12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Moja• Kisha• Hii• Moja• Namna• Ee• Na• Inje• Mtoto• Ndani• Hii• kiwanja.• Kisha• Alipindula• Lakini,• Hapana,• Ha,• Lakini• Saa• Lakini• Ndivyo!• Lieos5busiku ilionekana moja nuru kuliko nguvu ya hii nuru ya dunia, iliyeangaza chumba yake.Moja Malaika na mabawa mweupe alikuja na moja taji ku mukono yake. Alikuja na aliweka hii tajipa kichwa ya Mushindani. Ngapi nguvu alimupatia hii matembeleo ya Malaika!ma siku wadogo Dimitrios alipokelea na moja ingine matembeleo.mara huyu Dimitrios alipatia nguvu kwa moja mutu mwingine.asubui aliona Dimitrios kukuja moja mwanafunji yake, moja mtoto ya Masomo ya Kanisayake. Alikuwa Nestoras.gani ulikuja hapa, ee Nestora? Alimuuliza mwalimu yake Dimitrios.Mwalimu wangu, milikuja kubeba baraka yako. Mitaenda kukombana.mutu nani?mu kiwanja iko makelele mingi. Waliisha kusanyika watu wa mingi na mfalme. Katikati yahii kiwanja ni moja mutu munene, aliyemuletea mfalme. Yeye aliitwa Lieos. Yeye ni murefu naekona nguvu kabisa. Anataka kukombana na moja mutu mwingine. Miliwaza ya kama inapaswakukombana na yeye mimi, mwalimu wangu. Mimi niko mutu mudogo, lakini nikona karibu yanguYesu Kristu, mwenye eko kupita nguvu ya Lieos na ya kila ma nguvu ya hii dunia. Minatakakukombana na Lieos, kumushinda juu ya kutukuzwa Mungu wetu. Basi, unipe baraka yako. . .wangu, Nestora, alimujibu Dimitrios, « Utamushinda Lieos na utakufa kwa jina yaMungu». Uende na baraka ya Mungu.ya kiwanja watu wote walilalamika hivi: Li-eos, Li-eos, Li-eos!ma sauti ya watu walisikia watu wote na muji na wa askari yaNa huyu Lieos alitembea na majivuno na aliongolea nani atakuja kukombana na ye.Yeye alitukuza nguvu yake. Nani, basi, atapata nguvu kukombana na huyu mukubwa askari?Ilipaswa mbele kukufa na kisha atakamata mupango kukombana na yeye.saa kiloko ndani ya hii kiwanja ilisikiwa moja sauti: Ee Lieos, milikuja kukombana naweye.Lieos na watu wote na mfalme na waliona kukaribia moja mutu mufupi mukijana.Alikuwa Nestoras. Aliisha kukamata mupango kukombana na Lieos.weye, mtoto wangu, alimwambia mfalme, weye utakombana na huyu mukubwa namwenye nguvu askari? Juu ya ninyi unataka kufa? Haupende kuishi wakati ingine?minataka kukombana na huyu, kwa sababu minasandiki ya kama mitamushinda. . . .ha, ha, . . . alicheka na udanganyifu Lieos. Huyu atanishinda!mbele ya mupango ya Nestoras mbukomvi katikati yao ilianza. Watu wote, wenyewaliona hii mbukomvi walikamata pumuzi yao. Moja mtoto kijana atakombana na moja mukubwaaskari. Asitaweze kumushinda. Habakujue watu ya sanamu ya kama na moja wakati ingine zamanina moja mwingine kijana, aliyeitwa Daudi alishinda mukubwa askari Goliathi.ya mbukomvi ilifika. Mtoto Nestoras alifanya alama ya musalaba na midomo yake alisemamoja sala na haraka: « Ee Mungu ya Dimitrios, unisaidie». Na wakati alifanya hii sala alikuja kontreya Lieos. Watu wote waliongolea kuona Nestora kuanguka mufu chini.wanaona ninyi? Chini ya mbulongo alianguka mukubwa Lieos. Lieos?Nestoras alipanda yulu yake na moja kisu kiloko yake alimupika na alimuacha mufuchini.mufu! Nestoras mushindi! Watu wote walishangaa. Mfalme aliuliza roho yake: Namnagani ilifanyikwa hii haya ya Lieos? Watu beingine walimwambia ya kama Nestoras wakati alianzakumupika Lieos alimuomba kwa Mungu ya Dimitrios mwalimu yake. Aliomba saidio ya Munguukweli yake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!