12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• Hii• MATENDO• Mweye• Kwa• Ni• Muniseme• Maneno• Kristu,• Miye• 1.Ku hii nyumba walisanyikwa watu wa mingi na walifanya ninyi?Walisikia kuhubiri na Liturgia Takatifu.21Mambo gani ilifanyikwa na ilitetemeka kiloko kimya ya hii mapatano ya wa Kristiani?Ilifanyikwa moja accident. Mtoto Eftihos alilala ku hii saa ya Liturgia. Alianguka chini injeya nyumba na alifariki.Lakini namna gani ilipaswa kuangalia na kusikia Eftihos Liturgia Takatifu?Na pasopo mingi na boka ya Mungu.Inapaswa kusopoka na kusikia muzuri Liturgia Takatifu. SAUTI YA MADIKOTAKATIFU: « Walikuwa wakidumu katika mafundisho ya mitume, na katika ushirika, na katikakuvunja mukate na kuomba. (Matendo ya Mitume 2, 42).sauti tunaandika leo, watoto wangu, inatuonyesha hii mapendo waliikuwa wa Kristiani yakwanza. Sawa sasa watu wa mingi wanapenda sana kusikia television, football ao cinema, vile hiiwakati ya kwanza ya Kanisa yetu waaminifu walipenda hii mapatano na uzima ya kumwabuduMungu. Vile walionyesha matakio yao na hii ma sauti: « Ah, wakati ngani saa itafika juu ya kusikiakuhubiri toka kinywa ya wa Mitume, kuishi umoja sawa wa nduku katika Kristu, kupewa Mwili naDamu ya Kristu na matakio yao ya ine: Kumuomba kwa Mungu wote pamoja!KU UZIMA YETU. Sisi watoto wangu, tukona hii matakio? Tukona mapendokuingia mu Misa, kusikia Liturgia Takatifu, kupewa Mwili na Damu ya Kristu, kuishi pamoja kamawa Nduku katika Kristu? Sasa tutafanya moja kipimo. Watoto ngapi ya mweye mulikuja hii muJuma ilipita mu Kanisa? Munaona mweye mwenyewe ya kama hamukuje kila mu Juma?Kengele inapika mwalimu yetu ao padri yetu, juu ya kusikia sisi sauti ya Mungu toka mbingu. Ilewakati ya kwanza hasikupike kengele, kwa sababu hasikukuwe. Lakini hii wakati ilipika roho yao.Ile wakati hakuna ma Kanisa sawa sasa na wa Kristiani walifuchamwa ndani ya ma nyumba aondani ya bulongo mu Katakombe. Sisi sasa, utukufu kwa Mungu tukona ma Kanisa na kengele,wenye wanapika, lakini watu na watoto wetu habasikie sauti ya kengele?munawaza ninyi. Juu ya ninyi watoto wa mingi leo habaende mu Misa?sababu habakuwa na zwezo tangu kipimo yao udogo. Habajue ya kama ni lazima kuendamu Misa.kweli ya kama hii zwezo juu ya kwenda mu Misa ni paka ma jamaa wadogo.na ingine maneno. Kila mu Juma, ao Muposho ao mu Kazi Tano watu na ma motokayao wanaenda safari. Moja mtoto, mwenye ni mtoto ya Kristu atakombana kuingia mu Misa na kwahii fasi ataenda ile ma siku, kama ni Kanisa pale.ingine ni hii: Ya kama hii saa ya Liturgia weingine watoto wanaikala kusomamafundisho ya masomo yao, ao wataenda mu kiwanja ya football, ya muchezo na kazi ingine. Hiisaa wanamiita wakubwa wa mbili:Mwokozi wetu na mutu moja fulani ya kazi moja hii saa ya Liturgia. Mweyemutachakula nani? Ni kuliko muzuri kufata Kanisa hii saa juu ya kubakia wakristiani wa kweli.Munaweza kucheza saa ingine, lakini saa ingine hakuna juu ya Liturgia Takatifu.mitamiambia tena na ingine mambo ya tatu. Misipende kusikitika hata moja mtoto katikatiyenu:Minaona inje ya Kanisa, hii saa ya Liturgia Takatifu watoto beingine kucheza. Lakini hiikazi musifanye hata mara moja. Saa takatifu kabisa yetu ni hii saa ya Liturgia. Wa Malaika nawakubwa ya wa Malaika wanashuka na wanasaidia kila padri pa Meza Takatifu ndani ya Altari yaMungu. Na inapaswa watoto wote kuwa ndani ya Kanisa hii saa.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!