12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Hasikukuwe• Mutawa• Sikia• Kweli,• Kweli,• Eko• Ongolea• Alichofa• Tazama!• Uniseme,• Mutawa• Alimufundisha• Ekaterini• Sikia,• Bibi-arusi• Hii• Hii• Mwana• Kisha• Ya• Alisikitika• mali,• Hii• Alitaambu31tena mukristu, alikuwa mupagano, lakini aliisha kusikia juu ya huyu mutawa yajangwa. Ku mwanzo alienda kumuona na kumufamia, juu ya kusikia ma sauti yake.ya jangwa, wakati alimuona, alisikia hii zawandi alikuwa na ya Mungu na ya kama huyubinti atafanyikwa mukristu. Kwa hivi alimwambia:mtoto wangu. Mimi mitakuambia moja Bwana-Arusi, mwenye ni kupita muzuri ya weye,kupita mwenye akili, kupita mutukufu ya weye na kupita mutagiri ya weye. . .eko moja Bwana-Arusi hivi? Alimuuliza Ekaterini. Basi, nani eko huyu? Ni nani ikojina yake? Namna gani miye mitaweza kumufamia?unaweza kumuona. Miye mitakumuonyesha. . .hapa karibu? Minataka sana kumuona!kiloko. . .kiloko huyu mutawa. Aliingia mu nyumba yake. Kisha alikuja mara ingine inje naalikamata na moja picha (Ikona) kwa mikono yake.Huyu ni Bwana-Arusi, Mwenye mimi milikuambia. Kama utasandiki Kwake nautamupenda sana, Yeye atafanyika Bwana-Arusi yako.juu ya huyu Mwanaume! Alimwambia Ekaterini na mafa mingi.ya Kristu alianza kumufundisha juu ya Bwana Yesu Kristu.mafundisho yake, alimufundisha juu ya miujiza Yake na sandaka yake pamusalaba kwa wokovu ya watu wote ya dunia.alisikia hii sauti yake yote na pasopo mingi. Ndani yake iliwaakisha nuru moja nailimwangaza. Alisikia juu ya Huyu Bwana-Arusi na roho yake ilifurahi sana. Iliwaakisha ndani yamatakio juu ya kufanyika yeye Bibi-arusi yake.mtoto wangu, alimwambia huyu mutawa. Kama unataka kufanyikaya Kristu, utakangamana kupendeza paka kwa huyu Bwana-Arusi yako. Utafanya kilamapenzi Yeye anapenda, kwani Yeye ni kuliko muzuri kabisa Bwana-Arusi ya dunia muzima.mapatano ya Ekaterini pamoja na huyu Mutawa ilikuwa ubarikiwa. Tangu hii siku ilizaliwana ilikomea ndani yake matakio na mapendo mingi juu ya Huyu Bwana-Arusi. Alisikia ya kamaimani ya wa sanamu ilikuwa ya wongo na ya kama Yesu Kristu alikuwa kuliko yulu ya kila kintu yahii dunia. Alisandiki, basi na yote roho yake.busiku ya kwanza alisandiki na alikamata mupango kuishi sawa vile anataka Yesu Kristu naaliona ndoto moja. Aliona Mzazi-Mungu Maria, mwenye alionyesha na kilole yake Mwana wakeYesu Kristu kwa Ekaterini na alimwambia:wangu, pokea huyu binti.ilionekana ya kama Yesu Kristu alimubariki Ekaterini. Hii tangazo ya kama Ekaterinialifanyikwa mukristu ilizambalishwa kama kogoloma ndani ya muji Aleksandria.kwanza alisikia hii tangazo baba yake, aliyekuwa mupagano.sana. Aliongolea kutegeneza mambo ya uzima ya mtoto yake na namna ingine nakumupatia moja mwanaume, mtoto ya mfalme ya Roma. Lakini Ekaterini hasikupende kusikia hatakiloko juu ya bile bintu ya hii dunia:utukufu na ingine. Ndani yake sasa paka moja ilikuwa utukufu: Kuishi pamoja na BwanaYesu Kristu. Anataka kumupatia kwa mikono yake uzima yote yake.tangazo yakama alifanyikwa mukristu alisikia na mfalme Maksentios.sana. Alikuwa na majivuno, kama mfalme, ya kama ataweza kugeuza mufano yaEkaterini na kurudisha akili yake kwa imani ya sanamu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!