12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Kama• Kisha• Na• Kitubio• Saa• Watu• Mutu• Watu• Lakini,• MAELEZEO.• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• SAUTI25mweye wote mutaacha wa mungu wa wongo na mutarudia kwa Mungu wetu ukweli, Yeyeatatuokoa.aliita wakubwa wote ya kila kabila yao na wakubwa ya kila jamaa munene yao. Ndani yakiwanja Masifari ilifanyikwa hii makusanyo yao. Pale walisikia wote ma hamuri ya mukubwamupya yao, aliyemutuma Mungu. Walikuja bila ma bunduki. Mukubwa yao, Samweli aliwaambiakutubu na aliwalaka ya kama yeye alimuomba kwa Mungu juu ya uzima na wokovu wao.kitubio ya watu ilikuja. Hii kiwanja ya Masifari ilitetemeka toka kitubio nguvu yao, wenyewalisemaka: «Tulikosana, tulikosana mingi» Tuliepuka toka Mungu ya wokovu wetu na tuliendakwa wa mungu ya wongo.yao ilikuwa ukweli. Hii kiwanja ilimwanga na machozi ya hii taifa. Walianza na kifungoya chakula na walimuomba kwa Mungo sana. Samweli alikamata tendo ya Mwamuzi. Yeyealihukumu kila mambo ya taifa ya Israeli.moja, wakati watu wote walikuwa kwa hii fasi Masifari, walisikia moja kelele. Mambo ganiilikuwa? Mutu moja aliita nguvu: Wa Filistei! Wanakuja wa Filistei! . . .ya Israeli walitetemeka. Walikuwa bila ma bunduki. Namna gani sasa watakombana waadui wao? Walikujaka wa Filistei ya mukongo kuwakombana.mukubwa yao, Samweli, aliwaambia kufanya kimya na aliwaambia: Kweli ni ya kama sisituko huku bila ma bunduki, lakini tukona musaidizi yetu Mungu Mwenyezi. Basi, tuende sisi wotembio kwa Mungu.ya hii taifa muzima waliomba kwa Mungu. Walianza kupaza sauti na kusema kwa Mungujuu ya kuwaokoa. Kabisa mingi aliomba Samweli. Na muujiza asikuchelewe kufanyika. Kisha saakiloko wa Filistei walianza kukimbia mukongo juu ya kuokolewa. Hata ma uso yao habapindulemukongo.ju ya ninyi? Mungu alisikia ma sala ya Taifa Yake. Ku mbingu ilianza kupika umemena kogoloma. Ilinyesha nvula mingi. Ilianza kunyanyula pepo mingi na wa Filistei waliogopa sanana walianza kukimbia. Mukongo yao walianza kuwafukuza watu ya Israeli. Hawa sasa walikuwawashindi na saidio ya Mungu. . .Ulizo: Mutu nani mukubwa tuliona ku hii fundisho yetu leo?Tulisikia juu ya Samweli, mwana ya Anna na baba yake Elkanas.Namna gani Mungu alimuita?Busiku moja alisikia mara ya ine sauti ya jina yake. Mungu alimuita. Ulizo: Ndivyo.Mungu anasaidia watu wake, lakini namna gani alilinzi taifa yake?Alituma Samweli na aliita watu ku Kitubio.Na wakati walipata mambo ya hatari toka wa Filistei, namna gani Mungu aliwaokoa?Alisikia sala yao.Nikusema, namna gani walikimbia wa Filistei?Mungu alileta tetemeko ya inchi na kogolomo na umeme na wa adui wao walikimbia, bilakuuzi taifa ya Mungu.Mungu analindi watu wake.YA MADIKO TAKATIFU: « Basi, Bwana anajua namna gani kuokoa watawa katikamajaribu. . . « (Barua ya Mbili ya Mut. Petro 2, 9)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!