12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Hii• Ekaterini• Siku• Wakati• Basi,• Ku• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Jibu:• Ulizo:• FUNDISHO:• MATENDO• Mitafanya• Jibu• Yeye• Kama33saa mfalme alikamata hamuri ingine. Walimupika na kisha walimutupa ndani ya buloko.Walipasuka mwili yake na damu ilitoshwa mingi ya ma bilonda yake. Vile na ma bilonda mingiwalimutupa mara ingine ndani ya buloko.ndani ya buloko alimutukuza Mungu, kwa sababu alimustahili kuteswa kwa Jina yake.Lakini na ndani ya hii buloko hasisimame kufundisha mafundisho ya Kristu kwa wale walikuwa mubuloko.moja walifungula mulango ya buloko. Aliona ninyi! Mbele yake alikuja bibi ya mfalme.Alistaajabu Ekaterini. Anataka ninyi hapa ndani bibi ya mfalme? Lakini, mbele ya kumuuliza,aliona huyu mwanamuke na machozi ku macho yake kuomba baraka ya Mtakatifu Ekaterini. Bibiya mfalme Fafsta aliisha kusandiki kwa Kristu. Iliisha kumufundisha mufano ya Mt. Ekaterini. Nasasa alikuja kubeba baraka yake, kwa sababu aliisha kukamata mupango kuishi ao kukufa, sawa vileanapenda Mungu.alisikia bwana yake, mfalme, hasikuwaze ya kama alikuwa bibi yake, alihamuru maramoja kukata kichwa yake.kisha lufu ya wale 150 watu wa akili alitoa uzima yake kwa Kristu na bibi ya mfalme,Fafsta. Kisha Fafsta alikufa na mateso ya kuachana na mukubwa ya wa askari Porfirios pamoja nawa askari wake 200. Hawa wote walisandiki kwa kuhubiri ya Ekaterini na walitukuzwa kwa milele.Kanisa yetu inashangilia makumbusho wao hii siku pamoja na Mt. Ekaterini, mu tarehe 25 Mweziya kumi na moja.mwisho ya wote washahindi alikufa na mateso mingi Ekaterini. Na hamuri ya mfalmewalikuja wa askari wake na walikata kichwa yake. MAELEZEO:Juu ya mwanamuke nani tulifundisha leo, watoto wangu?Juu ya Mt. Ekaterini. Ulizo: Mukumbukeni ma zawandi wa ngapi alikuwa huyu binti?Alikuwa mwenye muzuri sana, mutajiri kabisa, mwenye akili na mutukufu kabisa.Nikusema alikuwa na ma zawandi wakubwa ya hii dunia. Lakini alimuchakula nani kamaBwana-Arusi yake?Bwana Yesu Kristu.Tangu hii siku alimufamia, alikamata mupango kufanya ninyi ku uzima yake mbele yaKristu?Kukangamana kupendezwa kwa Kristu. Alimupenda hata mingi, na hasikufanye hata kazimoja, iliyehasikupende Kristu. Ulizo: Na hii mapendo yake alimuongoza wapi?Ku mateso na lufu. Alikufa na yeye na pamoja na yeye na weingine walikufa.Kanisa yetu inamuita Mushahindi mukubwa. Tena inapaswa kujua ya kama Mwili yakeiko yulu ya mulima Sinaya, pahali ni Monasteri yake. Muweze kuniambia fundisho gani tutabebaleo?Hii kazi inapendeza kwa Kristu, hii mitafanya na mimi. SAUTI YA MADIKOTAKATIFU: « Kama ningependeza watu, singekuwa mutumwa wa Kristo» (WaGalatia 1, 10).KU UZIMA YETU. Beingine watoto wanauliza:ninyi juu ya kuwa mukristiani muzuri?ni hii: Utafanya hii kintu anapenda Kristu, hii kintu inapendeza kwa Kristu.mumoja alisema: Kama munipende, mutatimiza mahamuri yangu.unapanda mutu moja, haupende hata mara moja kumusikitika. Na sisi,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!