12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• JIbu:• FUNDISHO:• SAUTI• MATENDO• Avion!• Na• Huruma.• Na• Huruma.• Kama• Bintu• Leo• Ma• Munaweza• Weko• Weko• Weko• Weko• Weko• Ndivyo,• Paka• Ndivyo.29Juu ya ninyi Kanisa yetu alimupatia hii jina?Kwa sababu, wakati alikuwa askofu ku muji Aleksandria ya Misiri, alisaidia wa masikinina wote watu ya mateso.Mukumbukeni aliona ninyi, wakati alikuwa na kipimo miaka 15?Aliona binti moja aliyeitwa Huruma. Yeye alikuwa binti ya kwanza ya Mfalme ya mbingu.Sisi tunaweza kupenda hii binti, aliyeitwa Huruma?Ndivyo, kama ni namna ya kuachana tunasaidia wa nduku weingine wetu.Kusaidia weingine watu.YA MADIKO TAKATIFU: « Heri wenye rehema: maana wao watapata rehema»(Matayo 5, 7).YA UZIMA YETU. Iko kintu moja na ye mutu moja anaweza kupanda yulu nakushuka?Ni kweli. Na hii kintu tunapanda yulu na tunashuka.Huruma ni sawa moja avion ya roho, inayepanda na inashuka. Nani alibeba Mungu toka yuluya mbingu na alimuletea ku inchi yetu, katikati yetu?Mungu na mapendo na wema mingi alipokelea kushuka katikati yetu na kupanda pamusalaba.nani alipanda Kristu pa musalaba?Juu ya kusaidia watu Yeye alipanda pa Musalaba yake.Kristu anatupatia moja huruma ukubwa kabisa ya kila ingine huruma, nikusema anatupatiaMwili na Damu yake, sisi inapaswa kufanya ninyi mbele ya wa nduku wetu?ya mbili wanafika mara moja, watoto wangu, ku Kiti ya Mungu mu mbingu: Sala nahuruma. Kama tunaifanya katika sheria ya Mungu.iko watu, wenye wanateswa na wekona lazima ya saidio wetu?siku yote ya hii dunia watakuwa watu, wenye watakuwa masikini na ya mateso ya kuachana.kuniambia ma jeshi ya kuachana ya wale watu?watu, wenye habakuwa na chakula kukula. Tunasikia ya kama watoto ma elfu ya mingiwanafariki hapa mu Afrika na Azia na ma fasi ingine.wagonjwa, wenye wekona lazima ya matunzo na lazima ya ndawa, damu na kila utulivuna saidio.watoto, wenye wekona moja fulani umivu mu nyumba yao na wekona lazima ya saidioyetu.watu, wenye habakuwa na makuta kuripa hii nyumba wanaikala.watu, wenye wanaisha bila nyumba ndani ya moja hema.watoto wangu, weko wa jeshi wa mingi ya watu, wenye wanateshwa.huyu mutu anafunga ma macho yake hasiweze kuona maumivu pembeni yake. Yule mutu,aliyeekona ma macho, na roho na masikio yake wazi, ataweza kusikia na kuona kila siku matesongani na ngapi wekona wanduku wetu. Inapaswa basi kuonyesha mapendo yake na matendo nahapana paka na ma sauti yake. Munaichika ao hapana?Tunataka kusaidia, lakini sisi hatunana kintu. Hatunana makuta wetu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!