12.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Napendekeza, hii pesa ya mrahaba, itengewe akauntiyake maalum, ili iweze kuelekezwa hasa katika kutatuamatatizo ya jamii, kwa mfano, ikaelekezwa kwenyemashule, ikaelekezwa mahospitalini ambako ndiko sisiwote tunakotegemea kwamba, bila kurekebisha afya,ina maana kwamba, huyu mtu hataweza kufanya kaziyake vizuri, hataweza kujiletea maendeleo. Kamahatutaweza kuboresha shule zetu vizuri ni wazi kabisakwamba, hatutakuwa na product nzuri hapobaadaye. Kwa hiyo, ninaomba hii pesa kamainawezekana ikatengewa akaunti yake maalum, iliiweze kujulikana inafanya kazi gani hasa katika kuletamaendeleo kwa jamii.Mheshimiwa Spika, lakini lingine katika hilohilo,Mheshimiwa aliyetoka kuzungumza, ameongeleakwamba, kuna makampuni ambayo yana<strong>go</strong>makulipa. Inakuwaje kampuni imekuja hapa, ikasainimkataba, leo Serikali, inaiambia ifanye hivi, inakataaand then mnaanza ne<strong>go</strong>tiation? Sheria ziko wapi?Makampuni kama haya yanayokataa kushiriki katikashughuli kama hizo ama kama mmejiwekea mkatabani wazi kwamba, hafai aondoke, hakuna sababu yakumbembeleza mtu, madini yetu hayaozi. Kwa hiyo,tunaomba kabisa kama mtu anashindwa ku-complyna Sheria za nchi na mikataba hiyo mnayoiweka, kamani mizuri kama ni mibovu, basi muipitie upya ili kila kitukijulikane na huyo anayekataa atoke. (Makofi)Mheshimiwa Spika, naongelea suala la malipo yaleseni kwa wenye viwanja vido<strong>go</strong>, ambao niwachimbaji wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong>. Hivi karibuni nimekuwanikisikia kwamba, kuna Waraka umeandaliwa kwa ajili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!