• Moja• Kisha• Hii• Moja• Namna• Ee• Na• Inje• Mtoto• Ndani• Hii• kiwanja.• Kisha• Alipindula• Lakini,• Hapana,• Ha,• Lakini• Saa• Lakini• Ndivyo!• Lieos5busiku ilionekana moja nuru kuliko nguvu ya hii nuru ya dunia, iliyeangaza chumba yake.Moja Malaika na mabawa mweupe alikuja na moja taji ku mukono yake. Alikuja na aliweka hii tajipa kichwa ya Mushindani. Ngapi nguvu alimupatia hii matembeleo ya Malaika!ma siku wadogo Dimitrios alipokelea na moja ingine matembeleo.mara huyu Dimitrios alipatia nguvu kwa moja mutu mwingine.asubui aliona Dimitrios kukuja moja mwanafunji yake, moja mtoto ya Masomo ya Kanisayake. Alikuwa Nestoras.gani ulikuja hapa, ee Nestora? Alimuuliza mwalimu yake Dimitrios.Mwalimu wangu, milikuja kubeba baraka yako. Mitaenda kukombana.mutu nani?mu kiwanja iko makelele mingi. Waliisha kusanyika watu wa mingi na mfalme. Katikati yahii kiwanja ni moja mutu munene, aliyemuletea mfalme. Yeye aliitwa Lieos. Yeye ni murefu naekona nguvu kabisa. Anataka kukombana na moja mutu mwingine. Miliwaza ya kama inapaswakukombana na yeye mimi, mwalimu wangu. Mimi niko mutu mudogo, lakini nikona karibu yanguYesu Kristu, mwenye eko kupita nguvu ya Lieos na ya kila ma nguvu ya hii dunia. Minatakakukombana na Lieos, kumushinda juu ya kutukuzwa Mungu wetu. Basi, unipe baraka yako. . .wangu, Nestora, alimujibu Dimitrios, « Utamushinda Lieos na utakufa kwa jina yaMungu». Uende na baraka ya Mungu.ya kiwanja watu wote walilalamika hivi: Li-eos, Li-eos, Li-eos!ma sauti ya watu walisikia watu wote na muji na wa askari yaNa huyu Lieos alitembea na majivuno na aliongolea nani atakuja kukombana na ye.Yeye alitukuza nguvu yake. Nani, basi, atapata nguvu kukombana na huyu mukubwa askari?Ilipaswa mbele kukufa na kisha atakamata mupango kukombana na yeye.saa kiloko ndani ya hii kiwanja ilisikiwa moja sauti: Ee Lieos, milikuja kukombana naweye.Lieos na watu wote na mfalme na waliona kukaribia moja mutu mufupi mukijana.Alikuwa Nestoras. Aliisha kukamata mupango kukombana na Lieos.weye, mtoto wangu, alimwambia mfalme, weye utakombana na huyu mukubwa namwenye nguvu askari? Juu ya ninyi unataka kufa? Haupende kuishi wakati ingine?minataka kukombana na huyu, kwa sababu minasandiki ya kama mitamushinda. . . .ha, ha, . . . alicheka na udanganyifu Lieos. Huyu atanishinda!mbele ya mupango ya Nestoras mbukomvi katikati yao ilianza. Watu wote, wenyewaliona hii mbukomvi walikamata pumuzi yao. Moja mtoto kijana atakombana na moja mukubwaaskari. Asitaweze kumushinda. Habakujue watu ya sanamu ya kama na moja wakati ingine zamanina moja mwingine kijana, aliyeitwa Daudi alishinda mukubwa askari Goliathi.ya mbukomvi ilifika. Mtoto Nestoras alifanya alama ya musalaba na midomo yake alisemamoja sala na haraka: « Ee Mungu ya Dimitrios, unisaidie». Na wakati alifanya hii sala alikuja kontreya Lieos. Watu wote waliongolea kuona Nestora kuanguka mufu chini.wanaona ninyi? Chini ya mbulongo alianguka mukubwa Lieos. Lieos?Nestoras alipanda yulu yake na moja kisu kiloko yake alimupika na alimuacha mufuchini.mufu! Nestoras mushindi! Watu wote walishangaa. Mfalme aliuliza roho yake: Namnagani ilifanyikwa hii haya ya Lieos? Watu beingine walimwambia ya kama Nestoras wakati alianzakumupika Lieos alimuomba kwa Mungu ya Dimitrios mwalimu yake. Aliomba saidio ya Munguukweli yake.
• Basi,• Sasa• Kanisa• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• MATENDO• Kila• Leo• Mweye,6mukosefu ni Dimitrios! Nestoras ni na huyu mukristu na mwanafunji ya Dimitrios. Bilakuchelewa alitosha moja mupya hamuri yake. Wa askari ya Roma waliingia ndani ya kiwanja nawalimukamata Nestoras na walikata kichwa yake.inakuja na mustari ya mwalimu yake. Dimitrios ndani ya buloko yake anapokeleamatembeleo ya wakubwa wa askari ya mfalme. Na ma mukuki wao walipingilia mwili yake. Damuinatoka na inatelemuka mingi. Kisha ma dakina wadogo lufu inaleta mwisho ku uzima ya Dimitrios,moja uzima kujaza na mapendo ya Mungu na ya watu. Sasa Dimitrios na Nestoras, mwanafunji namwalimu weko pamoja mbinguni.yetu inakumbuka makumbusho yao: Ya Mt. Dimitrios mu tarehe 26 mwezi ya Kuma naNestoras mu tarehe 27 ya hii umoja mwezi. MAELEZEO. Ulizo: Minasandiki ya kama muliangaliahii mbukomvi nguvu toka muji Tsessaloniki. Munaweza kuniambia nani alikuwa matakio ukubwaya Mt. Dimitrios? Jibu: Kuongoza watu wote ya muji yake kwa Kristu.Matakio gani aliisha kuweka ku uzima yake?Hasikupitishe hata siku moja, bila kukokota hata moja mutu kwa imani ya Kristu.Makila mabarikikwa yake fasi ngani aliitupa?Kwa watoto na wakijana. Alipenda kabisa makijana. Ulizo: Mtoto nani yake leo tuliona kwa hiisindano?Nestoras. Yeye alimuamini Kwa Kristu nguvu na alimupenda mpaka kutoa na uzima yakeKwake na tena kumwanga damu yake kwa mapendu ya Kristu. Ulizo: Mt. Dimitrios kila sikualikombana kuleta hata mutu moja kwa Kristu. Sisi tunaweza kufanya ninyi?Kusema na kwa watu weingine juu ya Imani na fundisho ya Kristu.Nani inapaswa kuwa kazi yetu kila siku kabisa?Kuleta kwa Kristu warafiki, wanafunji na wote watoto kwa imani ya Kristu na Kanisa wetu.Tutatumika kupeleka na weingine watoto ku Masomo yetu. SAUTI YAMAPOKEO TAKATIFU: : Mutu moja kwa Yesu Kristu, Mwana wa Mungu, Mwokozi wetu.KU UZIMA WETU. Hii sauti ya Mapokeo takatifu ikona Historia yake. Iliandikwandani ya kibabashi ya Katakombe, ile wakati walifukuza waKristiani wafalme ya Roma. Na, kwaniwalitaka waKristiani kuishi na kupata nguvu ya Mungu kwa sisi waliandika na alama pa kibabashima sauti fulani. Kwa mufanmo walifatula moja samaki na waliandika jina yake kigreki ni IHSOYS.Hii samaki ilikuwa alama ya Yesu Kristu. Kila neno ya hii jina Samaki inatuelezea hivi: YesuKristu, Mwana wa Mungu, Mwokozi.busiku habakuende paka wenye wenyewe mu Katakombe. Waliongoza na watu weinginekwa hii makusanyo ya Kristu. Ni kweli, ya kama hii kazi waliifanya ilikuwa ya hatari. Walicheza nauzima yao, vile tunaweza kusema. Nikusema chini ya kinywa ya imbwa (mfalme ya Roma)walifanya utumwa. Kama waliwakamata, mara moja ilipaswa kuwawua. Na hii mambo ilifanyikwamara wa mingi. Lakini ni ninyi lufu mbele ya wokovu ya moja nafsi?hata mutu moja hasifukuzwe. Tuko wauhuru kusema sauti ya Kristu, kufanya Masomo yaKanisa yetu, kufundisha watu weingine ku imani yetu. Basi, haina muzuri kuzaifu juu ya wa ndukuwetu na weingine watoto, wenye abakuje ku hii Masomo yetu. Na hawa weko watoto ya Mungu. Nahawa walimuamini Kristu. Na Kanisa ni juu ya wokovu na kwa hawa watoto. Kama watakuja maramoja, watapata furaha na butamu kwa roho yao, na kisha habatapende kutoka.munasema ninyi, watoto wangu? Mutafanya ninyi hii juma na kila juma kisha?Muniambia beingine ma kazi mutaweza kuifanya:
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58:
• MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60:
• Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64:
• Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66:
• Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68:
• Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70:
• WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72:
• Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74:
• Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76:
• Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na