19.03.2015 Views

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

05MWENDO KWA MBINGU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

11<br />

SEHEMU YA MBILI<br />

NJIA YA WOKOVU<br />

Habari Njema (Evangelio) ya wokovu<br />

Hakuna kintu ingine kwa sisi wenye zambi utamu na upendwa na mwenye furaha kuliko ya<br />

Evangelio. Evangelio iko kuliko lazima kwa wenye zambi, kama wanafamia hali ya roho yao.<br />

«Maana Mwana wa watu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea» (Luka 19, 10). Hii neno ni<br />

neno ya utulivu ya Evangelio ya Kristu. Ni nani Huyu «Mwana wa watu»? Ni Mwana wa Mungu,<br />

mfalme ya mbingu na mwana wa mfalme, aliyetumwa kwa sisi toka Baba wake mwenye mbingu.<br />

Kwa ajili ya mapendo yetu Yeye alitaka kuitwa «Mwana wa mtu». Juu ya nini alikuja mu inchi<br />

yetu? Juu ya kutafuta na kuokoa sisi wenye wapotevu na kutukokota mu Ufalwe wake wa<br />

mbinguni. Kintu ingine nini kabisa upendwa na kwa furaha itakuwa namna kutupatia Mungu kwa<br />

sisi wenye zambi?<br />

Lakini sasa iko lazima kuangalia ni nini Evangelion inaomba nini ya sisi na inatumwa kwa<br />

nani?<br />

A.<br />

Evangelion ni, sawa inatuonyesha maana yake, ni moja habari ya furaha. Inakuhubiri mu<br />

dunia mzima Kristu kama Mwokozi ya dunia, aliyekuja kutafuta na kuokoa kondoo mupotevu.<br />

Musikieni mweye wote watu wenye zambi wa potevu! Musikieni habari ya furaha ya Evangelion.<br />

Inaita kwa sisi wote: . «Maana Mwana wa watu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea» (Luka<br />

19, 10).<br />

Ni mambo matata kama mtu moja anaishi katika zambi mbele ya Mungu, lakini Evangelio<br />

inatukikiri ya kama zambi wetu wanasamehewa katika Jina ya Kristu na ya kama Kristu ni<br />

wokovu wetu.<br />

Ni mambo matata kuishi chini ya hasira ya Mungu, lakini Evangelion inatuhubiri ya kama<br />

Kristu alituungana pamoja na Mungu: «Akakuja na kuhubiri salama kwenu muliokuwa mbali, na<br />

salama kwao waliokuwa karibu» (Waefeso 2, 17).<br />

Ni matata «laana ya torati» kwa sisi, kwani sisi wote toko wenye zambi na hii sheria ya<br />

Agano la kale inaongoza kila mwenye zambi kwa malipizo ya sasa na ya milele. Lakini Evangelio<br />

inakikiri ya kama «Kristu alitukomboa kwa laana ya torati, akiwa alifanywa laana kwa ajili yetu,<br />

kama ilivyoandikwa».<br />

Lufu ni matata kwa kizazi ubinadamu. Lakini Evangelio inatufundisha ya kama Kristu ni<br />

Ufufuo na Uzima wetu. Hadeze na Gehena ni matata. Lakini Evangelio inatukuhubiri ya kama<br />

Kristu alituuhuru toka Hadeze na mateso yoyote. Ni kintu kibaya kuepuka ya Mungu na Ufalme<br />

wake wa milele, lakini Evangelio inatukikiri ya kama tutakuwa pamoja daima na Kristu wetu kwa<br />

Ufalme wake ya milele.<br />

Wa Kristiani wapenzi wangu, huyu sauti ya Evangelio ni kabisa butamu: «Onjeni mwone ya<br />

kuwa Bwana ni mwema» (Zaburi 34, 9). « Kwa maana Mungu alivyopenda ulimwengu, hata kutoa<br />

Mwana wake wa pekee, ili kila mutu akimwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele. Maana<br />

Mungu hakutuma Mwana wake ulimwenguni kuhukumu ulimwengu, lakini ulimwengu uokolewe<br />

naye. Anayemwamini hahukumiwi, asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu<br />

hakuamini jina la Mwana wa pekee wa Mungu». (Yoane 3, 16-18). «Atukuzwe Bwana, Mungu wa<br />

Israeli; kwani amekuja kwa watu wake, na kuwakomboa. Ametunyanyulia pembe ya wokovu,<br />

katika nyumba ya mutumishi wake Daudi; » (Luka 1, 68-69).<br />

B.<br />

Tuliona ni nini Evangelio, sasa inapaswa kusopoka inaomba nini ya sisi.<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!