• Ndivyo• Yeye,• Kisha• Wakati• Siku• Tazama,• Tazama!• Ni• Huyu• Yoane• Siku• Ee• Lakini• Ee• Mfalme• Unataka• Utanipatia• Mfalme• Ndivyo.• Unatusikia?• Na47na kuliko mukubwa. Mimi sasa minamibatiza kwa maji. Anakujamwenye atamibatiza kwa Roho Mutakatifu, kwa moto ya Roho Mtakatifu.hii ma sauti ya Yoane, watu waliishi na maongoleo na ulizo:gani atakuja?ingine ya kesho kisha hii zungumuzo Yoane alipokelea watu katika zwezo yake. Alisikiamaungamo wao, aliwabatia na aliwasauria. Kisha alisimama kazi yake mara moja. Aliangalia mbali.Alisimama bila kusema hata. Watu wanamuangalia na ajaabu. Yeye alifungula mkono yake nakilole yake alionyesha mutu moja, mwenye alikuja ya mbali. Alipaza sauti kusema:mwana-kondoo ya Mungu, mwenye anasamehe ma zambi ya dunia.tazama! Anakuja. Ni Mwana-kondoo wa Mungu, ni huyu Kondoo, mwenye atatoasandaka maugu yake juu ya wokovu ya watu ya dunia muzima.kweli, ya kama alikujaka Bwana Yesu. Uso yake iliangaza. Watu walishangaa. Beinginewalitoka ya Yoane, juu ya kufata Yesu. Na Yoane aliendelea kusema hivi:ni Yule mimi milimiambia. Miliona Roho Mutakatifu kukuja na kusimama yulu ya kichwayake. Yeye ni Mwana wa Mungu. . .alisema kweli kwa watu wote: Kwa wafarisayo, kwa watu zakondi ya kama anakujaMwokozi ya dunia. Ilikuja saa kusema kweli na kwa mfalme Herode, mwenye alikuwa mwingine yayule aliyewua watoto ya Betelehemu. Na yeye alikuwa mutu mubaya kabisa.moja alikuja mutu moja na alimwambia kwa Yoane ya kama Herode aliishi mubaya.Nikusema aliisha kubeba kama bibi yake, bibi ya nduku yake Filipo. Huyu mwanamuke aliyeitwaHerodiada alifanya ma kazi mabaya kabisa. Yoane alikuwa muhubiri na nguvu sana na bilakuogopa. Hasikuweze kunyamaza. Alipaza sauti yake na alisema ndani ya nyumba yao ya kama hiimatendo ya mfalme na huyu mwanamuke ni mabaya matendo na kontre ya Sheria ya Mungu. Vilealimwambia kwa mfalme:Mfalme, aipaswe kuishi pamoja na bibi ya nduku yako. Ee Mfalme uko mutu musiyesifa namwenye zambi kabisa. Inapaswa kutubu! . . .mfalme hasikutake kusikia juu ya kutubu. Tena alituma wa askari yake na walimukamataYoane na walimuweka ndani ya buloko. Lakini Yoane hasikufunge kinywa yake:Mfalme, hii tendo unaifanya ni mubaya, ni uzulumu na zambi ya busharati. . .alitetemeka. Moyo yake alitaka kumuonyesha ma kosa yake, lakini Herodiadahasikumuache na alipata namna juu ya kulipiza Nabi Yoane. Mfalme Herode aliisha kumupatia kwaHerodiada na kwa mtoto mwanamuke yake, aliyeitwa Salomi, yote bintu na nguvu kwa ufalmewake. Ku mwisho mama na binti yake waliomba kichwa ya Nabi Yoane!ninyi? Kila kintu utaniomba, mitakupatia! Alimujibu Herode kwa binti Salomi.kweli? Muzuri, Mbio minataka sasa kunipatia kichwa ya Yoane.alisikitika. Kichwa ya Yoane! . . . Minasikia muzuri? Alimuuliza mara ingine.Walimwambia mama na binti yake. Tunataka kichwa yake.Ulitulaka kutupatia kila kintu tutakuomba.Herodi aliwapatia. Alituma moja askari yake mu buloko, mwenye alikata kichwa ya Yoane.Vile walizania mama na binti yake ya kama waliisha kuzimisha sauti ya Nabi Yoane. Lakini ku yoteuzima yake Herode alisikia ndani ya moyo yake sauti ya Mt. Yoane: Aipaaswe kuishi na bibi yanduku yako! . . . Aipaswe kuishi. . .
• MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• FUNDISHO:• SAUTI• MATENDO• Vile• Na• Tena• Na• Aliishi• wadogo• Ee••••48namna, watoto wangu, kuweza mimi kumifundisha ndani ya moja fundisho uzima namatendo ya Mutakatifu Mutangulizi Yoane. Lakini mutaweza kuniambia: Namna gani ilianzahistoria ya uzima ya Mt. Yoane? Jibu: Ilianza, wakati baba yake Zakaria alibakia bubu ya mamwezi ya tisa. Ulizo: Sauti ya zakaria ilifungula. Lakini kuliko nguvu ilisikiwa sauti ya Yoane,sauti ya Neno ya Mungu. Muniambie alisema ninyi ku mutoni Yorodani? Jibu: Alisema kwa watuwote: « Tubuni. Ilifika ufalme ya mbinguni. Na kwa kila kundi ya watu alihubiri na namna ingine.Mukumbukeni alisema ninyi juu ya Bwana Yesu Kristu?Tazama, Mwana wa Mungu, aliyetosha ma zambi ya watu wote ya dunia.Na alisema ninyi kwa Herode?Alimufokea kwa ajili ya ma zambi yake pamoja na bibi ya nduku yake. Nikusema, watotowangu, Yoane alikuja juu ya kusema fundisho ukweli. Yeye alileta ushuhuda ya kweli, mbele yawatu wote na ya kila kazi yao. Namna gani, basi, tunaweza kumuita Yoane?Mutangulizi Mt. Yoane alikuwa Mushuhuda ya ukweli. Kama sauti ya Bibliatutaandika hii sauti Yesu Kristu alisema juu ya Yoane. Yesu Kristu na kinywa yake alimutukuzaYoane na alisema hivi:YA MADIKO TAKATIFU: « Katikati yao wanaozaliwa na wanawake hakuna mukubwakupita Yoane Mubatizaji» (Matayo 11, 11)KU UZIMA YETU: Munajua, watoto wangu, namna gani anafanana Yoane?Tazama, wanatuwambia ninyi beingine wimbo ya Kanisa yetu. Mbele ya kutoka Jua kila asubui,inaonekana kwa mbingu moja ingine nyota, inayeitwa Avgerinos (etoile du matin (Venus). Wakatiataonekana Venus, inatuonyesha ya kama kisha saa kiloko itakuja na Jua. Na ni kweli, ya kama,wakati inaonekana Jua, Venus hasionekane tena.ilifanyikwa na kwa Yoane. Ndani ya giza ya dunia ya upagano ile wakati alikuja kamaVenus Yoane Mutangulizi na alituhubiri ya kama anakuja kupita mukubwa yangu Yesu Kristu,kama Jua ya dunia muzima. Kwa hii mambo Yoane anaitwa Mutangulizi ao Prodromo mu lughakigreki, kwa sababu alitayarisha njia juu ya kutembea Kristu na yeye alitoka ya hii uzima. Kazi yakeilikuwa paka moja: Kuonyesha kwa watu mafikisho ya Yesu Kristu. Sasa munaweza kusikiaunyenyekevu yake, watoto wangu.sisi paka moja kazi tukona yo: Kuonyesha mbele ya watu wote ya dunia na namna ya uzimana masauti yetu nani eko Yesu Kristu. Lakini hapana juu ya kutukuza sisi, paka juu ya kusandiki nakufata uzima na fundisho ya Kristu.inapaswa, watoto wangu, kusifu na sisi Makumbusho ya Mut. Yoane.Kanisa yetu inamusifu sana. Munaona ku Ikonostasi ya Kanisa. Pembeni ya Ikona ya Kristuni Ikona ya Mt. Yoane. Na yeye ni wa pekee Mutakatifu, kisha Mzazi-Mungu Maria, mwenye ekonamama shangilio ya mingi kwa makumbusho yake mu Kanisa yetu.kama malaika ndani ya hii dunia. Na mweye mukombane kuishi kamawa malaika ya Kristu. Tena na kwa maombi yenu muzombelee kusemaMubatizaji ya Kristu, utuombe juu ya wokovu wetu.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84: • Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86: • Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88: • Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90: • Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92: • MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94: • NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96: • Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98: • Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na