• Alimwambia• Kwa• Hii• Makumbusho• MAELEZEO:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• SAUTI• MATENDO• Imani• Hii37Na hekima yake alimushinda padri ya wongo Arios. Lakini huyu Arios alikuwa na ndani yakeshetani. Kisha saa kiloko waliona wa padri wote kulamuka ya kiti yake moja mupole askofu,aliyekwenda karibu ya Arios. Yeye alikuwa mt. Spiridon. Lakini alitaka ninyi huyu musiyeakilikatikati ya hii mazungumuzo nguvu ya theologie? Lakini na yeye alikuwa na kumupatia kwaArios jibu moja. Alifanya ninyi? Alibeba moja matafari kwa mkono yake.kwa Arios: Uliona hii matafari? Ni moja, lakini mara moja na ya bintu ya tatu.Mara moja alifanya alama ya musalaba na alisema:Jina ya Baba na ya Mwana na ya Roho Mtakatifu. . . Na wakati aliisha hii sauti ya UtatuMutakatifu hii matafari ilichanishwa. Wakati, nikusema, alisema: « Kwa jina ya Baba. . «mojalunrimi ya moto ilipanda mbinguni. Wakati alisema: « Na ya Mwana» ilianguka chini maji nawakati alisema: na ya Roho Mutakatifu. . « ilibakia kwa mkono yake bulongo.muujiza, watoto wangu, ilifanya ajaabu mingi kwa wa Padri wote ya hii Makutano. WaPadriwa Orthodoksi walimutukuza Mungu, mwenye hii saa ya nguvu kwa hii nvita ya imani ya UtatuMutakatifu alifanya hii muujiza na alionyesha na namna bila shaka ya kama Mungu ni Moja na waTatu ma Uso. Arios, kisha hii muujiza, alipata haya mingi.ya Mtakatifu Spiridon Kanisa yetu inashangilia kila mwaka mu tarehe ya 12Mwezi ya kumi na mbili.Miujiza wa nani ya Mt. Spiridon sisi leo tulisema?Alifanya Liturgia takatifu pamoja na wa Malaika na alisuburia kwa binti yake Irini,mwenye kufa na alichana hii matafari kwa bintu yake ya tatu. Ulizo: Muujiza nani ikona maananguvu na ikona kadiri mingi?Hii muujiza aliifanya ndani ya Makutano Ikumenike ya Kwanza.Alitaka kuonyesha ninyi na hii muujiza?Ya kama Mungu ni moja, lakini na ma Uso ya Tatu. Ni na ma Uso ya Tatu: Baba, Mwanana Roho Mtakatifu.Ninasandiki kwa Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Utatu wa asili moja nausiyotengana.YA MADIKO TAKATIFU: « Neema ya Bwana Yesu Kristo, na mapendo ya Mungu, naushirika wa Roho Mutakatifu ukae pamoja nanyi wote» (Barua ya mbili kwa wa Korinto 13, 14).KU UZIMA YETU. Ma neno ya hii Sauti ya Madiko Takatifu sisi tunaisikia kilamu Juma mu Kanisa yetu. Ni baraka ya Utatu Mutakatifu. Ndani ya Kanisa tunaishi Neema yaKristu, aliyeeko Uso ya mbili ya Utatu Mutakatifu. Tunaishi mapendo ya Mungu, aliyeeko Uso yakwanza na aliyetupenda sana Huyu Baba Mungu wetu, kwani Mwana wake wa pekee, alimupatiasadaka kwa wokovu wetu. Tena tunaishi Ushirika ya Roho Mutakatifu.yetu inafanana kama moja «polieleos», nikusema hii kintu munene ni katikati ya kanisayetu na ikona ma kandilia ya mingi ao moto ilectrique ya mingi. Hii monyororo inaikamata ikonama pete wadogo ya mingi. Sasa muwaze, kama moja pete itapasuka, yote Polieleos itaanguka naitapasuka. Na Kanisa yetu Takatifu inafanana kama moja Polieleos. Inajikamata ya mojamonyororo, inayeikona ma pete wa mingi. Na hii pete ya hi monyororo ya kwanza ni hii fundisho yaUtatu Mutakatifu, ya kama nikusema, Mungu ni Moja na ma Uso ya Tatu: Baba, Mwana na RohoMtakatifu.fundisho ukweli mbele ya kufika Kristu mu dunia, wale watu waliishi habakuijue kabisamuzuri. Kristu wetu, mwenye ni Uso ya mbili ya Utatu Mutakatifu, Yule alitufunua hii fundishoukweli. Mara wa mingi alitufundisha hii sauti ukweli yake. Lakini weko na watu sawa zamani
• Mweye,• Kwani•• NAMNA• Simba.• Minazania• Namna• Mwenye• Ku• HISTORIA.• Kuliko• Ile• Alikuwa• Minataka• Unataka• Ndivyo,• Hii• Hasikupitishe• MUTAKATIFU• FUNDISHO38Arios, wenye habasandiki kwa Utatu Mutakatifu. Hawa weko Kundi ya Yehova ao wanaitwa naWashuhuda ya Yehova. Hawa wanaharabisha ma sauti ya Madiko Takatifu na vile wanafundishawatu na fundisho ya wongo na gehena.watoto wangu, inapaswa kusoma Madiko Takatifu juu ya kuweza kujibu kwa hawa watuya shetani. Na tazama sasa! Mufungule Agano Jipya na mara moja mutasoma ma vipande ya mbili,ile munaweza kuikumbuka. Moja kipande ni ku shairi ya mwisho ya Evangelion katika Matayo naingine ni shairi ya kwanza katika Evangelion ya Yoane. (Hapa mwalimu atafungula Agano Jipyayake na atatafuta hii ma shairi na ataisoma).sisi tuko wa Orthodoksi tunasandiki kwa Utatu Mutakatifu. Na mweye, wakati munafanyama sala yenu ku mwisho mutaweza kusema kwa Mungu na hii sala: « Ee Utatu Mutakatifu, okoawatu ya dunia muzima».YA KUMIELEFTHERIOSYA KUKARIBIAMunajua, watoto wangu ni nani kuliko nguvu moja nyama ya pori makari sana?Ndivyo, huyu nyama ni mfalme ya wa nyamba beingine.ya kama mukona ona ma simba ao hapana? Watoto wa mingi ya mweye muliona masimba ndani ya ma kitabu yenu, na weingine waliona ndani ya Television.gani anaitwa, watoto wangu, huyu mutu, mwenye anakamata na anashinda ma nyama yamakari?kukamata na kushinda ma nyama. Mu lugha kigreki: Thiriodamastis.Historia ya Kanisa yetu munajua mweye mutu moja, mwenye walimuheshimiwa ma simba?Minazania ya kama hamujue. Leo, basi mimi mitamionyesha nani alikuwa yule mutu.Tuko ile wakati Kristianisme ilifukuzwa toka wafalme ya Roma.walifukuzwa wakubwa wapadri ya Kanisa yetu.wakati, mu muji Roma mukubwa ya Italia alizaliwa na alipita miaka wadogo wakeMushahindi ya hii fundisho yetu ya leo, mwenye anaitwa Eleftherios. Ku miaka wadogo yakealipotesha baba yake na mama yake aliyeitwa Anthia, alikuwa mwaminifu na alisubuka kusaidiamtoto yake juu ya kukomea na moha fundisho ya Kristu. Matakio yake ilikuwa kutoa mtoto yakemu Kanisa ya Kristu. Ndani ya roho ya mtoto yake alipanda matakio takatifu wa mingi.na kipimo yake Eleftherios miaka 15 na kwa agili ya ma fazila yake walimufamia watuwote ya hii kundi ya wa Kristiani ya muji Roma. Yeye alikuwa moja kitumaini ndani ya Kanisa yaKristu, iliyefukuzwa sana. Siku moja aliingia ndani ya moja katakombe, pahali alikuwa askofuAnikitos, mwenye alimuuliza: Mtoto wangu, unataka ninyi?kufanyika padri, alimujibu mtoto Eleftherios. Minataka kutumika mu Kanisa ya Kristu.kutumika mu Kanisa yetu, lakini uliwaza muzuri? Leo padri ni kama mushahindi.Utateswa juu ya imani yetu. Ulikamata hii mupango kuteswa?ee Mtakatifu ya Mungu, alimujibu mtoto, lakini na toka ma macho yake walitelemushamachozi.ilikuwa matakio na mawazo ya huyu mtoto Eleftherios. Kufanyika padri. Na hii matakio yakeMungu alimustahili kuitimiza. Mtakatifu askofu Anikitos, kwani aliona ma fazila na mapendo yahuyu mukristu kijana alimupandirisha shemasi na padri. Upandirisho yake ilifanyikwa ndani yamoja katakombe ya Roma. Watu wa Kristiani walifuraha sana wakati waliona mkono ya muzeeaskofu kuiweka pa kichwa ya kijana Eleftherios na kumupatia cheo ya padri ya Kanisa ya Kristu. . .wakati mingi na ilikuwa lazima Eleftherios kufanyika askofu. Na kwelialipandirisha askofu juu ya kutumika mu Kanisa ya Ilirikon, nikusema leo ku muji Avlona ya
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84: • Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86: • Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88: • Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na