12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Vile,• Sisi•• Iko• Wale• Watoto• Minaona• Mukona• Lakini• Leo,• HISTORIA.• Mtoto• Alifurahi• FUNDISHO• KAINA• (Mwanzo,11watoto wangu, inapaswa kueshimiwa watu weingine, kwa sababu wote weko katikamufano ya Mungu. Kama tunatema mutu moja, iko sawa kutema yulu ya moja Ikona ya Munguwetu. Kama tunapika mutu mwingine, iko sawa kupika Ikona ya Mungu wetu. Na wakati sisitunaanguka ku zambi moja, iko sawa kutupa ikona moja ndani ya buchafu.wote tuko ma Ikona-mifano ya Mungu. Wakati moja tutarudia mara ingine ndani yaParadizo, iliyetufungula Mungu Yesu Kristu kwa mapendo yake kwa sisi. Basi, sasa inapaswakukombana juu ya kufanana na Mungu Baba wetu. Vile na ma nafsi wetu wazuri tutaenda muParadizo ya Mungu. Sasa, basi, tuende kusema wote pamoja hii fundisho yetu ya leo: « Kila mutu nikiumbe na mufano ya Mungu».YA TATUNA ABELI4)Mukona one mulimanji?Mukona ona muchungaji?namna kuniambia, juu ya ninyi mutuulizeni?watoto walizaliwa na walikomea ku moja mukini wanajua na wekona ufamio toka hiiuzima ya mulimanji na muchungaji. Ma shamba na ma nyumba ya ma nyama yao ni ma fasi, ilewanapenda sana.wa nani katikati yenu wanaikala ku moja mukini ao wanaenda hii wakati ya kipwa.Munyanyule mikono yenu yulu.ya kama muko wa mingi. Basi, mukona ona mulimanji? Wanatumika nguvu namikono yao kila kazi ma shamba wao juu ya kutafuta ma chakula yao. Wanachoka, wakati wanatakakupanda moja mbeko mpaka hii wakati watafanya mavuno yao.ona na wachungaji? Mifano wao ni muzuri. Hawa wekona ma kondoo ao ma mbuziwa mingi na wanaenda mu pori. Wanaimba na moja baragumu na hawa tena wanasikia ma sauti yama nyama yao na wanafurahi.misijue, mweye munapenda kupita kuishi sawa walimanji, ao sawa wachungaji?kama mutasikia hii fundisho yetu, mutaniambia nani alikuwa kuliko muzuri huyumuchungaji Abeli ao mwingine mulimanji Kaina?Waliishi wakati moja wa nduku wa mbili, wanaume. Wazazi wao waliwapenda yote mbili.Walizaliwa mu nature na hii nature waliipenda yote mbili tangu kipimo wao udogo. Wakatiwalikomea kila mtoto alichakula njia ya kazi yake.ya kwanza na mukumbwa tangu kipimo udogo alipenda inchi.kuishi na kutumika ma shamba. Kila asubui alienda ma shamba. Alitegeneza shambayake, alipanda mbeko, aliweka michi ya matunda, alimwanga mayani yake. Alifurahi kuangalia yakama ma shamba yote yake wekona moja ragi maesombe, kutosha mayani na matunda wazuri.Furaha yake ilikuwa kuliko mingi, wakati ilikuja wakati ya mavuno. Uzima yake ilikuwa muzuri.Lakini muzuri ilikuwa na uzima ya mwingine muloko yake, mwenye alichakula uzima yamuchungaji. Yeye alipenda kutembea na kundi ya ma nyama yake mu pori. Aliwaongoza ma nyamayake karibu ya kizipa na ma mutoni juu ya kupata ma nyama yake mayani. Na wakati ilikuwakivukutu mingi ilipaswa kurudia ku moja fasi ya kimvuli juu ya kupumuzika ma nyama yake.Furaha yake ilikuwa mingi, wakati aliweka ma nyama yake ndani ya nyumba yao na yeye alikamunana alitosha mazima yao. Vile na yeye aliishi moja uzima safi na furaha. Kwani alitembea yeyemweyewe mu pori alikumbuka Mungu na daima alisuburia na Yeye.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!