12.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Spika, wananyemelea kuanza M<strong>go</strong>dimpya pale Mwakitolyo na wameshaanza kunyemeleakuanza M<strong>go</strong>di mpya pale Nyanzaga. Endapohawatakubali kufanya marekebosho ya mapungufuyaliyokuwepo toka zamani, kulipa Service Levy,kusaidia wananchi wanaoishi jirani na mi<strong>go</strong>di,musiendelee kuwapa leseni za kufanya kazi watuhawa, wapeni wengine.Tunategemea kwa sababu wao ndio wakokwenye industry ndio waliwekeza kuliko wengine,wawe mfano. Tunawaambia rekebisheni mikataba,lipeni service levy, hawataki. Tunawaambiarekebisheni mikataba, lipeni ushuru au royalty kutoka 3kwenda 4 wanakuwa wazito. Katika mazingira hayowananchi wetu wataendelea kuteseka. Mimininaiomba Serikali, iendelee kusimama imara. (Makofi)Mheshimiwa Spika, katika kuboresha mahusianoya mi<strong>go</strong>di na wananchi, limekuwepo tatizo kubwasana la maeneo ya wachimbaji wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong>,nilisema wakati fulani mwaka 2007, enzi zile Waziri niKaramagi kwamba, haiwezekani nchi nzima Kampunimoja, directly au indirectly, ikawa na leseni za utafitinchi nzima. Wilaya ya Kahama, ambayo ina madinikaribu kila sehemu, haina eneo hata moja lawachimbaji wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong>. Maeneo yoteyameachiwa wawekezaji wakubwa, wakifanya utafitina hakuna wanachokifanya. Nakupongeza sanaMdo<strong>go</strong> wangu Mheshimiwa Masele, juzi nilipokuwanyumbani Segese, walikuwa wananiuliza kwamba.“Kaliza nanalia kamasele?” yaani wakimaanishaMasele anakuja lini kwetu? (Makofi)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!