• Kama• Kisha• Na• Kitubio• Saa• Watu• Mutu• Watu• Lakini,• MAELEZEO.• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• SAUTI25mweye wote mutaacha wa mungu wa wongo na mutarudia kwa Mungu wetu ukweli, Yeyeatatuokoa.aliita wakubwa wote ya kila kabila yao na wakubwa ya kila jamaa munene yao. Ndani yakiwanja Masifari ilifanyikwa hii makusanyo yao. Pale walisikia wote ma hamuri ya mukubwamupya yao, aliyemutuma Mungu. Walikuja bila ma bunduki. Mukubwa yao, Samweli aliwaambiakutubu na aliwalaka ya kama yeye alimuomba kwa Mungu juu ya uzima na wokovu wao.kitubio ya watu ilikuja. Hii kiwanja ya Masifari ilitetemeka toka kitubio nguvu yao, wenyewalisemaka: «Tulikosana, tulikosana mingi» Tuliepuka toka Mungu ya wokovu wetu na tuliendakwa wa mungu ya wongo.yao ilikuwa ukweli. Hii kiwanja ilimwanga na machozi ya hii taifa. Walianza na kifungoya chakula na walimuomba kwa Mungo sana. Samweli alikamata tendo ya Mwamuzi. Yeyealihukumu kila mambo ya taifa ya Israeli.moja, wakati watu wote walikuwa kwa hii fasi Masifari, walisikia moja kelele. Mambo ganiilikuwa? Mutu moja aliita nguvu: Wa Filistei! Wanakuja wa Filistei! . . .ya Israeli walitetemeka. Walikuwa bila ma bunduki. Namna gani sasa watakombana waadui wao? Walikujaka wa Filistei ya mukongo kuwakombana.mukubwa yao, Samweli, aliwaambia kufanya kimya na aliwaambia: Kweli ni ya kama sisituko huku bila ma bunduki, lakini tukona musaidizi yetu Mungu Mwenyezi. Basi, tuende sisi wotembio kwa Mungu.ya hii taifa muzima waliomba kwa Mungu. Walianza kupaza sauti na kusema kwa Mungujuu ya kuwaokoa. Kabisa mingi aliomba Samweli. Na muujiza asikuchelewe kufanyika. Kisha saakiloko wa Filistei walianza kukimbia mukongo juu ya kuokolewa. Hata ma uso yao habapindulemukongo.ju ya ninyi? Mungu alisikia ma sala ya Taifa Yake. Ku mbingu ilianza kupika umemena kogoloma. Ilinyesha nvula mingi. Ilianza kunyanyula pepo mingi na wa Filistei waliogopa sanana walianza kukimbia. Mukongo yao walianza kuwafukuza watu ya Israeli. Hawa sasa walikuwawashindi na saidio ya Mungu. . .Ulizo: Mutu nani mukubwa tuliona ku hii fundisho yetu leo?Tulisikia juu ya Samweli, mwana ya Anna na baba yake Elkanas.Namna gani Mungu alimuita?Busiku moja alisikia mara ya ine sauti ya jina yake. Mungu alimuita. Ulizo: Ndivyo.Mungu anasaidia watu wake, lakini namna gani alilinzi taifa yake?Alituma Samweli na aliita watu ku Kitubio.Na wakati walipata mambo ya hatari toka wa Filistei, namna gani Mungu aliwaokoa?Alisikia sala yao.Nikusema, namna gani walikimbia wa Filistei?Mungu alileta tetemeko ya inchi na kogolomo na umeme na wa adui wao walikimbia, bilakuuzi taifa ya Mungu.Mungu analindi watu wake.YA MADIKO TAKATIFU: « Basi, Bwana anajua namna gani kuokoa watawa katikamajaribu. . . « (Barua ya Mbili ya Mut. Petro 2, 9)
• MATENDO• Kwa• Kama• Kama• Ku• Munaisha• Watoto• Namna• Tukona• Watoto• Musiogope!• Nani• NAMNA• Sisi• ma• HISTORIA.• Ndani• Wakati• MTAKATIFU• FUNDISHO•26KU UZIMA YETU. Tukona lazima ya ulinzi. Munaweza kuniambia wakati ganimutu anaomba saidio ya Mungu:mufano, kama inanyesha nvula mutu moja ekona lazima kuikala chini ya moja nyumba,moja mufuniko juu ya kujilinda ya nvula.Jua inaleta kivukutu mingi na grade inafika yulu ya hesabu 40, mutu anatafuta fasi yabaridi ao mutoni ao bahari kunawa juu ya baridi.anafukuza mutu moja mwingine, yeye anatafuta fasi ya kuokolewa.wakati ya nvita mashasi wa mingi inaanguka chini mutu moja ataenda ku fasi moja juu yakuokoa mwili yake.kusema mambo ya mingi, watoto wangu. Iko na ingine. Mbele ya kila hatari tukonalazima kulinda uzima na mwili yetu.wadogo wekona hatari. Walinzi wao weko wazazi wao. Kila mama anakamata kumikono yake mtoto yake juu ya kumulinzi. Na baba ni musaidizi juu ya kila mambo ya mtoto yake.Lakini yulu yao mulinzi mukubwa ni Mungu. Yeye anatupenda kweli kuliko ya watu weingine kwasababu Yeye ekona nguvu kupita mingi.gani anatulinzi? Wakati ingine anatuma Malaika yake, wakati ingine huyu Malaikaanayetulinzi daima, sawa wanalinzi watu wakubwa kundi moja ya wa askari. Wakati ingine anakujahuyu Mungu mumoja kutusaidia.Mungu Baba wetu. Lakini tunamusikia hivi? Kama tunamusikia paka kazi mojainapaswa kufanya: Kuacha uzima yetu, nyumba yetu, na wazazi na jerani yetu na inchi yetu chini yaulinzi wake.wangu, ma michi wadogo juu ya kukomea muzuri na kunioloka yulu watu wanawekakaribu yao muti moja kama nguzo juu ya kuisaidia hii muchi kiloko, wakati pepo ni nguvu. Namweye muko ma michi wadogo. Wanapumuzi ma pepo nguvu, pepo ya zambi. Wanakuja pembeniyenu watu mabaya kama nyama ya pori na wanataka kuharabisdha hii muzuri uzima yenu. Basi,mweye muache uzima yenu kwa mikono ya Mungu. Yeye atamilinzi na nguvu ya musalaba yake.Atamilinzi ndani ya lupango ya Kanisa yake.Karibu yenu ni Mungu kama Mulinzi, Baba na Musaidizi yenu.anataka sasa kutukumbuka hii fundisho yetu ya leo? (. . . ) Mungu analinzi watu wake.YA KUKARIBIA.YA SABAYOANE MURAHIMUwote tukona, watoto wangu, jina moja na jina ingine ya mbili. Ndani ya Kanisa yetu tukonaWatakatifu, wenye walichungajina yao kwa ajili ya ma fazila yao. Moja Mtakatifu na uzima yake leo tutasema ekona jinaYoane, na jina ya mbili Murahimu. Sasa mutasikia juu ya ninyi alibeba hii jina ya mbili.Ku mwaka 550, kisha ya kuzaliwa Bwana Yesu mu Kisanga Kipros aliishimukubwa moja aliyeitwa Epifanios na bibi yake Kosmia, mwenye kweli alipabwa na mafazila yamingi.ya hii nyumba alizaliwa mtoto yao Yoane. Mu nyumba yake alikuwa na bintu wote. Tenaalikuwa na mafundisho ya Mungu kizuri juu ya kutumika muzuri mu dunia, wakati atakomea huyumtoto.alikomea Yoane, wazazi wake walipata binti moja na walimundoa na huyu binti. Wotewalizania ya kama pamoja na yeye ataishi moja uzima wa heri na kizuri, lakini ingine ilikuwa
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na