• Hasikukuwe• Mutawa• Sikia• Kweli,• Kweli,• Eko• Ongolea• Alichofa• Tazama!• Uniseme,• Mutawa• Alimufundisha• Ekaterini• Sikia,• Bibi-arusi• Hii• Hii• Mwana• Kisha• Ya• Alisikitika• mali,• Hii• Alitaambu31tena mukristu, alikuwa mupagano, lakini aliisha kusikia juu ya huyu mutawa yajangwa. Ku mwanzo alienda kumuona na kumufamia, juu ya kusikia ma sauti yake.ya jangwa, wakati alimuona, alisikia hii zawandi alikuwa na ya Mungu na ya kama huyubinti atafanyikwa mukristu. Kwa hivi alimwambia:mtoto wangu. Mimi mitakuambia moja Bwana-Arusi, mwenye ni kupita muzuri ya weye,kupita mwenye akili, kupita mutukufu ya weye na kupita mutagiri ya weye. . .eko moja Bwana-Arusi hivi? Alimuuliza Ekaterini. Basi, nani eko huyu? Ni nani ikojina yake? Namna gani miye mitaweza kumufamia?unaweza kumuona. Miye mitakumuonyesha. . .hapa karibu? Minataka sana kumuona!kiloko. . .kiloko huyu mutawa. Aliingia mu nyumba yake. Kisha alikuja mara ingine inje naalikamata na moja picha (Ikona) kwa mikono yake.Huyu ni Bwana-Arusi, Mwenye mimi milikuambia. Kama utasandiki Kwake nautamupenda sana, Yeye atafanyika Bwana-Arusi yako.juu ya huyu Mwanaume! Alimwambia Ekaterini na mafa mingi.ya Kristu alianza kumufundisha juu ya Bwana Yesu Kristu.mafundisho yake, alimufundisha juu ya miujiza Yake na sandaka yake pamusalaba kwa wokovu ya watu wote ya dunia.alisikia hii sauti yake yote na pasopo mingi. Ndani yake iliwaakisha nuru moja nailimwangaza. Alisikia juu ya Huyu Bwana-Arusi na roho yake ilifurahi sana. Iliwaakisha ndani yamatakio juu ya kufanyika yeye Bibi-arusi yake.mtoto wangu, alimwambia huyu mutawa. Kama unataka kufanyikaya Kristu, utakangamana kupendeza paka kwa huyu Bwana-Arusi yako. Utafanya kilamapenzi Yeye anapenda, kwani Yeye ni kuliko muzuri kabisa Bwana-Arusi ya dunia muzima.mapatano ya Ekaterini pamoja na huyu Mutawa ilikuwa ubarikiwa. Tangu hii siku ilizaliwana ilikomea ndani yake matakio na mapendo mingi juu ya Huyu Bwana-Arusi. Alisikia ya kamaimani ya wa sanamu ilikuwa ya wongo na ya kama Yesu Kristu alikuwa kuliko yulu ya kila kintu yahii dunia. Alisandiki, basi na yote roho yake.busiku ya kwanza alisandiki na alikamata mupango kuishi sawa vile anataka Yesu Kristu naaliona ndoto moja. Aliona Mzazi-Mungu Maria, mwenye alionyesha na kilole yake Mwana wakeYesu Kristu kwa Ekaterini na alimwambia:wangu, pokea huyu binti.ilionekana ya kama Yesu Kristu alimubariki Ekaterini. Hii tangazo ya kama Ekaterinialifanyikwa mukristu ilizambalishwa kama kogoloma ndani ya muji Aleksandria.kwanza alisikia hii tangazo baba yake, aliyekuwa mupagano.sana. Aliongolea kutegeneza mambo ya uzima ya mtoto yake na namna ingine nakumupatia moja mwanaume, mtoto ya mfalme ya Roma. Lakini Ekaterini hasikupende kusikia hatakiloko juu ya bile bintu ya hii dunia:utukufu na ingine. Ndani yake sasa paka moja ilikuwa utukufu: Kuishi pamoja na BwanaYesu Kristu. Anataka kumupatia kwa mikono yake uzima yote yake.tangazo yakama alifanyikwa mukristu alisikia na mfalme Maksentios.sana. Alikuwa na majivuno, kama mfalme, ya kama ataweza kugeuza mufano yaEkaterini na kurudisha akili yake kwa imani ya sanamu.
• Ile• Juu• Hii• Munaweza• Ya• Nvita• Mfalme• Wakati• Kisha• Mtoto• Hapana,32wakati mfalme alienda ku muji Aleksandria pamoja na bibi yake Fafsta. Kazi yake ya kwanzailikuwa kufukuza wa Kristiani na moja ufukuzo makari.ya kupima mufano ya Ekaterini alitegeneza shangilio mbele ya wa sanamu ya mujiAleksandria. Inje ya kanisa ya pagano walisanyikwa wapagano wote wapadri na waaminifu wao.Walitoa ma sandaka mbele ya ma sanamu wamungu wao ya wongo. Wakati wapadri wa maganowalikuwa tayari kutoa sandaka mbele ya ma sanamu wao, aliingia Ekaterini ndani ya kanisa yao.Wakati walimuona, walizania ya kama alikuwa kama mtoto ya mukubwa ya hii muji juu ya kuombambele ya wamungu wao. Lakini yeye, wakati aliingia, alinioloka kwa askofu pagano yao. Alianza nanguvu mingi kumuhukumu na alimufundisha ya kama Mungu ukweli ni moja, Bwana Yesu Kristu.mafundisho yenu juu ya wa mungu wa mingi, ni ma sanamu. Wamungu wenu weko yawongo! , Alimwambia na sauti nguvu Ekaterini.kusikia, watoto wangu, haya ngapi walisikia hii saa wale wapadri na askofu wao,wakati moja binti na miaka 17 aliwaambia hii ma sauti yake. Katikati yao alikuwa na mfalmeMaksentios, mwenye alisikitika na alishirika sana. Aliwaza mingi juu ya kupata namna mojakugeuza Ekaterini ku imani yake ya zamani.kwanza alituma wa askari yake na walileta mbele yake watu ya akili na wa filosofe toka mujiAleksandria. Walifika 150 wanaume watu wa akili. Aliwaambia kusuburia na mtoto Ekaterini juuya kugeuza mufano na imani yake.ilianza. Iko hii nvita milimiambia ku mwanzo ya fundisho yetu.alisikia hii mazungumuzo yao. Alianza kusuburia naye moja filosofe, aliyekuwa kulikomukubwa ya weingine. Alisema ma sauti wa mingi. Wakati aliisha, alianza kusema sasa Ekaterini.Na mafundisho muzuri aliwaambia ya kama ndini yao ni ya wongo na ya kama Mungu na Mwokoziya dunia muzima na Bwana Yesu Kristu. Lunrimi yake ilikuwa sawa kisu, kwa sababu alimwangazaRoho Mutakatifu. Watu wa akili habakuweze kupata hata moja kosa kwa mafundisho na ma sautiyake.alipotesha hii nvita yule mufilosofe ya kwanza, nani sasa atapata nguvu kusuburia nahuyu mtoto Ekaterini? Kama yule ya kwanza alishindwa, watafanya ninyi weingine wanafunjiwake? Waliikala na kinywa yao wazi na walisikia mafundisho ya Ekaterini. Ku mwisho wotewaliichika kosa yao kwa imani yao na walimuamini ku imani ya Yesu Kristu. Hii ilikuwa mojaukubwa ushindi ya Ekaterini, ao kuliko kusema ilikuwa moja ushindi ya Bwana Yesu Kristu.Walisandiki kwa Kristu 150 watu wa akili. Mfalme alishirika sana na kama nyama ya pori alifanya.Alikamata mupango kuwaakisha moto munene na ndani yake watatupa wale wafilosofe, wenyewalimuamini Kristu. Kisha saa kiloko wote wakubwa watu ya akili ya hii muji walikuwaWashahindi ya Kristu. Vile wale walienda kuliko mbio ya Ekaterini mu Paradizo, karibu ya Kristu,mwenye walimukikisha mbele ya watu wa mingi.hii sikitiko alibeba mfalme Maksentios, aliwaza kukokota na namna ingine Ekaterini.Alianza na ma sauti yake ya butamu.wangu, Ekaterini, hauone ngapi uko mwenye akili na muzuri! Minataambu uso yakomuzuri, ma zawandi yako, ma miaka ya kijana yako. Kuja! Toa sandaka kwa wa mungu wetu namimi mitakusifu na masifu wanene.ee mfalme, alimujibu Ekaterini. Mabintu na malako yako yote misiipende. Kamaunaniambia juu ya mwili na uso yangu muzuri, minajua ya kama siku moja itafumbala naitaharabika. Mimi ni mukristu. Bwana-Arusi wangu ni Yesu Kristu. Minataka kupendeza kwaKristu. Kwa Kristu minataka kutoa yote bintu na zawandi na uzima yangu. Fanya basi, weye, kilakazi unawaza.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na