• Mambo• Huyu• Lakini• Ni• Mimi• Elisabeti• Ee• Elisabeti• Alipima• Hii• Yoane!• Yoane!• Walimuuliza• Elisabeti• Wate• Sikia,• Hii• Kisha• Na• Walipita• Siku• Munajua45waliongolea kukuja inje yule padri alikuwa ndani ya Altari Takatifu. Lakini habakumuone yakutoka inje juu ya kufukiza na kuomba kwa Mungu. Saa ilipita na padri hasikuonekane. Lakiniwalijua ya kama yeye alikuwa ndani.gani ilifanyikwa? Alipata mambo moja? Vile waliuliza mutu moja kwa mwingine.padri Zakaria, vile ilikuwa jina yake, alichelewa kutoka inje.kisha saa kiloko walimuona kutoka inje. Lakini waliona ya kama hasikuweze kusemamaombi yake. Kinywa yake aliisha kuifunga.kweli ya kama Zakaria aliisha kupata mambo moja. Hii saa alikuwa ndani ay Altari ya Kanisaalisuburia na moja malaika ya Mungu. Yeye alikuwa Malaika Gabrieli. Mungu alimutumakumwaambia moja tangazo kizuri.ni malaika Gabrieli, mwenye minasimama karibu ya Kiti ya Mungu mu mbingu. Mungualinituma kukuwambia ya kama maombi yako alisikia. Bibi yako Elisabeti atazala mtoto.atazala mtoto? Namna gani? Zamani milifanya sala juu ya hii mambo. Kishamilisimama. Sasa yeye ni muzee. Namna gani itafanyikwa hii mambo?Zakaria, juu ya ninyi unashaka ku hii tendo na mapenzi ya Mungu?atazala na huyu mtoto atazaliwa utamuita Yoane. Na, kama unataka kusandiki bilashaka ya kama ma sauti yangu ni ukweli, tangu hii saa utabakia bubu. Hautaweze kusema mpakaatazaliwa mtoto yako. Na hii malipizo Mungu atakupatia, kwa sababu haukusandiki mara moja.kusema sauti moja Zakaria, lakini hakuna namna. Lunrimi yake ilitengwa, lakini sautihasikutoke. Watu ya Hekalu walisikia ya kama padri Zakaria aliona moja vision.malipizo ya Mungu iliisha, wakati alizaliwa mtoto. Elizabeti na namna ya ajaabu alizala huyumtoto alipenda. Wakati ilifika siku ya tohara ya Yesu Kristu, watu wote waliuliza jina ya mtoto.Hii itakuwa jina ya mtoto yetu, alisema Elisabeti.Lakini hakuna mutu ya ma jerani yenu. Juu ya ninyi hii jina?watu wa mingi.aliangalia Zakaria. Yule, bila tena kuweza ya kusema, alibeba matafari moja na yuluyake aliandika jina: Yoane.walishangaa. Lakini kabisa walishangaa, wakati Zakaria alianza kusuburia. Neno yakwanza iliisema ilikuwa: Mubarikiwa Mungu. . . Hii saa na mwangaza ya Mungu Zakaria aliimbamoja wimbo, iliyesema na maana juu ya huyu mtoto yake Yoane. Lakini na Malaika aliishakumwaambia juu ya hii kazi atafanya mtoto yake.ee Zakaria, alimwaambia Malaika ya Mungu: Huyu mtoto atakuwa mukubwa mbele ya mamacho ya Mungu. Ndani ya tumbo ya mama yake atakuwa, lakini atayala na nguvu ya RohoMutakatifu. Huyu atapita mbele ya kufika Mwokozi ya dunia. Yeye (mtoto yako) atatayarisha njiayake( ya Kristu).sauti alisikia Zakaria na ajaabu mingi. Sasa, wakati alizaliwa huyu mtoto, na yeye mwenyeweanasema hii ma sauti na watu weingine wanashangaa.saa kiloko alipindula ma macho yake kwa mtoto yake na alimwaambia:weye, mtoto wangu, utafanyika Nabii ya Mungu Mwenyezi. Utatayarisha njia juu ya kupitaYule, anayekuja toka mbingu juu ya kutuokoa. Weye utaenda ku mbele juu ya kuonyesha Yuleanayekuja kisha kwako.miaka ya kuenea. Watu wa mingi walipotesha ma mwendo ya Yoane.moja ilizambalishwa moja kavumu:hii kavumu? Pale karibu ya mutoni Yorodani eko mutu moja mwenye ajaabu.Anafanana ya kama alikuja ya ingine dunia.
• Anavala• Mimi• Na• Hakuna• Yorodani.• Muzuri,• Hasikule• Na• Moja• Tazama!• mwenye• Huyu• Yoane• Joo• Inapaswa• Tunataka• Musikie.• Na• Mweye• Na• Mweye,• Tuko• Mweye,• Watu• Watu• Utuwaambie,• Yoane,• Hapana!• Atakuwa46ninyi?misikumuone. Watu weingine waliniambia ya kama nguo yake ni toka ngozi ya manyonyaya ngamia na katikati yake ekona kama musipi moja ngozi. Ni mutu murefu, ya kukonda na manywele warefu na ma ndevu.anaikala wapi?nyumba kwake. Alijibu mutu moja, mwenye alikuja toka fasi yaNyumba yake ni jangwa. Kitanda yake ni bulongo na mufuniko yake ni mbingu.lakini anakula ninyi?sawa sisi. Anakula mayani na sari kiloko ya ile ma nyuki wanaishi mu jangwa. Hii nichakula yake.juu ya ninyi tunaikala kusuburia juu ya huyu mutu? Alisema mutu moja katika ya wale watuwalisuburia. Iko kuliko muzuri kuenda pale kumufamia.kundi ya watu waliondoka toka Yerusalema na walienda kumutafuta.Ni huyu! Wakati walimuona watu wote, walisikia na sauti yake,alisema: « Tubuni, sababu ufalme wa mbinguni umekaribia» (Matayo 3, 2)Yoane, watoto wangu, alikuwa Muhubiri ya toba. Na ninyi wote walikuja na walitubu,waliingia ndani ya ma maji ya Yorodani na walibatiziwa.alihubiri sauti ya kweli. Alikuwa mungaga ya Mungu, mwenye alionyesha kwa kila mutukilonda ya roho yake na alimwambia kufanyia ninyi juu ya matunzo ya nafsi yake.vile watu walimuuliza: Tutafanya ninyi juu ya kuokolewa?kutubu. Mufanye matunda wazuri ya toba yenu.kutwambia kwa kila kundi ya sisi.Kama mutu moja kwa mufamo ekona ma nguo ya mbili, atapatia moja nguo kwa yulemutu, mwenye hasikuwe na hii nguo. Na yule mutu ekona ma bintu wa mingi atapatia na kwa walewatu weko masikini.sisi tutafanya ninyi, ee mwalimu ya Mungu?muko wa mutuzakondi. Watu wote wanajua ya kama mweye munaiba taifa muzima.Basi, tangu leo mutasimama ya kuiba. Musitabebe kupita ya hii sauti inasema Sheria yetu.sisi mwalimu wetu, tutafanya ninyi:kazi gani munafanye?wa askari.musisitake wa nduku wenu, musifanye matendo na hanahaki na mutabeba malipo ya hiikazi yenu.wote walikuja kwa Yoane kubatiziwa. Siku moja alikuja na mutu mwingine, mwenyeYoane alishaka kumubatiza. Munajua alikuwa nani? Yesu Kristu! Alizaliwa ma mwezi sita kishaYoane, aliishi ku muji Nazareti. Mbele ya kuanza kuhubiri yake mu dunia, alipita toka Yorodani.Minazania ya kama munajua juu ya Ubatizo ya Kristu. Sasa tutaendelesha fundisho yetu ya Yoanepaka.wa mingi waliendelea kufika kwa Yoane kwa sababu walitafuta fundisho ukweli nawokovu. Wa mingi walimukarimbia na walimuuliza:weye uko Kristu, mwenye sisi tunamuongolea?mwenye alijua kazi na kipimo ya kazi na ma fazila yake, aliwajibu:Misina mimi. Huyu, mwenye ni kuliko mukubwa kwangu anakuja sasa. Mimi misinastahili hata kufungua kamba ya viatu vyake.vile mukubwa? Walimuuliza Nabi Yoane na walimuangalia kwa ma macho yake.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84: • Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86: • Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88: • Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90: • Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92: • MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94: • NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96: • Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na