12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Na• Kweli,• E,• Moja• NAMNA• Inchi• HISTORIA.• Lakini• Tangazo• Hasikukuwe• Hii• Mtakatifu• Musikieni• Siku• MUTAKATIFU• FUNDISHO35hii ni ulizo yangu ya mbili: Nani anatupenda kupita Kristu ao dunia?anatupenda Kristu, kwa sababu Yeye alisulubiwa kwa wokovu wetu.basi, sisi kwa Kristu inapaswa kupendeza. Kristu anasema ninyi sisi kuangalia kuliko? Hiitutafanyia. Tutafunga ma macho yetu mbele ya kila sauti ya watu ya hii dunia, kabisa wakati walewatu weko wanaishi bila imani na boka ya Mungu.mwanafunji anamuogopa na anamusifu mwalimu yake kwa sababu yeye atamupatia cheo(note) ku masomo yake. Na sisi tutaangalia Kristu na mafundisho na mapenzi yake. Yeyeanatupatia note kila siku. Basi, nani anataka kutukumbuka hii fundisho tutabeba leo ku yote uzimayetu? (. . . )YA KUKARIBIA.YA TISASPIRIDONGrekia ikona ma kisanga wa mingi. Ku fasi ya mashariki, karibu ya bahari ya Palestina nimoja kisanga inayeitwa Kipros, pahali wanaikala wagreki. Hii kisanga ni takatifu, kwa sababuwaliishi katikati ya miaka tangu mwanzo ya uzima ya Kristu mpaka sasa yulu ya 500 Watakatifu.Katikati yao eko na Mutakatifu Spiridon.Mtakatifu Spiridon aliishi mu Kisanga Kipros karibu ku mwaka 350. Wazazi wakewalikuwa wachungaji ya ma kondoo. Na mtoto wao Spiridon alikomea katikati ya ma nyama na manyumba yao. Wakati alikuwa mtoto alienda na ma kondoo ma shamba na alicheza na baragumuyake. Alisikia furaha mingi kwa agili ya hii kazi yake. Watu wote walimupenda, kwa sababualiachana ya wachungaji weingine. Alikuwa mupole na munyenyekevu kwa roho yake. Ku uso yakeilijifatula heshima na boka yake mbele ya Mungu. Alikuwa nafsi mwema. Alikuwa picha ya kilafazila. Alikuwa mufano muzuri ya watu wote ya hii njimbo yake. Wakati alikomea, aliowa naalifanya moja jamaa muzuri na ma fazila ya Kristu.hasikuikale daima ku hii kazi kama muchungaji huyu kijana Spiridon. Siku moja aliachakundi ya ma nyama yake na sikitiko mingi. Aliacha hii kundi juu ya kwenda ku moja ingine kundi.Namna gani? Musikieni.ya uzima takatifu yake ilizambalisha fasi yote ya inchi yake.mutu ya akili, kwa sababu hasikuwende ku masomo ya kufunda fundisho yakuachana, lakini watu wote walimufamia sawa mutu mtakatifu na mufano ya utakaso. Wakatialifariki askofu ya Mitropolia Trimithunta ya Kipros, Waaminifu wote na wa padri wote waliombakufanyika askofu wao, huyu Spiridon. Tena alikuja ku ii fasi yeye alichunga ma kondoo yake nawalimwambia hii mupango ya Waaminifu wote.mupango ya watu ilikuwa ya ajaabu kwa Spiridon. Namna gani ilikuwa namna huyumuchungaji, kufanyika padri na askofu? Ya kwanza alibishana, lakini ku mwisho hasikuwezekukatala. Mungu mumoja alimuita kuchunga taifa Yake. Basi, Spiridon alimutii kwa Mungu naalipokelea kufanyika Baba mukubwa ya njimbo Trimithunta.Spiridon kama askofu alitumika na mapendo mingi juu ya Kundi ya Waaminifu wake.Kwa uso yake Wakristiani kila siku waliona Baba wao mupendwa, mwenye kila siku na busikualitumika kuwasaidia. Tena aliona moja mutakatifu muzima, moja mutakatifu mwenye muujiza. Mt.Spiridon na unyenyekevu na imani yake ukubwa na utakaso yake ukweli alistahiliwa toka Mungukufanya miujiza. Uzima yake ilijaza na miujiza ya kuachana.beingine miujiza yake:moja alifanyia Liturgia takatifu mu Kanisa ya muji yake. Waaminifu wa mingi walisikia hiiIbada. Ku saa moja ilikamata watu wote moja boka. Walipika magochi chini na waliria. Waliisha

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!