Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
37<br />
Iko namna hii kazi kibaya anatayarisha kufanya mtu moja mwenye chuki kwa ndugu yake,<br />
anafanya hii tendo kwa maungo yake. Hii sumu anayeitayarisha kwa watu wengine, anaikunya<br />
yeye mwenyewe. Hii zimu aliitayarisha juu ya ndugu yake, anaanguka yeye. Hii sauti<br />
anatuwambia na Nabii Daudi hivi: «Amefanya shimo, amelichimba, na ameanguka ndani ya<br />
shimo alilolifanya. Uharibifu wake utarudi juu ya kichwa chake mwenyewe na ukali wake<br />
utamuchukia utosini» (Zaburi 7, 16-17).<br />
Sikia tena na shauria na Mutume, ee ndugu wangu: «jua lisishuke na uchungu wenu hauja<br />
kwisha bado; wala musimupe shetani nafasi» (Kwa wa Efeso 4, 26-27). Tena kombana kuuwa<br />
ndani yako hii hasira yako toka saa ya kwanza; ile wakati hii hasira ni kidogo ndani yako,<br />
konbana kuuwa juu hapana kukomea na kukuharabika.<br />
«Ee Mupenzi, usifuate ubaya, lakini wema. Yeye anayetenda mema ni wa Mungu, lakini<br />
yeye anayetenda mabaya hakuona Mungu» (Barua Tatu ya Yoane 11).<br />
Mapendo<br />
Kwani sasa tunaisha kusema juu ya chuki, sasa ni lazima kusema juu ya fazila ya mapendo.<br />
Chuki inachukia mapendo. Hata buchungu ni chuki, hata hivi utamu na fazila ya mapendo;<br />
hata uharibifu inaleta chuki, hata faida inaleta mapendo; hata ma ngapi machungu ni matunda ya<br />
chuki, hata kabisa wema ni matunda ya mapendo.<br />
Chuki ni uchungu na kwa watu wengine na kwa huyu anayeiko nayo; lakini mapendo ni<br />
utamu na kwa huyu anayependa na kwa wao wanaopendwa.<br />
Chuki inafunga roho, lakini mapendo inamuuhuru na inamufungula.<br />
Chuki inauwa watu, lakini mapendo inazala watu mara ya mbili. Mufu ni huyu anayechukia;<br />
lakini huyu anayebakia kwa mapendo anajaza na uzima utamu.<br />
Chuki inataabu watu; lakini mapendo inatulivu, inashangilia na inafurahi.<br />
Chuki ni ugumu na makari; lakini mapendo na upole na wema.<br />
Chuki ni wa majivuno; lakini mapendo ni wa unyenyekevu.<br />
Chuki ni bila wema; lakini mapendo urafiki-wema.<br />
Chuki ni bila uvumilia; lakini mapendo anawema.<br />
Chuki wanaizarau watu wote; lakini mapendo ni wa kupokelwa na wa furaha.<br />
Chuki wanaichukia watu wote; lakini mapendo wanaitukuza na wanaipenda wote.<br />
Huyu anayeishi na chuki ni maskini na musiyefuraha; lakini huyu anayeishi na mapendo ni<br />
mwenye heri na mubarikiwa.<br />
Huyu anayeishi ndani ya chuki wanataabu na watu wengine na Mungu; lakini huyu<br />
anayeishi ndani ya mapendo na Mungu na watu wanafurahi.<br />
Chuki ni mbego ya shetani; lakini mapendo ni mbego kimungu.<br />
Basi, wale wanafata hii zambi ya chuki ni wapotevu na wenye taabu, hata kama na watu<br />
wengine wanawasifa kama wa mungu. Lakini wa heri na ubarikiwa ni hii roho inayejaza na<br />
mapendo, hata kama watu wengine wanaikanyanga sawa vile bulongo ya inchi.<br />
Wale ya kwanza wanaonekana ya inje wenye wazuri, lakini ndani yao ni watu mbaya; lakini<br />
wenye watu wa mapendo kwa inje wanaonekana kama wasipo utukufu, lakini ndani yao ni wenye<br />
wazuri. Wale wanangazia ya inje; lakini ndani ni wa mweusi na wenye giza; hawa wenye<br />
mapendo hawaonekane ya kama ni kintu kizuri, lakini ndani yao wekona yoyote matendo zawadi<br />
ya Mungu. Wale wanafanana kama muti ya kuoza, lakini hawa wa mependo ni muti nzuri na<br />
kunioloka.<br />
«Fanyeni muti muzuri na matunda yake mazuri; ao fanyesi muti mubaya na matunda yake<br />
mabaya; kwa sababu muti unajulikana kwa matunda yake». (Matayo 12, 33). Basi, iko lazima<br />
kufamia mapendo toka matunda yake, matendo yake, kwa sababu hivi mapendo inafamiwa na<br />
hapana na ma neno.<br />
37