12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Ndivyo• Yeye,• Kisha• Wakati• Siku• Tazama,• Tazama!• Ni• Huyu• Yoane• Siku• Ee• Lakini• Ee• Mfalme• Unataka• Utanipatia• Mfalme• Ndivyo.• Unatusikia?• Na47na kuliko mukubwa. Mimi sasa minamibatiza kwa maji. Anakujamwenye atamibatiza kwa Roho Mutakatifu, kwa moto ya Roho Mtakatifu.hii ma sauti ya Yoane, watu waliishi na maongoleo na ulizo:gani atakuja?ingine ya kesho kisha hii zungumuzo Yoane alipokelea watu katika zwezo yake. Alisikiamaungamo wao, aliwabatia na aliwasauria. Kisha alisimama kazi yake mara moja. Aliangalia mbali.Alisimama bila kusema hata. Watu wanamuangalia na ajaabu. Yeye alifungula mkono yake nakilole yake alionyesha mutu moja, mwenye alikuja ya mbali. Alipaza sauti kusema:mwana-kondoo ya Mungu, mwenye anasamehe ma zambi ya dunia.tazama! Anakuja. Ni Mwana-kondoo wa Mungu, ni huyu Kondoo, mwenye atatoasandaka maugu yake juu ya wokovu ya watu ya dunia muzima.kweli, ya kama alikujaka Bwana Yesu. Uso yake iliangaza. Watu walishangaa. Beinginewalitoka ya Yoane, juu ya kufata Yesu. Na Yoane aliendelea kusema hivi:ni Yule mimi milimiambia. Miliona Roho Mutakatifu kukuja na kusimama yulu ya kichwayake. Yeye ni Mwana wa Mungu. . .alisema kweli kwa watu wote: Kwa wafarisayo, kwa watu zakondi ya kama anakujaMwokozi ya dunia. Ilikuja saa kusema kweli na kwa mfalme Herode, mwenye alikuwa mwingine yayule aliyewua watoto ya Betelehemu. Na yeye alikuwa mutu mubaya kabisa.moja alikuja mutu moja na alimwambia kwa Yoane ya kama Herode aliishi mubaya.Nikusema aliisha kubeba kama bibi yake, bibi ya nduku yake Filipo. Huyu mwanamuke aliyeitwaHerodiada alifanya ma kazi mabaya kabisa. Yoane alikuwa muhubiri na nguvu sana na bilakuogopa. Hasikuweze kunyamaza. Alipaza sauti yake na alisema ndani ya nyumba yao ya kama hiimatendo ya mfalme na huyu mwanamuke ni mabaya matendo na kontre ya Sheria ya Mungu. Vilealimwambia kwa mfalme:Mfalme, aipaswe kuishi pamoja na bibi ya nduku yako. Ee Mfalme uko mutu musiyesifa namwenye zambi kabisa. Inapaswa kutubu! . . .mfalme hasikutake kusikia juu ya kutubu. Tena alituma wa askari yake na walimukamataYoane na walimuweka ndani ya buloko. Lakini Yoane hasikufunge kinywa yake:Mfalme, hii tendo unaifanya ni mubaya, ni uzulumu na zambi ya busharati. . .alitetemeka. Moyo yake alitaka kumuonyesha ma kosa yake, lakini Herodiadahasikumuache na alipata namna juu ya kulipiza Nabi Yoane. Mfalme Herode aliisha kumupatia kwaHerodiada na kwa mtoto mwanamuke yake, aliyeitwa Salomi, yote bintu na nguvu kwa ufalmewake. Ku mwisho mama na binti yake waliomba kichwa ya Nabi Yoane!ninyi? Kila kintu utaniomba, mitakupatia! Alimujibu Herode kwa binti Salomi.kweli? Muzuri, Mbio minataka sasa kunipatia kichwa ya Yoane.alisikitika. Kichwa ya Yoane! . . . Minasikia muzuri? Alimuuliza mara ingine.Walimwambia mama na binti yake. Tunataka kichwa yake.Ulitulaka kutupatia kila kintu tutakuomba.Herodi aliwapatia. Alituma moja askari yake mu buloko, mwenye alikata kichwa ya Yoane.Vile walizania mama na binti yake ya kama waliisha kuzimisha sauti ya Nabi Yoane. Lakini ku yoteuzima yake Herode alisikia ndani ya moyo yake sauti ya Mt. Yoane: Aipaaswe kuishi na bibi yanduku yako! . . . Aipaswe kuishi. . .

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!