19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

45<br />

4.<br />

Makao ya fundisho ni Kanisa takatifu. Lakini ma fasi yote, pahali iko namna kusanyikwa<br />

waminifu, anaweza muchungaji kuwafundisha, kwa wakati yake. Tukona mufano ya Bwana Yesu,<br />

aliyekuwa muchungaji mkubwa. Yule hapana paka mu Hekalu ya Solomono, lakini na ma<br />

nyumba, na ma jangwa na ma fasi ingine alifundisha watu. Muchungaji mwenye kusopoka na<br />

mwenye akili atapata wakati nzuri na atatayarisha akili yake atafundisha ninyi. Kwa mufano,<br />

wakati anaikaa pa meza ya kula anaweza kufundisha wa ndugu wake juu ya ufalme ya Mbinguni.<br />

5.<br />

Kila sauti unaipenda kusema kwa watu inapaswa ku mbele kuiwaza nzuri na kisha<br />

utawaambia. Chakula ya kwanza inatayarishwa, kisha wanaweka ndani chumvi na kisha<br />

wanaikabula mu meza utamu. Vile muchungaji inapaswa kutayarisha na chakula ya Mungu, neno<br />

takatifu ya kwanza ndani ya roho yake, kuitayarisha na chumvi ya hekima katika Mungu na hivi<br />

ataiweka pa meza ya roho kwa watu wenye njaa neno ya roho. Paka vile ni namna kutumika na<br />

kitumaini juu ya wokovu ya wa Kristiani wake.<br />

6.<br />

Ma Sehemu ya watu ni wa wili: Wale wanaishi bila boka ya Mungu na wale wanasikia kihu<br />

juu ya kupata amani ya roho na utulivu. Basi, Muchungaji ya Kanisa eko na kazi ya kupaswa<br />

kuhubiri juu ya hasira ya Mungu na Uhukumu Yake kwa wale wanayeishi bila boka ya Mungu,<br />

juu ya kuwaongoza mu kitubio na kuvunjika ya roho. Kwa wale wanasikia hali ya zambi yao,<br />

atawatoa utulivu ya Evangelio: «Neno hili na aminifu, na linastahili kukubaliwa na watu wote, ya<br />

kwamba Kristu Yesu alikuja kwa dunia kuokoa wenye zambi; na mimi ya kwanza wao» (Barua ya<br />

kwanza ya Timoteo 1, 15).<br />

7. Uhukumu ya muchungaji mbele ya wa Kristiani yake inapaswa kufanyikwa na namna<br />

ingine mbele ya watu wote na namna ingine mbele ya kila Mukristu.<br />

Wakati muchungaji anahukumu waminifu wote pamoja iko namna kuwa kuliko makari na<br />

sauti nguvu, juu ya kumusikia hawa wenye zambi kusikia boka na tetemeko ya roho yao,<br />

kulamuka toka pumziko ya zambi yao. Hii namna tunaiona na kwa mahubiri ya wa Nabii na wa<br />

Mitume. Lakini, wakati unataka kuhukumu paka moja mwaminifu juu ya zambi yake moja,<br />

umuambia hii mambo na pasopo mingi na akili mingi na sopoka kutunza kilonda na hapana<br />

kufungula kabisa mingi hii kilonda ya roho yake. Tafuta wakati nzuri juu ya kumushauria na<br />

namna utamu. Wakati nzuri ni saa ya Maungamo. Ile saa unaweza kumuwambia hii yote ma<br />

shauria unataka kumusema hapana na hasira na kisilani. Inapaswa kusikia huyu mwaminifu ya<br />

kama unamupenda kweli na unataka kweli wokovu yake.<br />

8.<br />

Wakati watu filani wanazulumu, weye inapaswa kujua nzuri ya kama ni lazima kunyamaza.<br />

Inapaswa kuhukumu ma fasi yote na daima mazulumu yao na kinywa yako, kwani aipaswe kufana<br />

kama imbwa moja bila sauti, na hasifokee ile saa wa mwivi wanaingia ndani ya nyumba<br />

kunyanganya ao ile saa ma nyama makali ya pori wanaingia mu kundi ya kondoo juu ya kuwauwa.<br />

Mupendwa wangu, simama bila kutenga mu kazi yako na timiza malako yako kama<br />

muchungaji ya ma kondoo wenye akili, bila kuwaza ya kama watakufukuza ao watakuhukumu<br />

watu mbaya. Ukona mifano ma nabii na wa Mitume na wa Askofu watakatifu ya Kristu.<br />

9.<br />

Usichekelee ao usifunike makosa ya wakubwa na watajiri, wenye wanaishi na majivuno na<br />

zambi. Na, kama walifanya na tendo moja kubwa, sopoka juu usiharabisha kazi yako kama<br />

mwalimu ya roho na utaonyesha udanganyifu mbele kwake. Usiogope kuhukumu mara moja kila<br />

kazi kibaya, kukikiri fundisho ukweli ma fasi yote na daima na kuhubiri neno ya Mungu, kwani<br />

ulitumwa kufanya hii kazi. Iko lazima kusikia hawa wote ya kama weye uko muchungazi na<br />

mwalimu yao, ambaya atajibu mbele ya Mungu juu ya wokovu yao.<br />

45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!