• Vile,• Sisi•• Iko• Wale• Watoto• Minaona• Mukona• Lakini• Leo,• HISTORIA.• Mtoto• Alifurahi• FUNDISHO• KAINA• (Mwanzo,11watoto wangu, inapaswa kueshimiwa watu weingine, kwa sababu wote weko katikamufano ya Mungu. Kama tunatema mutu moja, iko sawa kutema yulu ya moja Ikona ya Munguwetu. Kama tunapika mutu mwingine, iko sawa kupika Ikona ya Mungu wetu. Na wakati sisitunaanguka ku zambi moja, iko sawa kutupa ikona moja ndani ya buchafu.wote tuko ma Ikona-mifano ya Mungu. Wakati moja tutarudia mara ingine ndani yaParadizo, iliyetufungula Mungu Yesu Kristu kwa mapendo yake kwa sisi. Basi, sasa inapaswakukombana juu ya kufanana na Mungu Baba wetu. Vile na ma nafsi wetu wazuri tutaenda muParadizo ya Mungu. Sasa, basi, tuende kusema wote pamoja hii fundisho yetu ya leo: « Kila mutu nikiumbe na mufano ya Mungu».YA TATUNA ABELI4)Mukona one mulimanji?Mukona ona muchungaji?namna kuniambia, juu ya ninyi mutuulizeni?watoto walizaliwa na walikomea ku moja mukini wanajua na wekona ufamio toka hiiuzima ya mulimanji na muchungaji. Ma shamba na ma nyumba ya ma nyama yao ni ma fasi, ilewanapenda sana.wa nani katikati yenu wanaikala ku moja mukini ao wanaenda hii wakati ya kipwa.Munyanyule mikono yenu yulu.ya kama muko wa mingi. Basi, mukona ona mulimanji? Wanatumika nguvu namikono yao kila kazi ma shamba wao juu ya kutafuta ma chakula yao. Wanachoka, wakati wanatakakupanda moja mbeko mpaka hii wakati watafanya mavuno yao.ona na wachungaji? Mifano wao ni muzuri. Hawa wekona ma kondoo ao ma mbuziwa mingi na wanaenda mu pori. Wanaimba na moja baragumu na hawa tena wanasikia ma sauti yama nyama yao na wanafurahi.misijue, mweye munapenda kupita kuishi sawa walimanji, ao sawa wachungaji?kama mutasikia hii fundisho yetu, mutaniambia nani alikuwa kuliko muzuri huyumuchungaji Abeli ao mwingine mulimanji Kaina?Waliishi wakati moja wa nduku wa mbili, wanaume. Wazazi wao waliwapenda yote mbili.Walizaliwa mu nature na hii nature waliipenda yote mbili tangu kipimo wao udogo. Wakatiwalikomea kila mtoto alichakula njia ya kazi yake.ya kwanza na mukumbwa tangu kipimo udogo alipenda inchi.kuishi na kutumika ma shamba. Kila asubui alienda ma shamba. Alitegeneza shambayake, alipanda mbeko, aliweka michi ya matunda, alimwanga mayani yake. Alifurahi kuangalia yakama ma shamba yote yake wekona moja ragi maesombe, kutosha mayani na matunda wazuri.Furaha yake ilikuwa kuliko mingi, wakati ilikuja wakati ya mavuno. Uzima yake ilikuwa muzuri.Lakini muzuri ilikuwa na uzima ya mwingine muloko yake, mwenye alichakula uzima yamuchungaji. Yeye alipenda kutembea na kundi ya ma nyama yake mu pori. Aliwaongoza ma nyamayake karibu ya kizipa na ma mutoni juu ya kupata ma nyama yake mayani. Na wakati ilikuwakivukutu mingi ilipaswa kurudia ku moja fasi ya kimvuli juu ya kupumuzika ma nyama yake.Furaha yake ilikuwa mingi, wakati aliweka ma nyama yake ndani ya nyumba yao na yeye alikamunana alitosha mazima yao. Vile na yeye aliishi moja uzima safi na furaha. Kwani alitembea yeyemweyewe mu pori alikumbuka Mungu na daima alisuburia na Yeye.
• Basi• Lakini• Lakini,• Musikieni,• Na• Hii• Mtoto• Anakimbia.• E,• Tuende,• Juu• Walitembea• Mbali• Kazi12wale wa nduku ya hii fundisho yetu ya leo walikuwa moja mulimanji na mwinginemuchungaji. Moja alipeleka kwa nduku yake matunnda ya kazi yake. Na invers. Nikusemamukubwa nduku alimupatia kwa muloko yake mbeko ya ngano na matunda ingine, lakini namuloko yake alimupatia kwa mukubwa yake mazimba, nyama na ingine ya ma nyama yake.ilikuja siku moja na hii mapendo yao ilipotea. Huyu muloko hasikukuwe na moja mambombele ya mukubwa yake. Lakini mukubwa yake alikuwa na moja mufano mubaya mbele ya mulokoyake. Richo yake ilionekana ya kama alimuchukia juu ya tamaa. Ku mwanzo alimuangalia na richomakari, kisha alimusema na namna makari na kisha hasikupende hata kumuona kwani alimuchukia.juu ya ninyi? Mambo gani ilizaliwa katikati yao? Kintu kibaya ninyi alimufanyisiamuloko yake?watoto wangu. Muloko yake, mwenye alikuwa muchungaji, alipenda sana Mungu. Najuu ya kuonyesha hii mapendo yake kwa Mungu alibeba kila wakati moja nyama yake, muzuri na yakunenepa na aliitoa kama sandaka kwa Mungu. Ile wakati hii ma sandaka walitoa, watoto wangu,watu mbele ya Mungu. Na Mungu, mwenye aliangalia roho safi yake, alipokelea hii sandaka yakena furaha mingi. Simoko ya hii moto ya sandaka yake ilinyanyula safi kwa mbingu.mukubwa yake? Na yeye alitoa sandaka kwa Mungu. Ilipaswa na yeye kumutoa kintu moja.Lakini, kwani alipenda kuliko matunda juu ya uzima na maugu yake, alitoa kwa Mungu hapana ilematunda wazuri, lakini hii iliisha kuoza na ilikuwa kadiri ya kuitupa. Lakini hii sandaka Munguhasipokelee. Anapenda kupokelea ma sandaka, ile inatoka toka moja roho safi na kujaza naheshima na mapendo mbele Kwake. Joo vile hasikupokelee sandaka yake, kwa sababu huyu ndukumukubwa yake hasikukuwe na mapendo mbele ya Mungu.mambo ilikuwa, watoto wangu. Tangu hi saa mukubwa yake alisikia, ya kama paka sandakaya muloko yake aliipokelea Mungu. Tangu hii saa ilizaliwa na ilibakia ndani ya roho yake tamaa nachuki kontre ya muloko yake.wangu, alimwambia siku moja Mungu. Juu ya ninyi unasikitika na unataambu?Haukujue ya kama inapaswa kutoa sandaka kwa Mimi ya kila kintu muzuri ukona yo? Weyeulifanya hivi, lakini na bintu vibaya yako. Haujue ya kama ni zambi kutoa kwa Mimi bintu vibayayako, lakini mimi minakupatia yote bintu yangu na wema na mapendo mingi? Lakini hata masauti ya Mungu habakuweze kuleta butamu kwa roho ya mukubwa nduku yake. Ndani yake tamaailikomea kabisa. Na hii saa, aliikala na giza ya akili yake, alisimama. Aliisha kutegeneza pichauovu yake.Anaenda kumutafuta muloko nduku yake. Anageuza na udanganyifu mufano yake naanamwambia na namna butamu ya wongo:nduku wangu, unakuja kutembea kiloko pamoja mpaka ma shamba yangu?alimujibu muloko yake, mwenye alimuheshimiwa na alimutii.ya mapendo yako minakuja na haina mambo kwani niko na na muchoko mingi.pamoja wa nduku wa mbili. Waliepuka sana ya nyumba yao.ya ma macho ya wazazi wao. Wakati walifika ku moja fasi mbali kabisa muloko yakealianza kusikia moja kintu kibaya. Mukubwa yake hasikusuburie na yeye. Paka alitembea na kichwayake chini. Aliwaza kintu moja kwa akili yake. Alitegeneza kintu moja. Na, kwa sababu hakunamutu mwingine ya kumuona, alikuja kupika muloko yake. Muloko yake alivumilia, kwa sababualikuwa mudogo kwa kipimo yake na hasikuweze kutoka, kwani mukubwa yake alimukamata.ninyi kibaya, ee nduku wangu, milikufanyisia? Juu ya ninyi unanipika? Mimiminakupenda. . . Lakini hasikutagurie kusema na sauti ingine. Ndani ya ma dakika kiloko kazikibaya iliisha. Mukubwa nduku alimwua muloko yake na moja upanga. Kwa hii kazi ilimusukumatamaa yake. Vile, aliwaza ya kama ataokolewa toka nduku yake. Hasikuweze kuangalia ya kamaMungu alipokelea paka sandaka ya nduku muloko yake na hapana yake.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64:
• Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66:
• Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68:
• Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70:
• WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72:
• Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74:
• Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76:
• Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na