19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

37<br />

Iko namna hii kazi kibaya anatayarisha kufanya mtu moja mwenye chuki kwa ndugu yake,<br />

anafanya hii tendo kwa maungo yake. Hii sumu anayeitayarisha kwa watu wengine, anaikunya<br />

yeye mwenyewe. Hii zimu aliitayarisha juu ya ndugu yake, anaanguka yeye. Hii sauti<br />

anatuwambia na Nabii Daudi hivi: «Amefanya shimo, amelichimba, na ameanguka ndani ya<br />

shimo alilolifanya. Uharibifu wake utarudi juu ya kichwa chake mwenyewe na ukali wake<br />

utamuchukia utosini» (Zaburi 7, 16-17).<br />

Sikia tena na shauria na Mutume, ee ndugu wangu: «jua lisishuke na uchungu wenu hauja<br />

kwisha bado; wala musimupe shetani nafasi» (Kwa wa Efeso 4, 26-27). Tena kombana kuuwa<br />

ndani yako hii hasira yako toka saa ya kwanza; ile wakati hii hasira ni kidogo ndani yako,<br />

konbana kuuwa juu hapana kukomea na kukuharabika.<br />

«Ee Mupenzi, usifuate ubaya, lakini wema. Yeye anayetenda mema ni wa Mungu, lakini<br />

yeye anayetenda mabaya hakuona Mungu» (Barua Tatu ya Yoane 11).<br />

Mapendo<br />

Kwani sasa tunaisha kusema juu ya chuki, sasa ni lazima kusema juu ya fazila ya mapendo.<br />

Chuki inachukia mapendo. Hata buchungu ni chuki, hata hivi utamu na fazila ya mapendo;<br />

hata uharibifu inaleta chuki, hata faida inaleta mapendo; hata ma ngapi machungu ni matunda ya<br />

chuki, hata kabisa wema ni matunda ya mapendo.<br />

Chuki ni uchungu na kwa watu wengine na kwa huyu anayeiko nayo; lakini mapendo ni<br />

utamu na kwa huyu anayependa na kwa wao wanaopendwa.<br />

Chuki inafunga roho, lakini mapendo inamuuhuru na inamufungula.<br />

Chuki inauwa watu, lakini mapendo inazala watu mara ya mbili. Mufu ni huyu anayechukia;<br />

lakini huyu anayebakia kwa mapendo anajaza na uzima utamu.<br />

Chuki inataabu watu; lakini mapendo inatulivu, inashangilia na inafurahi.<br />

Chuki ni ugumu na makari; lakini mapendo na upole na wema.<br />

Chuki ni wa majivuno; lakini mapendo ni wa unyenyekevu.<br />

Chuki ni bila wema; lakini mapendo urafiki-wema.<br />

Chuki ni bila uvumilia; lakini mapendo anawema.<br />

Chuki wanaizarau watu wote; lakini mapendo ni wa kupokelwa na wa furaha.<br />

Chuki wanaichukia watu wote; lakini mapendo wanaitukuza na wanaipenda wote.<br />

Huyu anayeishi na chuki ni maskini na musiyefuraha; lakini huyu anayeishi na mapendo ni<br />

mwenye heri na mubarikiwa.<br />

Huyu anayeishi ndani ya chuki wanataabu na watu wengine na Mungu; lakini huyu<br />

anayeishi ndani ya mapendo na Mungu na watu wanafurahi.<br />

Chuki ni mbego ya shetani; lakini mapendo ni mbego kimungu.<br />

Basi, wale wanafata hii zambi ya chuki ni wapotevu na wenye taabu, hata kama na watu<br />

wengine wanawasifa kama wa mungu. Lakini wa heri na ubarikiwa ni hii roho inayejaza na<br />

mapendo, hata kama watu wengine wanaikanyanga sawa vile bulongo ya inchi.<br />

Wale ya kwanza wanaonekana ya inje wenye wazuri, lakini ndani yao ni watu mbaya; lakini<br />

wenye watu wa mapendo kwa inje wanaonekana kama wasipo utukufu, lakini ndani yao ni wenye<br />

wazuri. Wale wanangazia ya inje; lakini ndani ni wa mweusi na wenye giza; hawa wenye<br />

mapendo hawaonekane ya kama ni kintu kizuri, lakini ndani yao wekona yoyote matendo zawadi<br />

ya Mungu. Wale wanafanana kama muti ya kuoza, lakini hawa wa mependo ni muti nzuri na<br />

kunioloka.<br />

«Fanyeni muti muzuri na matunda yake mazuri; ao fanyesi muti mubaya na matunda yake<br />

mabaya; kwa sababu muti unajulikana kwa matunda yake». (Matayo 12, 33). Basi, iko lazima<br />

kufamia mapendo toka matunda yake, matendo yake, kwa sababu hivi mapendo inafamiwa na<br />

hapana na ma neno.<br />

37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!