You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
11<br />
SEHEMU YA MBILI<br />
NJIA YA WOKOVU<br />
Habari Njema (Evangelio) ya wokovu<br />
Hakuna kintu ingine kwa sisi wenye zambi utamu na upendwa na mwenye furaha kuliko ya<br />
Evangelio. Evangelio iko kuliko lazima kwa wenye zambi, kama wanafamia hali ya roho yao.<br />
«Maana Mwana wa watu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea» (Luka 19, 10). Hii neno ni<br />
neno ya utulivu ya Evangelio ya Kristu. Ni nani Huyu «Mwana wa watu»? Ni Mwana wa Mungu,<br />
mfalme ya mbingu na mwana wa mfalme, aliyetumwa kwa sisi toka Baba wake mwenye mbingu.<br />
Kwa ajili ya mapendo yetu Yeye alitaka kuitwa «Mwana wa mtu». Juu ya nini alikuja mu inchi<br />
yetu? Juu ya kutafuta na kuokoa sisi wenye wapotevu na kutukokota mu Ufalwe wake wa<br />
mbinguni. Kintu ingine nini kabisa upendwa na kwa furaha itakuwa namna kutupatia Mungu kwa<br />
sisi wenye zambi?<br />
Lakini sasa iko lazima kuangalia ni nini Evangelion inaomba nini ya sisi na inatumwa kwa<br />
nani?<br />
A.<br />
Evangelion ni, sawa inatuonyesha maana yake, ni moja habari ya furaha. Inakuhubiri mu<br />
dunia mzima Kristu kama Mwokozi ya dunia, aliyekuja kutafuta na kuokoa kondoo mupotevu.<br />
Musikieni mweye wote watu wenye zambi wa potevu! Musikieni habari ya furaha ya Evangelion.<br />
Inaita kwa sisi wote: . «Maana Mwana wa watu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea» (Luka<br />
19, 10).<br />
Ni mambo matata kama mtu moja anaishi katika zambi mbele ya Mungu, lakini Evangelio<br />
inatukikiri ya kama zambi wetu wanasamehewa katika Jina ya Kristu na ya kama Kristu ni<br />
wokovu wetu.<br />
Ni mambo matata kuishi chini ya hasira ya Mungu, lakini Evangelion inatuhubiri ya kama<br />
Kristu alituungana pamoja na Mungu: «Akakuja na kuhubiri salama kwenu muliokuwa mbali, na<br />
salama kwao waliokuwa karibu» (Waefeso 2, 17).<br />
Ni matata «laana ya torati» kwa sisi, kwani sisi wote toko wenye zambi na hii sheria ya<br />
Agano la kale inaongoza kila mwenye zambi kwa malipizo ya sasa na ya milele. Lakini Evangelio<br />
inakikiri ya kama «Kristu alitukomboa kwa laana ya torati, akiwa alifanywa laana kwa ajili yetu,<br />
kama ilivyoandikwa».<br />
Lufu ni matata kwa kizazi ubinadamu. Lakini Evangelio inatufundisha ya kama Kristu ni<br />
Ufufuo na Uzima wetu. Hadeze na Gehena ni matata. Lakini Evangelio inatukuhubiri ya kama<br />
Kristu alituuhuru toka Hadeze na mateso yoyote. Ni kintu kibaya kuepuka ya Mungu na Ufalme<br />
wake wa milele, lakini Evangelio inatukikiri ya kama tutakuwa pamoja daima na Kristu wetu kwa<br />
Ufalme wake ya milele.<br />
Wa Kristiani wapenzi wangu, huyu sauti ya Evangelio ni kabisa butamu: «Onjeni mwone ya<br />
kuwa Bwana ni mwema» (Zaburi 34, 9). « Kwa maana Mungu alivyopenda ulimwengu, hata kutoa<br />
Mwana wake wa pekee, ili kila mutu akimwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele. Maana<br />
Mungu hakutuma Mwana wake ulimwenguni kuhukumu ulimwengu, lakini ulimwengu uokolewe<br />
naye. Anayemwamini hahukumiwi, asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu<br />
hakuamini jina la Mwana wa pekee wa Mungu». (Yoane 3, 16-18). «Atukuzwe Bwana, Mungu wa<br />
Israeli; kwani amekuja kwa watu wake, na kuwakomboa. Ametunyanyulia pembe ya wokovu,<br />
katika nyumba ya mutumishi wake Daudi; » (Luka 1, 68-69).<br />
B.<br />
Tuliona ni nini Evangelio, sasa inapaswa kusopoka inaomba nini ya sisi.<br />
11