• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• JIbu:• FUNDISHO:• SAUTI• MATENDO• Avion!• Na• Huruma.• Na• Huruma.• Kama• Bintu• Leo• Ma• Munaweza• Weko• Weko• Weko• Weko• Weko• Ndivyo,• Paka• Ndivyo.29Juu ya ninyi Kanisa yetu alimupatia hii jina?Kwa sababu, wakati alikuwa askofu ku muji Aleksandria ya Misiri, alisaidia wa masikinina wote watu ya mateso.Mukumbukeni aliona ninyi, wakati alikuwa na kipimo miaka 15?Aliona binti moja aliyeitwa Huruma. Yeye alikuwa binti ya kwanza ya Mfalme ya mbingu.Sisi tunaweza kupenda hii binti, aliyeitwa Huruma?Ndivyo, kama ni namna ya kuachana tunasaidia wa nduku weingine wetu.Kusaidia weingine watu.YA MADIKO TAKATIFU: « Heri wenye rehema: maana wao watapata rehema»(Matayo 5, 7).YA UZIMA YETU. Iko kintu moja na ye mutu moja anaweza kupanda yulu nakushuka?Ni kweli. Na hii kintu tunapanda yulu na tunashuka.Huruma ni sawa moja avion ya roho, inayepanda na inashuka. Nani alibeba Mungu toka yuluya mbingu na alimuletea ku inchi yetu, katikati yetu?Mungu na mapendo na wema mingi alipokelea kushuka katikati yetu na kupanda pamusalaba.nani alipanda Kristu pa musalaba?Juu ya kusaidia watu Yeye alipanda pa Musalaba yake.Kristu anatupatia moja huruma ukubwa kabisa ya kila ingine huruma, nikusema anatupatiaMwili na Damu yake, sisi inapaswa kufanya ninyi mbele ya wa nduku wetu?ya mbili wanafika mara moja, watoto wangu, ku Kiti ya Mungu mu mbingu: Sala nahuruma. Kama tunaifanya katika sheria ya Mungu.iko watu, wenye wanateswa na wekona lazima ya saidio wetu?siku yote ya hii dunia watakuwa watu, wenye watakuwa masikini na ya mateso ya kuachana.kuniambia ma jeshi ya kuachana ya wale watu?watu, wenye habakuwa na chakula kukula. Tunasikia ya kama watoto ma elfu ya mingiwanafariki hapa mu Afrika na Azia na ma fasi ingine.wagonjwa, wenye wekona lazima ya matunzo na lazima ya ndawa, damu na kila utulivuna saidio.watoto, wenye wekona moja fulani umivu mu nyumba yao na wekona lazima ya saidioyetu.watu, wenye habakuwa na makuta kuripa hii nyumba wanaikala.watu, wenye wanaisha bila nyumba ndani ya moja hema.watoto wangu, weko wa jeshi wa mingi ya watu, wenye wanateshwa.huyu mutu anafunga ma macho yake hasiweze kuona maumivu pembeni yake. Yule mutu,aliyeekona ma macho, na roho na masikio yake wazi, ataweza kusikia na kuona kila siku matesongani na ngapi wekona wanduku wetu. Inapaswa basi kuonyesha mapendo yake na matendo nahapana paka na ma sauti yake. Munaichika ao hapana?Tunataka kusaidia, lakini sisi hatunana kintu. Hatunana makuta wetu.
• Ni• Na• Tendo• Huruma• NAMNA• Inamipendeza,• Munashangaa• Jeshi• HISTORIA.• Ekaterini• Muwaze,• Mama• Lakini• Siku• MUTAKATIFU• FUNDISHO30kweli. Hamunana mweye, lakini wekona wazazi wenu. Mweye mutawaambia kusaidia.Nyumba moja inayefanya matendo ya huruma shetani hasiweze kuiuzi. Vile anatufundisha Mtak.Yoane Krisostomo.tena moja ingine sauti: Leo muko wadogo watoto, lakini kesho mutakomea. Pasopo.Musitumike paka ya makuta na furaha yenu. Mupendeni huruma na wa nduku wa masikini nawagonjwa. Watu wafarisayuo walitosha 1/10 na aliipatia kwa masikini. Lakini sisi aipaswe kupatiana kuliko mingi saidio kwa wanduku wetu ya mateso?ninyi ingine munaweza kuifanya?haina paka makuta. Huruma ni mapendo kwa kila mambo ya kila mutu na nduku wetu.Nikusema inapaswa kufanya kila siku matendo ya mapendo kwa wa nduku wetu.YA MNANEEKATERINIYA KUKARIBIAwatoto wangu, kusikia juu ya nvita? Leo tutasuburia juu ya nvita, iliyefanyikwahapana na kisu na bunduki ao mukuki, lakini na lunrimi. Ni nvita ya neno ya filosofie.kwa hii nvita. Lakini kama mutasikia wa nani weko wa adui, kweli mutaajabu naitazaliwa mafa ndani ya akili yenu ya kufundisha hii nvita. Basi, moja jeshi walikuwa wanaumemia moja na makumi Tani (150), wenye walikuwa wahubiri wakubwa mu filosofie, akili yaoilikuwa nguvu sana.ingine ilikuwa moja mwanamuke, mwenye alikombana wanaume 150, lakini namna gani?Anaweza mwanamuke moja kukombana kontre ya 150 wanaume? Lakini, ni kweli, watotowangu, ya kama huyu mwanamuke alikombana na alishinda wanaume wa filosofe kumazungumuzo. Na kisha alifanya ninyi? Mitamielezea ku mwisho ya hii fundisho. Mbele sasamitamiambia nani ilikuwa huyu mwanamuke.Jina yake mukona kusikia yote mweye. Aliitwa Ekaterini, mwenye Kanisa yetuinamukumbuka kama Mutakatifu, mu tarehe ku 25 Mwezi ya Kumi na moja. Tunamufamia kamamtakatifu, lakini hasikukuwe tangu mwanzo mtakatifu. Alizaliwa ya wazazi wapagano ile wakatizamani walitawala wafalme wa pangano ya Roma karibu ku mwaka 300, kisha kuzaliwa ya YesuKristu. Baba yake alikuwa mukubwa ku muji Aleksandria ya Misiri na alizala paka huyu binti naalikangamana kumupatia kila fundisho muzuri juu ya kufanyika ku uzima yake na huyu mukubwa.alikuwa na uso muzuri na akili nguvu. Hasikukuwe mwingine binti hata na uso muzurikabisa, sawa huyu binti Ekaterini ku muji Aleksandria ile wakati, tena na mwenye akili kabisa nakuliko na mwingine mwanamuke. Alifunda ile wakati filosofie, medecine, rhetorique, poesie.watoto wangu, watu wa ngapi walistaajabu huyu binti ku muji yake! Alikuwana mabintu ya ine: Mwili na uso kizuri, fundisho na akili mingi, mali mingi na utukufu. Watu wotewalimustaajabu na walimutamaa. Na mama yake alitaka na haraka kumuondoa.wangu, yeye alimwambia, miye misitake kuowa. Inanipendeza kabisa mafundisho naseans. Kama unasema na weye na watu wote ya kama niko na ma zawandi ya mingi, basi, mitaowapaka kama mitapata moja mwanaume, mwenye atakuwa na na yeye hii ma zawandi nikona na miye.Nikusema, huyu, mwenye mitamuowa inapaswa kuwa mwanaume mwenye akili, mutajiri kulikomimi, kwa uso yake kupita muzuri ya miye na mutukufu kupita miye.namna gani atajipata mutu moja sawa alisema Ekaterini?moja Ekaterini alienda kwa mutawa moja, aliyeishi mu jangwa.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72: • Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74: • Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76: • Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80: • Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na