivi<br />
ataiweka pa meza ya roho kwa watu wenye njaa neno ya roho. Paka vile ni namna kutumika na<br />
kitumaini juu ya wokovu ya wa Kristiani wake.<br />
6.<br />
Ma Sehemu ya watu ni wa wili: Wale wanaishi bila boka ya Mungu na wale wanasikia kihu<br />
juu ya kupata amani ya roho na utulivu. Basi, Muchungaji ya Kanisa eko na kazi ya kupaswa<br />
kuhubiri juu ya hasira ya Mungu na Uhukumu Yake kwa wale wanayeishi bila boka ya Mungu,<br />
juu ya kuwaongoza mu kitubio na kuvunjika ya roho. Kwa wale wanasikia hali ya zambi yao,<br />
atawatoa utulivu ya Evangelio: «Neno hili na aminifu, na linastahili kukubaliwa na watu wote, ya<br />
kwamba Kristu Yesu alikuja kwa dunia kuokoa wenye zambi; na mimi ya kwanza wao» (Barua ya<br />
kwanza ya Timoteo 1, 15).<br />
7. Uhukumu ya muchungaji mbele ya wa Kristiani yake inapaswa kufanyikwa na namna<br />
ingine mbele ya watu wote na namna ingine mbele ya kila Mukristu.<br />
Wakati muchungaji anahukumu waminifu wote pamoja iko namna kuwa kuliko makari na<br />
sauti nguvu, juu ya kumusikia hawa wenye zambi kusikia boka na tetemeko ya roho yao,<br />
kulamuka toka pumziko ya zambi yao. Hii namna tunaiona na kwa mahubiri ya wa Nabii na wa<br />
Mitume. Lakini, wakati unataka kuhukumu paka moja mwaminifu juu ya zambi yake moja,<br />
umuambia hii mambo na pasopo mingi na akili mingi na sopoka kutunza kilonda na hapana<br />
kufungula kabisa mingi hii kilonda ya roho yake. Tafuta wakati nzuri juu ya kumushauria na<br />
namna utamu. Wakati nzuri ni saa ya Maungamo. Ile saa unaweza kumuwambia hii yote ma<br />
shauria unataka kumusema hapana na hasira na kisilani. Inapaswa kusikia huyu mwaminifu ya<br />
kama unamupenda kweli na unataka kweli wokovu yake.<br />
8.<br />
Wakati watu filani wanazulumu, weye inapaswa kujua nzuri ya kama ni lazima kunyamaza.<br />
Inapaswa kuhukumu ma fasi yote na daima mazulumu yao na kinywa yako, kwani aipaswe kufana<br />
kama imbwa moja bila sauti, na hasifokee ile saa wa mwivi wanaingia ndani ya nyumba<br />
kunyanganya ao ile saa ma nyama makali ya pori wanaingia mu kundi ya kondoo juu ya kuwauwa.<br />
Mupendwa wangu, simama bila kutenga mu kazi yako na timiza malako yako kama<br />
muchungaji ya ma kondoo wenye akili, bila kuwaza ya kama watakufukuza ao watakuhukumu<br />
watu mbaya. Ukona mifano ma nabii na wa Mitume na wa Askofu watakatifu ya Kristu.<br />
9.<br />
Usichekelee ao usifunike makosa ya wakubwa na watajiri, wenye wanaishi na majivuno na<br />
zambi. Na, kama walifanya na tendo moja kubwa, sopoka juu usiharabisha kazi yako kama<br />
mwalimu ya roho na utaonyesha udanganyifu mbele kwake. Usiogope kuhukumu mara moja kila<br />
kazi kibaya, kukikiri fundisho ukweli ma fasi yote na daima na kuhubiri neno ya Mungu, kwani<br />
ulitumwa kufanya hii kazi. Iko lazima kusikia hawa wote ya kama weye uko muchungazi na<br />
mwalimu yao, ambaya atajibu mbele ya Mungu juu ya wokovu yao.<br />
45