19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

27<br />

G.<br />

Zambi inazala lufu; « Kwa maana mushahara wa zambi ni mauti» (Wa Roma 6, 23). Hivi wa<br />

Babu wetu kwa sababu walikosana ndani ya Paradizo, walipata lufu. Ilikuwa namna kubakia<br />

daima ndani ya lufu na mbali ya Mungu, kama hasikukuje Kristu, mwana wa Mungu juu ya<br />

kuwapatia uzima upya ya kumwangisha Damu Yake.<br />

Lakini « Yesu Kristu ni sawasawa jana, leo na hata milele» ( Wa Ebrania 13, 8). Basi Damu<br />

Yake takatifu ilimwangishwa mu dunia nzima, leo na jana na anazala ya roho kila mwenye zambi,<br />

anayedantiki kwake.<br />

D.<br />

Kila zambi inayefanya mtu moja anapokea uhukumu ya moyo yake inayemuteswa bila<br />

rehema kila siku. Tena mara ingine huyu mtu mwenye zambi anatundikwa kwa sababu hasiweze<br />

kuvumilia uhukumu ya moyo yake.<br />

E.<br />

Kwa ajili ya zambi yetu wanakuja kwa sisi malipizo ya wakati kidogo, sawa vile njaa, moto<br />

ya kulungua, ma nvita, malari na magonjwa ingine ya kuachana, matetemeko na mateso ingine.<br />

Mtakatifu Yoane Krisostomo anatuwambia ya kama «maneno ya matendo mbaya yoyote ni zambi<br />

yetu».<br />

*****<br />

Munaona kintu kimbaya ngapi ni zambi? Ni kazi kimbaya kuliko mbaya ya kazi ingine. Ee<br />

ndugu wangu, ni kweli ya kama iko kupita nzuri kutembea bunji bila mavazi na hapana kufanya<br />

zambi. Ni kuliko nzuri kuwa mufungwa mu buloko na mutumwa na hapana kufanya zambi. Ni<br />

kupita nzuri kuwa mugonjwa na mwenye kilonda na hapana kufanya zambi. Ni kuliko nzuri<br />

kuikaa ndani ya giza na hapana kufanya zambi. Ni kuliko nzuri kuvumilia matusi, machokozo,<br />

maneno ya haya, ma kofi na bilonda na hapana kufanya zambi. Ku mwisho ni kupita nzuri<br />

kuvumilia kila kazi kimbaya ndani ya hii dunia na hapana kukosa mbele ya Mungu! Kwa sababu<br />

hii yote mateso wanatesa ya wakati kidogo, kwani lufu italeta mwisho ya matendo mbaya yote, ili<br />

tunateswa; hapa itaisha kila uharibifu. Lakini zambi inatesa na itaendelesha kuteswa kwa milele<br />

mwili na nafsi yetu.<br />

Tulisema ku mbele ya kama zambi ni maneno ya matendo yoyote wanayefanya watu ya hii<br />

dunia. Nikusema kama hasikukuje zambi, hasitakukuje taabu na muchoko. Aliingia ndani ya dunia<br />

zambi na waliifata mateso mengi. Matunda ya zambi, basi, ni machungu, lakini hii zambi<br />

inaonekana inje kama tunda utamu. Lakini mbego buchungu itazala matunda ya buchungu. Kwa<br />

hivi inapaswa kuepuka mbali ya kila zambi yetu. Unajua ya kama sumu inaleta hatari kwa watu na<br />

inapaswa hawa kuiepuka na kuitupa; unajua ya kama nyoka inauwa watu na hawa wanasopoka<br />

kwa mwendo yao; unajua ya kama wanyanganyi wanaiba na wanauwa na weye unasopoka. Lakini<br />

zambi inaharabika kuliko mingi ya kila sumu; ni kona sumu kupita mingi ya kila nyoka;<br />

inaharabika kuliko mingi ya kila munyanganyi. Zambi inatutosha ya yoyote matendo mazuri ya hii<br />

na ingine uzima ya milele, kwani inauwa nafsi na mwili yetu. Hii ni matunda ya hii mbego<br />

buchungu ya zambi.<br />

Uwaza ya kama ni kuliko mbaya zambi moja ya moja shetani. Kwa sababu na huyu shetani<br />

zambi ilimufanyisia shetani. Yeye ya kwanza alikuwa malaika mwenye mwangaza na mwema;<br />

lakini kisha aliharabika toka zambi na alitupa ndani ya giza.<br />

Huyu mtu ambaye hasifamia sasa ya kama zambi ni kazi kuliko mbaya ya kila kazi ingine na<br />

hasikombane kuchunga maungo yake, huyu mutu atapima bucgungu ya zambi kwa uzima ya<br />

milele na ile wakati atasikia kazi ya zambi ngapi ni kimbaya, lakini itakuwa ya kuchelewa sana! .<br />

. . Kwa hivi inapaswa tangu sasa kufamia giza ya zambi na kutoka ya matendo mbaya yake.<br />

27

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!