• Hii• Ekaterini• Siku• Wakati• Basi,• Ku• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• FUNDISHO:• MATENDO• Mitafanya• Jibu• Yeye• Kama33saa mfalme alikamata hamuri ingine. Walimupika na kisha walimutupa ndani ya buloko.Walipasuka mwili yake na damu ilitoshwa mingi ya ma bilonda yake. Vile na ma bilonda mingiwalimutupa mara ingine ndani ya buloko.ndani ya buloko alimutukuza Mungu, kwa sababu alimustahili kuteswa kwa Jina yake.Lakini na ndani ya hii buloko hasisimame kufundisha mafundisho ya Kristu kwa wale walikuwa mubuloko.moja walifungula mulango ya buloko. Aliona ninyi! Mbele yake alikuja bibi ya mfalme.Alistaajabu Ekaterini. Anataka ninyi hapa ndani bibi ya mfalme? Lakini, mbele ya kumuuliza,aliona huyu mwanamuke na machozi ku macho yake kuomba baraka ya Mtakatifu Ekaterini. Bibiya mfalme Fafsta aliisha kusandiki kwa Kristu. Iliisha kumufundisha mufano ya Mt. Ekaterini. Nasasa alikuja kubeba baraka yake, kwa sababu aliisha kukamata mupango kuishi ao kukufa, sawa vileanapenda Mungu.alisikia bwana yake, mfalme, hasikuwaze ya kama alikuwa bibi yake, alihamuru maramoja kukata kichwa yake.kisha lufu ya wale 150 watu wa akili alitoa uzima yake kwa Kristu na bibi ya mfalme,Fafsta. Kisha Fafsta alikufa na mateso ya kuachana na mukubwa ya wa askari Porfirios pamoja nawa askari wake 200. Hawa wote walisandiki kwa kuhubiri ya Ekaterini na walitukuzwa kwa milele.Kanisa yetu inashangilia makumbusho wao hii siku pamoja na Mt. Ekaterini, mu tarehe 25 Mweziya kumi na moja.mwisho ya wote washahindi alikufa na mateso mingi Ekaterini. Na hamuri ya mfalmewalikuja wa askari wake na walikata kichwa yake. MAELEZEO:Juu ya mwanamuke nani tulifundisha leo, watoto wangu?Juu ya Mt. Ekaterini. Ulizo: Mukumbukeni ma zawandi wa ngapi alikuwa huyu binti?Alikuwa mwenye muzuri sana, mutajiri kabisa, mwenye akili na mutukufu kabisa.Nikusema alikuwa na ma zawandi wakubwa ya hii dunia. Lakini alimuchakula nani kamaBwana-Arusi yake?Bwana Yesu Kristu.Tangu hii siku alimufamia, alikamata mupango kufanya ninyi ku uzima yake mbele yaKristu?Kukangamana kupendezwa kwa Kristu. Alimupenda hata mingi, na hasikufanye hata kazimoja, iliyehasikupende Kristu. Ulizo: Na hii mapendo yake alimuongoza wapi?Ku mateso na lufu. Alikufa na yeye na pamoja na yeye na weingine walikufa.Kanisa yetu inamuita Mushahindi mukubwa. Tena inapaswa kujua ya kama Mwili yakeiko yulu ya mulima Sinaya, pahali ni Monasteri yake. Muweze kuniambia fundisho gani tutabebaleo?Hii kazi inapendeza kwa Kristu, hii mitafanya na mimi. SAUTI YA MADIKOTAKATIFU: « Kama ningependeza watu, singekuwa mutumwa wa Kristo» (WaGalatia 1, 10).KU UZIMA YETU. Beingine watoto wanauliza:ninyi juu ya kuwa mukristiani muzuri?ni hii: Utafanya hii kintu anapenda Kristu, hii kintu inapendeza kwa Kristu.mumoja alisema: Kama munipende, mutatimiza mahamuri yangu.unapanda mutu moja, haupende hata mara moja kumusikitika. Na sisi,
• kama• Ekaterini• Hii• Lakini,• Wanapendeza• Watu• Inawapendeza• Hii• Ndivyo,• Lakini,• Hapana,• Munaweza• Kwa• Tunavala• Ndivyo,• Lakini• Nafsi• Basi,34tunapenda Kristu, hatupende hata siku moja kukanyanga mafundisho na hamuri yake, kwasababu Yeye atatuzarau. Vile alifanya na Bwana Yesu. Alikuja katikati yetu hapana kupendeza kumaugu yake (WaRoma 15, 3), lakini kupendeza mbele ya Baba Mungu wake. Na hasikufanye kintumoja juu ya maugu yake, lakini alifanya yoyote paka kwa sisi. Alisulubiwa kwa sisi. Alifufuka kwasisi, juu ya kututukuza. Namna gani sasa sisi tutaweza hii Uso Takatifu ya Kristu tutaisikitika?ku wimbo-Apolitikion yake anaitwa: « Bibi-Arusi ya Kristu».inatuwambia ya kama aliisha kupenda mingi Yesu Kristu. Na nafsi yetu ni bibi-arusi yaKristu. Iko kwake. Yeye aliiuza na damu yake. Sasa nafsi yetu hasiweze kufanya kila kintu namapenzi yake na kukatala mapenzi ya Kristu, mukubwa na Muumba na Mwokozi yake.munaweza, kunisema, watu wa mingi wanafanya ninyi leo?kwa Kristu ao ku moja fasi na uso ingine? Wanafata mahamuri ya Kristu aowanafata mapenzi ya watu weingine?weingine wanategeneza mwili na uso yao na namna kizuri.kuvaa na kutembea muzuri.zwezo tunaiona kuliko kwa watoto wanawake. Wekona mapendo ya maugu na mwili yao.wanasimama mbele ya rikalasi na wanaona ma uso na ma nywele na mwili yao. Ni kwelina lazima ya kama haipaswe sisi kuacha mwili yetu na buchafu. Hapana. Lakini haina muzurikuishi paka ya kutegeneza ma nywele na mwili yetu kila siku. Hii mapendo ya mwili yetu ni kintumoja umbafu, kwa sababu hii vema ya mwili na uso yetu inafubala na inaharabika. Kama hakunavema kwa nafsi na roho yetu, utaifanya ninyi hii vema ya mwili na uso yako? Agano la Kaleanatuwambia ya kama, kama mutu moja, mwenye nikona buchafu mu nafsi yake na inje ku mwiliyake anapambwa na bintu ya mingi, yeye anafanana kama moja ngurumbe pahali pa pua yakewaliweka moja kintu ya risikio (boucle d oreilles).ni paka mapendo ya mwili yetu?ni na mapendo ya watu. Nikusema watu wa mingi wanakombana kutegeneza maugu yaojuu ya kupendezwa kwa watu weingine. Wanawaza, watasema ninyi watu weingine. Atasema ninyidunia.kuniambia matendo filani sisi tunafanya juu ya kupendezwa hapana kwa Kristu,lakini kwa watu ya hii dunia?mufano, mara ingine tunasikia haya kufanya alama ya musalaba, kama tunapita inje yaKanisa moja, kwa sababu tunawaza ya kama watacheka watu weingine ao watatuchokoza.manguo ao tunaimba wimbo hapana hii mavazi na wimbo Mungu anapenda.inafanyikwa na hii mambo. Watoto wa mingi wanakatala kufata ma zwezo ya Mungu nawanakombana kufata ma zwezo ya warafiki wao.inapaswa kusopoka sasa mingi. Ya kwanza tutaangalia bintu wa mbili: Ya kwanza ni hii:Ni ninyi ikona kadiri kuliko mingi: Mwili ao nafsi yetu?yetu.inapaswa kupamba nafsi yetu na mawa ya kila fazila, kwa sababu hii mawa habafumbale.Na haipaswe kuwaza juu ya mapambo ya mwili yetu, kwani hakuna kadiri kwa ile. Uwa nani ikonakadiri ukubwa hii iko ya inchi yetu ao hii inafanyikwa ku moja fabrica? Ni kweli, ya kama hiiinaota toka inchi. Basi, wakati mtoto moja ni mupole na mubikira, ni moja uwa nature na inatoshaharufu ya fazila yake. Lakini, wakati weingine watoto wanakomea na wanaangalia namna ganiwatapambwa na bintu ya bule, hii zwezo yao inatuonyesha ya kama wale watoto walipotesha vemanature ya mwili na uso yao na walifanyikwa mawa artificiel.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82: ••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84: • Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na