You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
27<br />
G.<br />
Zambi inazala lufu; « Kwa maana mushahara wa zambi ni mauti» (Wa Roma 6, 23). Hivi wa<br />
Babu wetu kwa sababu walikosana ndani ya Paradizo, walipata lufu. Ilikuwa namna kubakia<br />
daima ndani ya lufu na mbali ya Mungu, kama hasikukuje Kristu, mwana wa Mungu juu ya<br />
kuwapatia uzima upya ya kumwangisha Damu Yake.<br />
Lakini « Yesu Kristu ni sawasawa jana, leo na hata milele» ( Wa Ebrania 13, 8). Basi Damu<br />
Yake takatifu ilimwangishwa mu dunia nzima, leo na jana na anazala ya roho kila mwenye zambi,<br />
anayedantiki kwake.<br />
D.<br />
Kila zambi inayefanya mtu moja anapokea uhukumu ya moyo yake inayemuteswa bila<br />
rehema kila siku. Tena mara ingine huyu mtu mwenye zambi anatundikwa kwa sababu hasiweze<br />
kuvumilia uhukumu ya moyo yake.<br />
E.<br />
Kwa ajili ya zambi yetu wanakuja kwa sisi malipizo ya wakati kidogo, sawa vile njaa, moto<br />
ya kulungua, ma nvita, malari na magonjwa ingine ya kuachana, matetemeko na mateso ingine.<br />
Mtakatifu Yoane Krisostomo anatuwambia ya kama «maneno ya matendo mbaya yoyote ni zambi<br />
yetu».<br />
*****<br />
Munaona kintu kimbaya ngapi ni zambi? Ni kazi kimbaya kuliko mbaya ya kazi ingine. Ee<br />
ndugu wangu, ni kweli ya kama iko kupita nzuri kutembea bunji bila mavazi na hapana kufanya<br />
zambi. Ni kuliko nzuri kuwa mufungwa mu buloko na mutumwa na hapana kufanya zambi. Ni<br />
kupita nzuri kuwa mugonjwa na mwenye kilonda na hapana kufanya zambi. Ni kuliko nzuri<br />
kuikaa ndani ya giza na hapana kufanya zambi. Ni kuliko nzuri kuvumilia matusi, machokozo,<br />
maneno ya haya, ma kofi na bilonda na hapana kufanya zambi. Ku mwisho ni kupita nzuri<br />
kuvumilia kila kazi kimbaya ndani ya hii dunia na hapana kukosa mbele ya Mungu! Kwa sababu<br />
hii yote mateso wanatesa ya wakati kidogo, kwani lufu italeta mwisho ya matendo mbaya yote, ili<br />
tunateswa; hapa itaisha kila uharibifu. Lakini zambi inatesa na itaendelesha kuteswa kwa milele<br />
mwili na nafsi yetu.<br />
Tulisema ku mbele ya kama zambi ni maneno ya matendo yoyote wanayefanya watu ya hii<br />
dunia. Nikusema kama hasikukuje zambi, hasitakukuje taabu na muchoko. Aliingia ndani ya dunia<br />
zambi na waliifata mateso mengi. Matunda ya zambi, basi, ni machungu, lakini hii zambi<br />
inaonekana inje kama tunda utamu. Lakini mbego buchungu itazala matunda ya buchungu. Kwa<br />
hivi inapaswa kuepuka mbali ya kila zambi yetu. Unajua ya kama sumu inaleta hatari kwa watu na<br />
inapaswa hawa kuiepuka na kuitupa; unajua ya kama nyoka inauwa watu na hawa wanasopoka<br />
kwa mwendo yao; unajua ya kama wanyanganyi wanaiba na wanauwa na weye unasopoka. Lakini<br />
zambi inaharabika kuliko mingi ya kila sumu; ni kona sumu kupita mingi ya kila nyoka;<br />
inaharabika kuliko mingi ya kila munyanganyi. Zambi inatutosha ya yoyote matendo mazuri ya hii<br />
na ingine uzima ya milele, kwani inauwa nafsi na mwili yetu. Hii ni matunda ya hii mbego<br />
buchungu ya zambi.<br />
Uwaza ya kama ni kuliko mbaya zambi moja ya moja shetani. Kwa sababu na huyu shetani<br />
zambi ilimufanyisia shetani. Yeye ya kwanza alikuwa malaika mwenye mwangaza na mwema;<br />
lakini kisha aliharabika toka zambi na alitupa ndani ya giza.<br />
Huyu mtu ambaye hasifamia sasa ya kama zambi ni kazi kuliko mbaya ya kila kazi ingine na<br />
hasikombane kuchunga maungo yake, huyu mutu atapima bucgungu ya zambi kwa uzima ya<br />
milele na ile wakati atasikia kazi ya zambi ngapi ni kimbaya, lakini itakuwa ya kuchelewa sana! .<br />
. . Kwa hivi inapaswa tangu sasa kufamia giza ya zambi na kutoka ya matendo mbaya yake.<br />
27