12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Alimwambia• Kwa• Hii• Makumbusho• MAELEZEO:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• SAUTI• MATENDO• Imani• Hii37Na hekima yake alimushinda padri ya wongo Arios. Lakini huyu Arios alikuwa na ndani yakeshetani. Kisha saa kiloko waliona wa padri wote kulamuka ya kiti yake moja mupole askofu,aliyekwenda karibu ya Arios. Yeye alikuwa mt. Spiridon. Lakini alitaka ninyi huyu musiyeakilikatikati ya hii mazungumuzo nguvu ya theologie? Lakini na yeye alikuwa na kumupatia kwaArios jibu moja. Alifanya ninyi? Alibeba moja matafari kwa mkono yake.kwa Arios: Uliona hii matafari? Ni moja, lakini mara moja na ya bintu ya tatu.Mara moja alifanya alama ya musalaba na alisema:Jina ya Baba na ya Mwana na ya Roho Mtakatifu. . . Na wakati aliisha hii sauti ya UtatuMutakatifu hii matafari ilichanishwa. Wakati, nikusema, alisema: « Kwa jina ya Baba. . «mojalunrimi ya moto ilipanda mbinguni. Wakati alisema: « Na ya Mwana» ilianguka chini maji nawakati alisema: na ya Roho Mutakatifu. . « ilibakia kwa mkono yake bulongo.muujiza, watoto wangu, ilifanya ajaabu mingi kwa wa Padri wote ya hii Makutano. WaPadriwa Orthodoksi walimutukuza Mungu, mwenye hii saa ya nguvu kwa hii nvita ya imani ya UtatuMutakatifu alifanya hii muujiza na alionyesha na namna bila shaka ya kama Mungu ni Moja na waTatu ma Uso. Arios, kisha hii muujiza, alipata haya mingi.ya Mtakatifu Spiridon Kanisa yetu inashangilia kila mwaka mu tarehe ya 12Mwezi ya kumi na mbili.Miujiza wa nani ya Mt. Spiridon sisi leo tulisema?Alifanya Liturgia takatifu pamoja na wa Malaika na alisuburia kwa binti yake Irini,mwenye kufa na alichana hii matafari kwa bintu yake ya tatu. Ulizo: Muujiza nani ikona maananguvu na ikona kadiri mingi?Hii muujiza aliifanya ndani ya Makutano Ikumenike ya Kwanza.Alitaka kuonyesha ninyi na hii muujiza?Ya kama Mungu ni moja, lakini na ma Uso ya Tatu. Ni na ma Uso ya Tatu: Baba, Mwanana Roho Mtakatifu.Ninasandiki kwa Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Utatu wa asili moja nausiyotengana.YA MADIKO TAKATIFU: « Neema ya Bwana Yesu Kristo, na mapendo ya Mungu, naushirika wa Roho Mutakatifu ukae pamoja nanyi wote» (Barua ya mbili kwa wa Korinto 13, 14).KU UZIMA YETU. Ma neno ya hii Sauti ya Madiko Takatifu sisi tunaisikia kilamu Juma mu Kanisa yetu. Ni baraka ya Utatu Mutakatifu. Ndani ya Kanisa tunaishi Neema yaKristu, aliyeeko Uso ya mbili ya Utatu Mutakatifu. Tunaishi mapendo ya Mungu, aliyeeko Uso yakwanza na aliyetupenda sana Huyu Baba Mungu wetu, kwani Mwana wake wa pekee, alimupatiasadaka kwa wokovu wetu. Tena tunaishi Ushirika ya Roho Mutakatifu.yetu inafanana kama moja «polieleos», nikusema hii kintu munene ni katikati ya kanisayetu na ikona ma kandilia ya mingi ao moto ilectrique ya mingi. Hii monyororo inaikamata ikonama pete wadogo ya mingi. Sasa muwaze, kama moja pete itapasuka, yote Polieleos itaanguka naitapasuka. Na Kanisa yetu Takatifu inafanana kama moja Polieleos. Inajikamata ya mojamonyororo, inayeikona ma pete wa mingi. Na hii pete ya hi monyororo ya kwanza ni hii fundisho yaUtatu Mutakatifu, ya kama nikusema, Mungu ni Moja na ma Uso ya Tatu: Baba, Mwana na RohoMtakatifu.fundisho ukweli mbele ya kufika Kristu mu dunia, wale watu waliishi habakuijue kabisamuzuri. Kristu wetu, mwenye ni Uso ya mbili ya Utatu Mutakatifu, Yule alitufunua hii fundishoukweli. Mara wa mingi alitufundisha hii sauti ukweli yake. Lakini weko na watu sawa zamani

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!