• Na• Kweli,• E,• Moja• NAMNA• Inchi• HISTORIA.• Lakini• Tangazo• Hasikukuwe• Hii• Mtakatifu• Musikieni• Siku• MUTAKATIFU• FUNDISHO35hii ni ulizo yangu ya mbili: Nani anatupenda kupita Kristu ao dunia?anatupenda Kristu, kwa sababu Yeye alisulubiwa kwa wokovu wetu.basi, sisi kwa Kristu inapaswa kupendeza. Kristu anasema ninyi sisi kuangalia kuliko? Hiitutafanyia. Tutafunga ma macho yetu mbele ya kila sauti ya watu ya hii dunia, kabisa wakati walewatu weko wanaishi bila imani na boka ya Mungu.mwanafunji anamuogopa na anamusifu mwalimu yake kwa sababu yeye atamupatia cheo(note) ku masomo yake. Na sisi tutaangalia Kristu na mafundisho na mapenzi yake. Yeyeanatupatia note kila siku. Basi, nani anataka kutukumbuka hii fundisho tutabeba leo ku yote uzimayetu? (. . . )YA KUKARIBIA.YA TISASPIRIDONGrekia ikona ma kisanga wa mingi. Ku fasi ya mashariki, karibu ya bahari ya Palestina nimoja kisanga inayeitwa Kipros, pahali wanaikala wagreki. Hii kisanga ni takatifu, kwa sababuwaliishi katikati ya miaka tangu mwanzo ya uzima ya Kristu mpaka sasa yulu ya 500 Watakatifu.Katikati yao eko na Mutakatifu Spiridon.Mtakatifu Spiridon aliishi mu Kisanga Kipros karibu ku mwaka 350. Wazazi wakewalikuwa wachungaji ya ma kondoo. Na mtoto wao Spiridon alikomea katikati ya ma nyama na manyumba yao. Wakati alikuwa mtoto alienda na ma kondoo ma shamba na alicheza na baragumuyake. Alisikia furaha mingi kwa agili ya hii kazi yake. Watu wote walimupenda, kwa sababualiachana ya wachungaji weingine. Alikuwa mupole na munyenyekevu kwa roho yake. Ku uso yakeilijifatula heshima na boka yake mbele ya Mungu. Alikuwa nafsi mwema. Alikuwa picha ya kilafazila. Alikuwa mufano muzuri ya watu wote ya hii njimbo yake. Wakati alikomea, aliowa naalifanya moja jamaa muzuri na ma fazila ya Kristu.hasikuikale daima ku hii kazi kama muchungaji huyu kijana Spiridon. Siku moja aliachakundi ya ma nyama yake na sikitiko mingi. Aliacha hii kundi juu ya kwenda ku moja ingine kundi.Namna gani? Musikieni.ya uzima takatifu yake ilizambalisha fasi yote ya inchi yake.mutu ya akili, kwa sababu hasikuwende ku masomo ya kufunda fundisho yakuachana, lakini watu wote walimufamia sawa mutu mtakatifu na mufano ya utakaso. Wakatialifariki askofu ya Mitropolia Trimithunta ya Kipros, Waaminifu wote na wa padri wote waliombakufanyika askofu wao, huyu Spiridon. Tena alikuja ku ii fasi yeye alichunga ma kondoo yake nawalimwambia hii mupango ya Waaminifu wote.mupango ya watu ilikuwa ya ajaabu kwa Spiridon. Namna gani ilikuwa namna huyumuchungaji, kufanyika padri na askofu? Ya kwanza alibishana, lakini ku mwisho hasikuwezekukatala. Mungu mumoja alimuita kuchunga taifa Yake. Basi, Spiridon alimutii kwa Mungu naalipokelea kufanyika Baba mukubwa ya njimbo Trimithunta.Spiridon kama askofu alitumika na mapendo mingi juu ya Kundi ya Waaminifu wake.Kwa uso yake Wakristiani kila siku waliona Baba wao mupendwa, mwenye kila siku na busikualitumika kuwasaidia. Tena aliona moja mutakatifu muzima, moja mutakatifu mwenye muujiza. Mt.Spiridon na unyenyekevu na imani yake ukubwa na utakaso yake ukweli alistahiliwa toka Mungukufanya miujiza. Uzima yake ilijaza na miujiza ya kuachana.beingine miujiza yake:moja alifanyia Liturgia takatifu mu Kanisa ya muji yake. Waaminifu wa mingi walisikia hiiIbada. Ku saa moja ilikamata watu wote moja boka. Walipika magochi chini na waliria. Waliisha
• Hii• Munataka• Mtoto• Na• Baba• Na• Musikieni• Lakini,• Spiridon.• Wa36kuona ninyi? Ndani ya Altari Takatifu, mbele ya Meza takatifu alikuwa Mt. Spiridon. Hii saaalikuja inje ya Mulangu Mukubwa na alisema: « Amani kwa wote», hii saa watu walisikia ma sautiya wa malaika, wenye waliimba na walisema: «Na kwa roho yako». Na mara moja waliona na mamacho yao moja jeshi muzima ya wa Malaika, wenye waliluka pembeni ya Meza Takatifu nawaliimba pamoja na Mt. Spiridon. Lakini ilikuwa paka hii mambo ya ajaabu? Tena waliona yakama Mt. Spiridon hasikutembee ku inchi. Aliisha kupanda yulu ya inchi, sawa aliluka. Alikuwakama ndeke.muujiza ya ajaabu inatukumbuka na wimbo- Apolikion. Tazama, inasema ninyi: « Na wakatiuliimba maombi yako, ulikuwa wa Malaika wasaidizi wako, ee Mtakatifu. . . «kusikia na ingine muujiza ya Mt. Spiridon? Wakati moja alilofa ya mujii yake. Ilewakati alifariki binti yake wa pekee. Alikuwa moja binti ubikira na mufazili. Wakati alirudiaMtakatifu na alisikia hii mambo alisikitika sana na aliomba juu ya wokovu ya nafsi yake. Mtotoyake Irini, aliyekufa aliisha kufuchika feza moja ya moja mwanamuke mwingine, mwenye aliishakumupatia juu ya kuichunga. Hasikujue hata mutu moja fasi gani aliiweka hii makuta mtoto yakeIrini. Yule mwanamuke aliria juu ya sikitiko yake. Alisikia hii mambo baba yake. Alienda mukaburi yake na sawa alisuburia na yeye mwenye muzima, alimuuliza:wangu Irini, fasi wapi ulifuchika hii makuta ya yule mwanamuke masikini?hii dakika alisikia toka kaburi sauti yake, aliyemujibu hivi:wangu, hii makuta yake nikona yo mu fasi fulani. . .kweli walienda pale, aliwaambia mtoto yake na walipata hii makuta ya yule mwanamuke.sasa na moja ingine jabo ya uzima ya Mt. Spiridon, inatuonyesha unyenyekevu yake.Wakati moja alipata malari mfalme ya Konstantinopoli Konstantios, mwana ya Mt. Konstantinos.Hata moja mungaga asikuweze lumutunza. Hii wakati alisikia mfalme hii miujiza alifanya mt.Spiridon, na alimuita kufika kwake. Mt. Spiridon alibeba pamoja na moja mwanaume kijana naalienda mu nyumba ya mfalme. Wakati mt. Spiridon alikarimbia mulango ya nyumba ya mfalme,mutumishi aliyechunga hii mulango, wakati alimuona, alizania ya kama huyu padri alikuwa mojamutawa ya bule na ya hii mambo alimupika na kofi moja ku uso yake. Mt. Spiridon asikushirike.Alifanya hii sauti Yesu Kristu anatuwaambia. Alipindula na ingine fasi ya uso yake juu yakumupika na ku hii fasi ingine. Unyenyekevu yake alimushangaa huyu mutumishi. Tena, wakatialisikia ya kama huyu mutu alikuwa Mt. Spiridon, alianguka chini ku mbele yake na alimuombahurumia.watoto wangu, bado kumiambia na moja mukubwa muujiza ya Mt.Mukujeni yote na pasopo yenu mingi juu ya kuisikia. Tuko ndani ya moja kanisaukubwa. Katikati ya hii kanisa anaikala mfalme Konstantinos Mukubwa na pembeni yake wa mingiwaaskofu na wapadri. Hii maonekano ilikuwa ya furaha mingi. Wa mingi ya wale wa askofuwaliishi hii wakati ya ufukuzo ya mwisho na waliisha kuteswa na namna ya mingi. Kwa askofumoja kwa mufano waliisha kumukata pua, kwa mwingine waliisha kumutosha ma macho yake, kwamwingine mwili yake ilikuwa na ma bilonda ya mingi. Wa nani walikuwa hawa wote? Walikuwawa Padri wakubwa 318 ya Makutano Ikumenike ya Kwanza ku mwaka 325, kisha ya kuzaliwaBwana Yesu. Ku saa moja ilianza mazungumuzo nguvu. Ndani ya hii Makutano walikuwa makundi wa mbili. Kundi munene kupita ilikuwa ile ya wa Padri wakubwa Watakatifu wetu, na inginekundi ilikuwa ya moja mukubwa mupadri ya fundisho ya wongo, aliyeitwa Arios. Yeye alionekanainje moja mutu wa akili mingi na muhubiri mukubwa, lakini alikuwa na mafundisho ya shetani.Yeye alihubiri na alisandiki ya kama Kristu ni kiumbe ya Mungu na hana Mungu. Nikusema yeyehasikusandiki kwa Utatu Mutakatifu.Padri Watakatifu walishangaa, wakati walisikia hii sauti ya mupadri moja. Walifungamasikio yao. Wale walikuwa na akili na fundisho kuliko mingi walianza kukombana kontre yake.Mukubwa mutheologo alionekana Mt. Athanasios, shemasi ile wakati ya Kanisa ya Aleksandria.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84: • Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86: • Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na