12.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Spika, tuhakikishe ya kwambaumuhimu wa nishati una faida kubwa sana kwauchumi wetu pamoja na kuhakikisha ya kwambapalipo na uchumi endelevu, hapo hapo pia hatamapato ya Taifa yanakuwepo, wajasiliamali wanapatarasilimali na wanapata nguvu ya kuendelea. CCM naSerikali yake itambue ukweli wa kwamba utangulizi wakuhakikisha kwamba nishati inayopatikana na iliyokuwaikipatikana, ulikuwa ni udhaifu mkubwa kwa sababu yashutuma za rushwa, basi mfanye upembuzi, msiwekifuniko, mhakikishe ya kwamba mnapambanua naWatanzania mnawaambia dhuluma ya hujumailiyotendeka kutokana na fikra hasi za watumishi hasiwasio na uzalendo na uaminifu kwa Taifa hili.Mheshimiwa Spika, ahadi ya Serikali ya kwambamgao hautokuwepo, naomba Serikali hii ijiimarishe. Je,Mheshimiwa Waziri umekaa na Waziri wa Fedhaakakuakikishia kwamba atakusaidia kukupamashirikiano? Je, mtandao uliokuwa ni batili kwa usatwina maendeleo ya nchi haupo katika Wizara ya Fedhahivyo ukapata kikwazo, tafakari, chunguza, makepamoja na Mheshimiwa Waziri Mkuu atoe mashirikianoyakinifu. (Makofi)Mheshimiwa Spika, namwomba MheshimiwaWaziri aielekeze TANESCO ihakikishe inakagua nguzozilizooza katika kipindi hiki cha kiangazi na ihimarishemfumo wa kusafirisha umeme wa njia kutokaShinyanga hadi Maswa, Meatu, Bariadi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!