12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

•• NAMNA• Hii• Kama• Anakimbia• Mukona• HISTORIA.• Siku• Alisikia• Kisha• Watu• Ile• Vile• Aliikala• Lakini• Inapaswa• YESU• FUNDISHO• (Luka49KUMI NA TATU<strong>KRISTU</strong> ANATEMBELEA ZAKAYO MU NYUMBA YAKE19, 1-10)YA KUKARIBIAma siku yetu wanafanyikwa matendo mabaya ya kuiba na kunyanganya ya mingi. Kila sikutunasikia ya kama watu filani waliiba makuta, waliiba bintu ya wa nduku wao.mutu moja ataiba kintu moja, kisha anafanya ninyi?kufuchikwa juu ya hapana kumukamata.ona moja mwivi, mwenye anapanda yulu ya muti moja? Mimi leo mitamiambiahistoria moja na moja mwivi mukubwa, mwenye walimuona watu siku moja kukimbia na kupandayulu ya muti moja.Hii historia yetu ilifanyikwa ku miaka ya mafikisho ya Bwana Yesu mu dunia.Wakati ya miaka ya tatu, Yesu Kristu alitembea fasi yote ya Galilaya, Yudea na Palestina.Alifundisha na alifanya miujiza. Wale watu walikuwa na masikio wazi walisikia mafundisho yake.Na wale walikuwa ma macho wao wazi waliona na miujiza yake.moja Yesu alipita ya muji Yeriko na watu wa mingi walikwenda na haraka karibu yake.Wote walipenda kumuona. Mutu moja mufupi hasikuweze kumuona. Alikuwa mwenye kipofu namasikini.pembeni yake kelele, alifungula mikono yake juu ya kupapasa bintu na watu pembeniyake, lakini hasikuweze kusikia bintu ya mingi. Alikuwa daima mbele yake moja giza mingi. Watuweingine walimuona Kristu na walifurahi, lakini yule mutu kipofu hasikuweze kumuona. Lakiniilikuja saa na alimuona. Namna gani? Kristu alimurudisha nuru ya ma macho yake. Sasa huyukipofu anaona muzuri na ma macho yake Yesu Kristu.hii muujiza Kristu wetu aliendelesha mwendo yake ndani ya Yeriko.wa mingi mukongo yake walimufata. Waliisha kusikia wote hii ya hii mafundisho namiujiza yao na waliacha ma kazi wao na walitoka inje ya njia kumuona na kumusikia. Katikati yaoalikuja na mutu moja, mwenye watu wa mingi walimuchukia. Juu ya ninyi? Alikuwa moja mwivimukubwa. Aliiba watu, bila kumuuzi hata mutu mwingine. Na hii makuta ya kuiba aliisha kufanyamoja mali mingi. Alikuwa mutozakodi.wakati, watoto wangu, watozakodi walikuwa cheo na nguvu kubeba ma palata ya watu wote.Na ni kweli ya kama habakubebe paka hii makuta iliwaonyesha sheria ya inchi yao, lakini walibebana kupita ya mingi. Nikusema waliiba makuta mingi na kabisa toka watu wamasikini. Walikuwanamna kuwauzi na nguvu mingi na kubeba makuta yao. Vile watozakodi walikuwa watu, wenyewatu weingine waliwachukia sana. Hata mutu moja hasikuwapende na waliwaona kama watuwenye zambi sana. Mukumbukeni na yule mutozakodi ya Parabole, mwenye alipika ma kilari yakena aliomba hurumia kwa ajili ya ma mingi ma zambi yake? . . .alikuwa na huyu mutu, aliyekuwa mukubwa ya watozakodi weingine.ndani ya Yeriko na aliitwa Zakayo. Mpaka hii saa alipenda sana makuta. Watu weinginewaliisha kutoka inje ya njia kumupokelea na kusikia Kristu na yeye alikuwa mu nyumba yake naalibalula makuta yake. . .alisimama ku moja dakika. Ilifika kelele kwa masikio yake ya kama karibu ya nyumbayake atapita Yesu Kristu. Alisimama na alianza kuwaza muzuri. Ndani yake alizaliwa mara mojamatakio moja: Anataka kuona Kristu! Ndivyo, Zakayo anataka kuona Kristu. Huyu nikona makutamingi na mali mingi na anataka kuona Yule, mwenye eko masikini, Bwana Yesu Kristu.kumuona. Mitaenda. Namna gani watu weingine wanamuona?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!