12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Mambo• Huyu• Lakini• Ni• Mimi• Elisabeti• Ee• Elisabeti• Alipima• Hii• Yoane!• Yoane!• Walimuuliza• Elisabeti• Wate• Sikia,• Hii• Kisha• Na• Walipita• Siku• Munajua45waliongolea kukuja inje yule padri alikuwa ndani ya Altari Takatifu. Lakini habakumuone yakutoka inje juu ya kufukiza na kuomba kwa Mungu. Saa ilipita na padri hasikuonekane. Lakiniwalijua ya kama yeye alikuwa ndani.gani ilifanyikwa? Alipata mambo moja? Vile waliuliza mutu moja kwa mwingine.padri Zakaria, vile ilikuwa jina yake, alichelewa kutoka inje.kisha saa kiloko walimuona kutoka inje. Lakini waliona ya kama hasikuweze kusemamaombi yake. Kinywa yake aliisha kuifunga.kweli ya kama Zakaria aliisha kupata mambo moja. Hii saa alikuwa ndani ay Altari ya Kanisaalisuburia na moja malaika ya Mungu. Yeye alikuwa Malaika Gabrieli. Mungu alimutumakumwaambia moja tangazo kizuri.ni malaika Gabrieli, mwenye minasimama karibu ya Kiti ya Mungu mu mbingu. Mungualinituma kukuwambia ya kama maombi yako alisikia. Bibi yako Elisabeti atazala mtoto.atazala mtoto? Namna gani? Zamani milifanya sala juu ya hii mambo. Kishamilisimama. Sasa yeye ni muzee. Namna gani itafanyikwa hii mambo?Zakaria, juu ya ninyi unashaka ku hii tendo na mapenzi ya Mungu?atazala na huyu mtoto atazaliwa utamuita Yoane. Na, kama unataka kusandiki bilashaka ya kama ma sauti yangu ni ukweli, tangu hii saa utabakia bubu. Hautaweze kusema mpakaatazaliwa mtoto yako. Na hii malipizo Mungu atakupatia, kwa sababu haukusandiki mara moja.kusema sauti moja Zakaria, lakini hakuna namna. Lunrimi yake ilitengwa, lakini sautihasikutoke. Watu ya Hekalu walisikia ya kama padri Zakaria aliona moja vision.malipizo ya Mungu iliisha, wakati alizaliwa mtoto. Elizabeti na namna ya ajaabu alizala huyumtoto alipenda. Wakati ilifika siku ya tohara ya Yesu Kristu, watu wote waliuliza jina ya mtoto.Hii itakuwa jina ya mtoto yetu, alisema Elisabeti.Lakini hakuna mutu ya ma jerani yenu. Juu ya ninyi hii jina?watu wa mingi.aliangalia Zakaria. Yule, bila tena kuweza ya kusema, alibeba matafari moja na yuluyake aliandika jina: Yoane.walishangaa. Lakini kabisa walishangaa, wakati Zakaria alianza kusuburia. Neno yakwanza iliisema ilikuwa: Mubarikiwa Mungu. . . Hii saa na mwangaza ya Mungu Zakaria aliimbamoja wimbo, iliyesema na maana juu ya huyu mtoto yake Yoane. Lakini na Malaika aliishakumwaambia juu ya hii kazi atafanya mtoto yake.ee Zakaria, alimwaambia Malaika ya Mungu: Huyu mtoto atakuwa mukubwa mbele ya mamacho ya Mungu. Ndani ya tumbo ya mama yake atakuwa, lakini atayala na nguvu ya RohoMutakatifu. Huyu atapita mbele ya kufika Mwokozi ya dunia. Yeye (mtoto yako) atatayarisha njiayake( ya Kristu).sauti alisikia Zakaria na ajaabu mingi. Sasa, wakati alizaliwa huyu mtoto, na yeye mwenyeweanasema hii ma sauti na watu weingine wanashangaa.saa kiloko alipindula ma macho yake kwa mtoto yake na alimwaambia:weye, mtoto wangu, utafanyika Nabii ya Mungu Mwenyezi. Utatayarisha njia juu ya kupitaYule, anayekuja toka mbingu juu ya kutuokoa. Weye utaenda ku mbele juu ya kuonyesha Yuleanayekuja kisha kwako.miaka ya kuenea. Watu wa mingi walipotesha ma mwendo ya Yoane.moja ilizambalishwa moja kavumu:hii kavumu? Pale karibu ya mutoni Yorodani eko mutu moja mwenye ajaabu.Anafanana ya kama alikuja ya ingine dunia.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!